SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Mambo yenu ya kiccm usituletee huku au hujalipwa bk7 yakoWaziri wa Nchi, @ortamisemitz Mhe. Mohamed Mchengerwa amekabidhi magari ya usimamizi shirikishi wa shughuli za Afya kwenye Halmashauri za Mkoa wa Kilimanjaro.
Mhe. Mchengerwa amekabidhi magari hayo baada ya hafla ya uwasilishaji wa tarifa ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020 - 2025 katika Jimbo la Vunjo kwa kipindi cha mwaka 2022/23.
View attachment 2841191View attachment 2841192
Umesusa kujibu swali?Kwenye picha ni miti tu ndiyo ya kijani kama ulivyoandika.
☝️Na hawa waliovaa kijani kijivu je
Hivi hawa nao CCM? wako Serikalini?
Yani ukurupuke huko kujifanya wewe ndio mpimaji akili, kisa nimesema Kijani Kijivu, Wewe umepofuka? Umeona kijani tu? Wakati nimeandika Kijani Kijivu... Acha hizo bana.Una tatizo la macho au ugonjwa wa akili. Kuna mtu mtu kavaa kijani hapo?
Binafsi sioni kama ni tatizo. Ni kwamba nguo ziwe za staha..!! Vipi akivaa za Simba au Yanga imekaaje?Waziri wa Nchi, @ortamisemitz Mhe. Mohamed Mchengerwa amekabidhi magari ya usimamizi shirikishi wa shughuli za Afya kwenye Halmashauri za Mkoa wa Kilimanjaro.
Mhe. Mchengerwa amekabidhi magari hayo baada ya hafla ya uwasilishaji wa tarifa ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020 - 2025 katika Jimbo la Vunjo kwa kipindi cha mwaka 2022/23.
View attachment 2841191View attachment 2841192
Hawa walikuwa kwenye shughuri gani za kiserikali?
☝️Na hawa waliovaa kijani kijivu je
Hivi hawa nao CCM? wako Serikalini?
jimbo lake liko kilimanjaro au sio.Ametekeleza ilani alizoahidi kama mgombea!
Hiyo picha moja tu ndio inaoyofanya Nchi ijiendee tu?Hii nchi inajiendea tu. Sijui lini tutapata mabadiliko ya kweli.
Ndio hapo sasa. Ati walienda Kukagua! kwani wao ni Serikali?. Muulize Erythrocyte akuambie.Hawa walikuwa kwenye shughuri gani za kiserikali?
Use brain
☝️Na hawa waliovaa kijani kijivu je
Hivi hawa nao CCM? wako Serikalini?
Hauna akili hata mojaAmevaa vazi la rangi ya kijani au amevaa sare ya chama?
Kinachoonyesha kwamba amevaa sare ya chama ni kitu gani?
Je, kwa Tanzania mtu anaweza kuwa waziri bila kuwa Mbunge?
Mtu anaweza kuwa Mbunge kama siyo mwanachama wa chama cha siasa?
Wewe umejifunza wapi hiyo 'use brain' duh!😌🤯Use brain
SawaHauna akili hata moja
"Na hawa waliovaa kijani kijivu jeUmesusa kujibu swali?
Manake sijauliza ni kitu gani kina rangi ya kijani kwenye picha
CHADEMA, mbula.
Ni sahihi kabisa,Waziri wa Nchi, @ortamisemitz Mhe. Mohamed Mchengerwa amekabidhi magari ya usimamizi shirikishi wa shughuli za Afya kwenye Halmashauri za Mkoa wa Kilimanjaro.
Mhe. Mchengerwa amekabidhi magari hayo baada ya hafla ya uwasilishaji wa tarifa ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020 - 2025 katika Jimbo la Vunjo kwa kipindi cha mwaka 2022/23.
View attachment 2841191View attachment 2841192
Ndio nchi yako...!Huu ujinga uko bongo tu huwezi ona kwenye nchi zenye watu makini vichwani.bongo wamejaa machawa kila kona unategemea nini?
Huyu akili kisoda anaishi kwa msingi kiunoWaziri wa Nchi, @ortamisemitz Mhe. Mohamed Mchengerwa amekabidhi magari ya usimamizi shirikishi wa shughuli za Afya kwenye Halmashauri za Mkoa wa Kilimanjaro.
Mhe. Mchengerwa amekabidhi magari hayo baada ya hafla ya uwasilishaji wa tarifa ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2020 - 2025 katika Jimbo la Vunjo kwa kipindi cha mwaka 2022/23.
View attachment 2841191View attachment 2841192