Je, ni sahihi waziri kufanya shughuli za Kiserikali akiwa amevaa gwanda za CCM?

Je, ni sahihi waziri kufanya shughuli za Kiserikali akiwa amevaa gwanda za CCM?

Waziri wa Nchi, @ortamisemitz Mhe. Mohamed Mchengerwa amekabidhi magari ya usimamizi shirikishi wa shughuli za Afya kwenye Halmashauri za Mkoa wa Kilimanjaro.

Mhe. Mchengerwa amekabidhi magari hayo baada ya hafla ya uwasilishaji wa tarifa ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020 - 2025 katika Jimbo la Vunjo kwa kipindi cha mwaka 2022/23.

View attachment 2841191View attachment 2841192
Mambo yenu ya kiccm usituletee huku au hujalipwa bk7 yako
 
Hii nchi inajiendea tu. Sijui lini tutapata mabadiliko ya kweli.
 
screenshot_2023-12-07-22-18-44-1-png.2836040

☝️Na hawa waliovaa kijani kijivu je
Hivi hawa nao CCM? wako Serikalini?

Una tatizo la macho au ugonjwa wa akili. Kuna mtu mtu kavaa kijani hapo?
 
Una tatizo la macho au ugonjwa wa akili. Kuna mtu mtu kavaa kijani hapo?
Yani ukurupuke huko kujifanya wewe ndio mpimaji akili, kisa nimesema Kijani Kijivu, Wewe umepofuka? Umeona kijani tu? Wakati nimeandika Kijani Kijivu... Acha hizo bana.
 
Waziri wa Nchi, @ortamisemitz Mhe. Mohamed Mchengerwa amekabidhi magari ya usimamizi shirikishi wa shughuli za Afya kwenye Halmashauri za Mkoa wa Kilimanjaro.

Mhe. Mchengerwa amekabidhi magari hayo baada ya hafla ya uwasilishaji wa tarifa ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020 - 2025 katika Jimbo la Vunjo kwa kipindi cha mwaka 2022/23.

View attachment 2841191View attachment 2841192
Binafsi sioni kama ni tatizo. Ni kwamba nguo ziwe za staha..!! Vipi akivaa za Simba au Yanga imekaaje?
 
Hii nchi inajiendea tu. Sijui lini tutapata mabadiliko ya kweli.
Hiyo picha moja tu ndio inaoyofanya Nchi ijiendee tu?

Hebu CHADEMA muanze hayo mabadiliko wenyewe kwanza.

CCM imeshabadilisha Wenyeviti wangapi tangia Vyama Vingi vianze ukilinganisha na CCM?

CHADEMA mmeshafanya hivyo? au ndiyo hayo unayosema, mnajiendea tu.

Mmbadilike
 
Amevaa vazi la rangi ya kijani au amevaa sare ya chama?

Kinachoonyesha kwamba amevaa sare ya chama ni kitu gani?

Je, kwa Tanzania mtu anaweza kuwa waziri bila kuwa Mbunge?

Mtu anaweza kuwa Mbunge kama siyo mwanachama wa chama cha siasa?
Hauna akili hata moja
 
Umesusa kujibu swali?

Manake sijauliza ni kitu gani kina rangi ya kijani kwenye picha

CHADEMA, mbula.
"Na hawa waliovaa kijani kijivu je
Hivi hawa nao CCM?" Hebu onesha rangi ya kijani kwenye picha hii, mimi ninaiona ipo kwenye hiyo miti.
 
Waziri wa Nchi, @ortamisemitz Mhe. Mohamed Mchengerwa amekabidhi magari ya usimamizi shirikishi wa shughuli za Afya kwenye Halmashauri za Mkoa wa Kilimanjaro.

Mhe. Mchengerwa amekabidhi magari hayo baada ya hafla ya uwasilishaji wa tarifa ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020 - 2025 katika Jimbo la Vunjo kwa kipindi cha mwaka 2022/23.

View attachment 2841191View attachment 2841192
Ni sahihi kabisa,

Kilichopo madarakani ni Serikali ya CCM, na kinachotekekezwa ni ilani ya CCM, na watekeleza hiyo ilani ni wana CCM kwa manufaa mapana ya waTanzania wote.

So, yupo sahihi kabisa kuvaa gwanda akitekeleza ilani ya CCM...
 
Waziri wa Nchi, @ortamisemitz Mhe. Mohamed Mchengerwa amekabidhi magari ya usimamizi shirikishi wa shughuli za Afya kwenye Halmashauri za Mkoa wa Kilimanjaro.

Mhe. Mchengerwa amekabidhi magari hayo baada ya hafla ya uwasilishaji wa tarifa ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020 - 2025 katika Jimbo la Vunjo kwa kipindi cha mwaka 2022/23.

View attachment 2841191View attachment 2841192
Huyu akili kisoda anaishi kwa msingi kiuno
 
Back
Top Bottom