Je, ni sahihi mke wangu kuniambia kila Mwanaume anayemtongoza?

Je, ni sahihi mke wangu kuniambia kila Mwanaume anayemtongoza?

Mzee si umeowa ili msaidiane maisha?!subiri hivyo hivyo atasaidia sana hata ile nyumba yenu iliyoishia kwenye linter mwaka huu mwezi wa sita hauishi mtakuwa mmeshahamia.

Mnashindana na nature,Mungu alikupa wewe mwanaume mamlaka ya kutafuta ridhiki ya familia mkeo azae na kulea watoto kwa kuwasimamia kwa ukaribu ila ukaona hapana ngoja anisaidie maisha.shuhuda zinazotolewa humu kuhusu wake za watu maofisini usifikiri ni za kutunga,ni kweli wanatoa sana ngono kwa stuff wenzao na hata ukimpiga marufuku asikwambie huyo ni mkeo lazima roho itakuwa inakuuma ni sawa na kutibu headache kwa kukata kichwa chenyewe.

Mke afanye kazi utakayompa wewe,mfungulie mradi atakaousimamia yeye mwenyewe hakuna ukaribu wa mwanamke na mwanaume utakaowaacha salama.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
inamaana ukilegeza tu boss anakula mzigo.

amekushtakia kama mwanaume ili usaidie kuwafukuza hao, sasa ww endelea kuuza chai humu... wanashindwaga kujizuia hao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee si umeowa ili msaidiane maisha?!subiri hivyo hivyo atasaidia sana hata ile nyumba yenu iliyoishia kwenye linter mwaka huu mwezi wa sita hauishi mtakuwa mmeshahamia.

Mnashindana na nature,Mungu alikupa wewe mwanaume mamlaka ya kutafuta ridhiki ya familia mkeo azae na kulea watoto kwa kuwasimamia kwa ukaribu ila ukaona hapana ngoja anisaidie maisha.shuhuda zinazotolewa humu kuhusu wake za watu maofisini usifikiri ni za kutunga,ni kweli wanatoa sana ngono kwa stuff wenzao na hata ukimpiga marufuku asikwambie huyo ni mkeo lazima roho itakuwa inakuuma ni sawa na kutibu headache kwa kukata kichwa chenyewe.

Mke afanye kazi utakayompa wewe,mfungulie mradi atakaousimamia yeye mwenyewe hakuna ukaribu wa mwanamke na mwanaume utakaowaacha salama.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk

Kwa lugha nyepesi hapa inatakiwa nimuachishe kazi mke wangu atulie nyumbani,ni bora nimfungulie ofisi yeye awe boss kuliko kuwa chini ya watu..
Mfano pale kazini kwao wafanya kazi wenzake anawamudu vizuri sana,
Utata unakuja kwa huyu boss ambae amefikia hatua ya kutaka kutumia cheo chake
 
Huyo mwanamke ni muongo tena mnafiki mkubwa!
Halafu yeye mkao wake ndo unaopelekea kutongozwa hovyo huko kazini kwake!
Atakuwa anawachekeachekea au anaji expose kwa wanaume!
Wakati mwingine huwa siyo rahisi mwanaume kumtongoza mwanamke, vinginevyo mwanamke mwenyewe awe amejirahishisha kutongozwa!
Huyo hajatulia anakutahadharisha siku ukija kuambiwa uchukulie kuwa alishakwambia Ila aliwakataa!



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee si umeowa ili msaidiane maisha?!subiri hivyo hivyo atasaidia sana hata ile nyumba yenu iliyoishia kwenye linter mwaka huu mwezi wa sita hauishi mtakuwa mmeshahamia.

Mnashindana na nature,Mungu alikupa wewe mwanaume mamlaka ya kutafuta ridhiki ya familia mkeo azae na kulea watoto kwa kuwasimamia kwa ukaribu ila ukaona hapana ngoja anisaidie maisha.shuhuda zinazotolewa humu kuhusu wake za watu maofisini usifikiri ni za kutunga,ni kweli wanatoa sana ngono kwa stuff wenzao na hata ukimpiga marufuku asikwambie huyo ni mkeo lazima roho itakuwa inakuuma ni sawa na kutibu headache kwa kukata kichwa chenyewe.

Mke afanye kazi utakayompa wewe,mfungulie mradi atakaousimamia yeye mwenyewe hakuna ukaribu wa mwanamke na mwanaume utakaowaacha salama.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Dah ichi kitu ni hatari sana kama ushawai kusikia kwenye hizi taasisi kuna hivi vikundi vya michezo utakuta ofisi inawapa safari kwenda mkoa fulani kwa ajili ya mashindano yani huko wake za watu wanapigwa pumbu vibaya mno ila mkuu ni changamoto sana binafsi mke wangu ni mama wa nyumbani tu ila ninayo yaona ni hatari sana inauma mno

Sent using Jamii Forums mobile app
 
inamaana ukilegeza tu boss anakula mzigo.

amekushtakia kama mwanaume ili usaidie kuwafukuza hao, sasa ww endelea kuuza chai humu... wanashindwaga kujizuia hao

Sent using Jamii Forums mobile app

Napambana kumsaidia mkuu nimelileta humu ili kuwakumbusha wanaume wenzangu wafahamu yanayoendelea huko makazini
 
Tena wanawake wengine kama huyo huwa ni wale wahuni walokubuhu, usishangae kama kazi zake ni za nje ya ofisi,
Siku ya kwenda kubanjuliwa akijua ataenda quest/ hotel maeneo flani anakwambia inadvance ili ukijaambiwa na watu usistuke!
Maana utachukulia kuwa ameenda kikazi maana ktk hali ya kawaida mtu hawezi kukuambia kama anaenda kwenye kuchepuka, kumbe habari ndo hiyo!



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua nn.... Una ushahidi alafu hujui chakufanya???.

Huyo nimkeo, na kila boss ana boss wake, kwann unakaa kizoba zoba???? .

Ikiwa mpaka mkeo anaona kero , usipomsaidia basi ataliwa tu Ndugu.

Wanawake uvumiliv wao una ukomo.
 
Ni utoto na uendawazimu kukasirika, kisa mkeo anatongozwa?!! Tambua kwamba wanawake kutongozwa ni jambo la kawaida sana, haijalishi ameolewa au hajaolewa, na pia kwa wanaume wengi kutongoza ni jambo pia la kawaida haijalishi mwanaume anayetongoza ameoa au hajaoa. Si leo wala si kesho wanawake wataendelea kutongozwa na wanaume wanaendelea kutongoza, hii ni kanuni ya asili. Kwani WEWE hutongozi au kwasababu hujasema hapa? Ni utoto na uendawazimu kukasirika, kisa mkeo anatongozwa!?

Sawa, inakera kutambua bosi wake mkeo anamtongoza, lakini pia inakera mkeo kukuambia kwamba bosi wake anamtongoza!? Atakuambia wangapi? Inakera kwasababu, mbona hasemi wengine wanaomtongoza, madukani, sokoni, barabarani? n,k. Mkeo akikupa idadi ya wanaomtongoza kwa siku, wiki hadi mwezi si utachanganyikiwa kabisa??!! Unahitaji hekima, tena kwenye hili mkeo anahitaji hekima zaidi kuliko wewe! Tambua mkeo ni mwanamke ni binadamu kama wengine, hivi alishawahi kukuambia wanaume anaovutiwa nao? Unadhani mkeo hajui jinsi ya kuwakatalia wanaume? wangapi alishawakataa na wewe wala hujui chochote?

Yaonekana ndoa yenu bado changa na hizi ni changamoto ambazo mnabidi wewe na mkeo mjifunze, sio kila anayekutongoza umwambie mumeo au mkeo. Yawezekana mkeo hana uzoefu au hajafundwa vema kukabiliana na changamoto za ina hii.

Ushauri ufanyeje
Usitaharuki na endelea kuishi kwa upendo na mkeo na umuunge mkono ili 'aweze kuikabili changamoto hiyo'. Anachofanya bosi si sahihi lakini hilo lisikutoe wewe kwenye mstari, baki na mkeo kwa mapenzi ya heshima zote. Muulize mkeo anataka wewe umsaidieje au ufanyeje ili kutatua changamoto hii, tafuta njia ya kistaarabu ili bosi wake ajue kwamba wewe unajua kwamba yeye (bosi) anamnyemelea mkeo. Kwasababu mwisho wa siku bosi asifanikiwe azma yake lakini pia kibarua cha mkeo nacho kisiote nyasi.

Kama unahitaji msaada zaidi nitafute inbox


Kama ulivyosema mkuu kweli ndoa yetu bado changa ina mwaka mmoja ila navumilia mengi sana,mke wangu amekua kama mtoto wangu kila siki napewa mashitaka,mambo ni mengi sana hayo hapo nimeandika kwa kifupi tu
 
Dah ichi kitu ni hatari sana kama ushawai kusikia kwenye hizi taasisi kuna hivi vikundi vya michezo utakuta ofisi inawapa safari kwenda mkoa fulani kwa ajili ya mashindano yani huko wake za watu wanapigwa pumbu vibaya mno ila mkuu ni changamoto sana binafsi mke wangu ni mama wa nyumbani tu ila ninayo yaona ni hatari sana inauma mno

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah kaka usiongee hapa hivi aisee utamfanya mkuu Umbuju pressure impande.

Ni noma,normally atasema kuhusu wawili watatu wanaomsumbua but itatokea siku mmoja ataingia akilini mwake sasa kuna nini hapo?

Kazi ya mwanamke kulea watoto siyo zaidi ya hivyo.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Nimevurugwa sana..

Boss wa mke wangu anamtongoza mke wangu kwa uchu sana kiasi kwamba hadi nimeanza kupoteza matumanini.

Mke wangu hana raha kabisa wafanyakazi wenzake wanammendea na boss wake naye humohumo yani wapo msululu.

Imefika hatua boss wake ameanza kutafuta safari za kikazi ili asafiri na mke wangu lengo lake ni kumbandua mke wangu na wote tunafahamu kwasababu mke wangu ananiambia kila kitu, kila ujumbe anaotumiwa na kila mazingira magumu anayokutana nayo(wanaume mnanielewa hapa)

Nifanyaje wandugu nataka kumsaidia mke wangu asinase kwenye mtego wa huyu simba.

Je nimkataze asiwe ananiambia habari za kutongozwa na wanume?


Nipe namba yake nimfunde.
 
Nasoma maoni yenu ndugu zangu,ushauri mzuri nauchukua na kuufanyia kazi,kejeri na dharau naomba niwe nazipuuza
 
Kwa lugha nyepesi hapa inatakiwa nimuachishe kazi mke wangu atulie nyumbani,ni bora nimfungulie ofisi yeye awe boss kuliko kuwa chini ya watu..
Mfano pale kazini kwao wafanya kazi wenzake anawamudu vizuri sana,
Utata unakuja kwa huyu boss ambae amefikia hatua ya kutaka kutumia cheo chake
Kama Mungu amekujaalia uwezo huo ndugu yangu usipoteze muda,na mkeo anakupenda sana na anaiheshimu ndoa yenu ila ajabu ya wanawake siku ukimkosea kidogo tu na bado akawa yupo karibu na hiyo jamii ovu iliyomzunguka basi ataenda kumzawadia mmoja wao so faster sana muachishe kazi mtafutie cha kufanya nje ya hapo.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Watu Kama hao Ni wa kuwafundisha adabu. Hususani kipindi hiki Cha magu. Unamuwekea mtego. Akinasa tu Basi unamtoa 1 billion za fasta. Then mke unamuachisha kazi mnaendelea na maisha yenu murua kabisaaa. Tatizo Hawa jinsia ya kike hawaaminiki kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahah kaka usiongee hapa hivi aisee utamfanya mkuu Umbuju pressure impande.

Ni noma,normally atasema kuhusu wawili watatu wanaomsumbua but itatokea siku mmoja ataingia akilini mwake sasa kuna nini hapo?

Kazi ya mwanamke kulea watoto siyo zaidi ya hivyo.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Dah yani namuonea huruma kweli jamaa hizi ndoa ni changamoto kweli

Juzi juzi tena kuna video imevuja mdada anagongwa dukani huko k/koo kidume kinaenda mida ya jioni kumgonga jamaa yake akatonywa na jamaa wa pale kuwa kuna kijeba huwa kinakuja jioni jioni jamaa si akatega kamera lijamaa kama kawa likaenda likanaswa na camera yani hivi viumbe ni shida sana hata jalalani wanagongwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo mwanamke ni muongo tena mnafiki mkubwa!
Halafu yeye mkao wake ndo unaopelekea kutongozwa hovyo huko kazini kwake!
Atakuwa anawachekeachekea au anaji expose kwa wanaume!
Wakati mwingine huwa siyo rahisi mwanaume kumtongoza mwanamke, vinginevyo mwanamke mwenyewe awe amejirahishisha kutongozwa!
Huyo hajatulia anakutahadharisha siku ukija kuambiwa uchukulie kuwa alishakwambia Ila aliwakataa!



Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu!!!

Umesemaje hapo?kwamba wakati mwengine siyo rahisi mwanaume kumtongoza mwanamke?nadhani siyo jinsia yako hii,nikutahadharishe tu japo inasemwa mwanamke ni kiumbe hatari ila pia sisi wanaume ni viumbe hatari sana linapokuja suala la kutaka mizigo.

Hasa akijulikana ni mke wa mtu maana wanakwepa zile bills za hapa na pale wakijua hizo anazimaliga mumewe.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Back
Top Bottom