Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaan ww boya kweli, woga wako ndio umaskini wako!!Nawezaaa hivo nawezaaa, nachohofia familia yangu kuiteketeza [emoji41]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] verse ya Juma nature bonge la songMkasa wa Boss. Muaharibie huyooo mkate kiďevuu
Huo ni wimbo mkuu [emoji39]
"Nyumba anayoishi ni Mali ya shirika ataenda ishi wapi bosi akisha kasirika?"Nawezaaa hivo nawezaaa, nachohofia familia yangu kuiteketeza [emoji41]
Na ukiona hataki mambo ya takukuru ujue tayariHili wazo chanya kabisa
Kwema mama mzazi, shkamo kwanza [emoji39]"Nyumba anayoishi ni Mali ya shirika ataenda ishi wapi bosi akisha kasirika?"
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Huwezi sema hvyo kwa maan hujui kama kampuni ni yake .Kazi asiache Wala Nini maana kazi zenyewe ngumu siku hizi,mkuu tafuta alternative ya kudeal na huyo Boss.Kuwa Boss ndio atafune wake za watu,huyo Boss Ni cheo,Mungu anayomamlaka ya kuondoa hicho then atabaki mtu wa kawaida tu.
Kama anasumbua Sana huyo mke wako fanya maombi maalumu kwa Mungu ili Mungu achukue hicho cheo halafu Kama atamsumbua mke wako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Marahaba mwanangu haujambo?Kwema mama mzazi, shkamo kwanza [emoji39]
Kuna kitu nakikumbuka kuhusu wewe, nafurahi mno [emoji39]Marahaba mwanangu haujambo?
The Hate U Give, Little Infants F's Everyone.
Umetisha baba😀
Jamani , kitu ganiii??[emoji23][emoji23][emoji23]Kuna kitu nakikumbuka kuhusu wewe, nafurahi mno [emoji39]
Nahis alimshagonga.Mkeo anataka mwenyewe kutongozwa kwani akikataa na akaweka misimamo huo msululu utamsumbua aje? Mambo mengine wanawake huyataka wenyewe kama anapewa ofa za misosi, lifti ya gari akitoka na kwenda kazini soon utachapiwa tu. Nakushauri mwambie mkeo aache mazoea ya kipuuzi na hao watu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Utamu kolea ndio ulihitimisha utoaji wa habariDemu wangu alikuwa na yeye ananiambia anatongozwa na boss wake kwa mda mrefu..baadae aliacha kuniambia nadhani boss alimgegeda tu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Achana na comments zote, huyu hapa ndo kakueleza ukweli na anawafahamu vizur wanawake
Nasema hivi kwasababu mimi pia ni mwanamke tena mrembo ninafanya kazi taasisi kubwa yenye wanaume wengi. Huyo mkeo lazima ni mtu wa kujichekesha chekesha kwa wanaume, anapenda ofa za wanaume, atention seeker n.k.
Nimevurugwa sana..
Boss wa mke wangu anamtongoza mke wangu kwa uchu sana kiasi kwamba hadi nimeanza kupoteza matumanini.
Mke wangu hana raha kabisa wafanyakazi wenzake wanammendea na boss wake naye humohumo yani wapo msululu.
Imefika hatua boss wake ameanza kutafuta safari za kikazi ili asafiri na mke wangu lengo lake ni kumbandua mke wangu na wote tunafahamu kwasababu mke wangu ananiambia kila kitu, kila ujumbe anaotumiwa na kila mazingira magumu anayokutana nayo(wanaume mnanielewa hapa)
Nifanyaje wandugu nataka kumsaidia mke wangu asinase kwenye mtego wa huyu simba.
Je nimkataze asiwe ananiambia habari za kutongozwa na wanume?
Wanaume wenzangu mnaishije na wake zenu walio ajiriwa sehemu mbalimbali,mnakutana na changamoto zipi kwenye ndoa
Demu wangu alikuwa na yeye ananiambia anatongozwa na boss wake kwa mda mrefu..baadae aliacha kuniambia nadhani boss alimgegeda tu..
Sent using Jamii Forums mobile app