Je, ni Salama kuzima friji kwa siku kadhaa kama halitumiki?

Mi sijawahi zima, Ila nadhani halina shida ukizima unapotaka kulitumia tena lisafishwe vizuri vinega na bicarbonate of soda then likaushwe vizuri salama kwa matumizi.

Lakini pia si salama vyakula kuwepo ndani ya fridge na fridge likuwa limezimwa.
 
Wakuu habari

Nauliza je kama situmii friji ni salama kuzima? Mfano limeisha vitu au nasafiri nikalizimaa wiki au mbili

Maana kuna ambayo yanazimwa kisha baadaye yanakuwa yameharibika
Sasa unazima friji ambalo matumizi yake ni unit 276 per annum! Afu unahonga elfu 50!
 
Sisi tunaotumia mitungi tunaweka wapi comments zetu?
 
Naomba jina/model/brand ya hiyo friji.
 
Mimi huwa kwa masaa 24 naliwasha masaa 12 kila siku na ninalizima masaa 12.. huu mwaka wa 1.5 na liko poa tu
 
Unazima vizuri tu..haina shida

Anavyouliza utafikiri alilinunua dukani likiwa linawaka...

Ni ukizima mda mrefu friji huwa linatengeneza ka-harufu flani hivi endapo hukusafisha vizuri,,,,Otherwise hakuna tatizo lolote, Mleta uzi stori za vijiwe vya pweza zinamchanganya
 
Wakuu habari

Nauliza je kama situmii friji ni salama kuzima? Mfano limeisha vitu au nasafiri nikalizimaa wiki au mbili

Maana kuna ambayo yanazimwa kisha baadaye yanakuwa yameharibika
Wakati unalinunua huko dukani ulikuta limewashwa?
 
Niko Happ kusubiri majibu mnk juz nimewasha friji Tena jipya kbsa la hensens. Niliweka soda na maji kujaribu ufanisi na uwezo usku ilipotimia nililizima mm sijuu itakuwa nimearibu friji ya watu
 
Mimi Nina freezer langu nililizima kwa miezi 3 baada ya kurudi nimelikuta halina tatizo kabsa
 
Wakuu habari

Nauliza je kama situmii friji ni salama kuzima? Mfano limeisha vitu au nasafiri nikalizimaa wiki au mbili

Maana kuna ambayo yanazimwa kisha baadaye yanakuwa yameharibika
Huwa ni maneno ya kitaa tu kuwa fridge halizimwi.

Mimi ni mtumiaji wa majokofu miaka nenda rudi, sijawahi pata shida itokanayo na kulizima.

Nalizima na kuliwasha kutokana na mahitaji yangu bila kujali nakaa siku ngapi ama muda gani bila ya kuliwasha.

Isipokuwa likikaa siku nyingi bila kufanyakazi, siku ukiliwasha, linachukua muda mrefu kuanza kupoza.

Labda kama kuna sababu nyingine ya kiufundi ambayo siielewi, siwezi kuikataa.

Ni hivyo tu.
 
Hisense Giant babalao six month off ...linarindima kama zimwi
 
Kuzima usiku na kuwasha mchana...

Inasababisha kutu, barafu ikiyeyuka maji yake yanatoka nje,pale yanapotokea baadae inaanza kutu.. mwisho viraka... ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…