Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Wacha weeeYan uzime then ukute limeharibika? Hii mpya…
Unazima vizuri tu, thoe mie sijawahi kuzima ya kufikia week.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha weeeYan uzime then ukute limeharibika? Hii mpya…
Unazima vizuri tu, thoe mie sijawahi kuzima ya kufikia week.
Kama Una safiri unalizima hakuna shida tatizo linakuja kulizimz kwaajiri ya kubana matumizi ya umeme lazima litaaribika friji lipo automatic lina jizima lenyewe na kujiwasha lenyeweUnazima tu kwani yakiwa dukani yanawashwa?
Sasa unazima friji ambalo matumizi yake ni unit 276 per annum! Afu unahonga elfu 50!Wakuu habari
Nauliza je kama situmii friji ni salama kuzima? Mfano limeisha vitu au nasafiri nikalizimaa wiki au mbili
Maana kuna ambayo yanazimwa kisha baadaye yanakuwa yameharibika
Naomba jina/model/brand ya hiyo friji.Wataalamu wanashauri kulitumia jokofu na kulizima kwa week 1, 2 au miezi kadhaa na kuliwasha tena si salama. Na usalama unaoongelewa hapo ni wa kiafya, si wa kiufundi. Jokofu linapozimwa kwa muda mrefu ni rahisi kuota fangasi, bacteria au vijidudu vingine ambavyo ni hatari kwa binadamu. Hata harufu yake huwa ni mbaya (kwa wazungu lakini.......am kidding). Lakini hakuna tatizo la kiufundi. Mfumo wake wa kupooza utafanya kazi kama kawaida yake.
Nina jokofu moja ambalo lina function ya 'Holiday'. Hii function unatumia wakati umesafiri kwa week au miezi kadhaa. Unatoa kilakitu, unaweka 'Holiday', unafunga nyumba yako unaondoka. Jokofu inakuwa haipozi ila nadhani inaruhusu mzunguko wa hewa ili kutoruhusu vijidudu kuzaliana ndani ya jokofu na kuleta ile harufu.
Unazima vizuri tu..haina shida
Wakati unalinunua huko dukani ulikuta limewashwa?Wakuu habari
Nauliza je kama situmii friji ni salama kuzima? Mfano limeisha vitu au nasafiri nikalizimaa wiki au mbili
Maana kuna ambayo yanazimwa kisha baadaye yanakuwa yameharibika
Kule dukani huwa unakuta yamewashwa?Wakuu habari
Nauliza je kama situmii friji ni salama kuzima? Mfano limeisha vitu au nasafiri nikalizimaa wiki au mbili
Maana kuna ambayo yanazimwa kisha baadaye yanakuwa yameharibika
Naomba jina/model/brand ya hiyo friji.
Huwa ni maneno ya kitaa tu kuwa fridge halizimwi.Wakuu habari
Nauliza je kama situmii friji ni salama kuzima? Mfano limeisha vitu au nasafiri nikalizimaa wiki au mbili
Maana kuna ambayo yanazimwa kisha baadaye yanakuwa yameharibika
aUnazima tu kwani yakiwa dukani yanawashwa?