Forest Hill
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 2,873
- 6,821
Habari zenu ndugu zangu, hii thread sio kwaajili ya kejeli au kusutana, nauliza nataka kujua kwa wenye ujuzi wa Mambo haya, je ni sawa mwanamuziki kumtaja mtu au brand fulani kwenye nyimbo yake bila ridhaa ya mtu huyo au kampuni husika?
Vipi kuhusu kuipa nyimbo jina la mtu au brand fulani? Nyimbo nyingi nazijua zimetaja au Zina "title" ya jina la mtu au kampuni fulani baadhi ya nyimbo ninazokumbuka kwa haraka ni
Rick Ross. (Elvis Presley) Elvis alikua mwanamuziki maarufu duniani, pia ndio King wa mtindo wa Rock and roll
Gosby. (Wema Sepetu)anhaa wema wengi tunamjua,
Cassper nyovest. (Tito Mboweni) wakati Cass anatoa Tito Mboweni,wakati huo bwana Tito Mboweni alikua waziri wa fedha na uchumi wa South Africa
G nako (Juma Ikangaa)Juma ikangaa ni mtanzania, mwanariadha nguli, bingwa wa mashindano ya olimpiki mwaka 1989, nakumbuka mstari wa da Hustler"ikangaaa nawakimbiza kwenye hii marathon"
Mex Cortez (Luanda Magere) Luanda Magere alikua mpiganaji na shujaa wa kabila la waluo huko Kenya.
Harmonize (Bakhressa) Bakhressa ni mfanyabiashara mkubwa Tanzania, kijana kaiita nyimbo yake Bakhressa.
Hii ipoje wadau? kutajana majina, wadhifa, cheo, utajiri, maisha binafsi kwenye nyimbo?
Vipi kuhusu kuipa nyimbo jina la mtu au brand fulani? Nyimbo nyingi nazijua zimetaja au Zina "title" ya jina la mtu au kampuni fulani baadhi ya nyimbo ninazokumbuka kwa haraka ni
Rick Ross. (Elvis Presley) Elvis alikua mwanamuziki maarufu duniani, pia ndio King wa mtindo wa Rock and roll
Gosby. (Wema Sepetu)anhaa wema wengi tunamjua,
Cassper nyovest. (Tito Mboweni) wakati Cass anatoa Tito Mboweni,wakati huo bwana Tito Mboweni alikua waziri wa fedha na uchumi wa South Africa
G nako (Juma Ikangaa)Juma ikangaa ni mtanzania, mwanariadha nguli, bingwa wa mashindano ya olimpiki mwaka 1989, nakumbuka mstari wa da Hustler"ikangaaa nawakimbiza kwenye hii marathon"
Mex Cortez (Luanda Magere) Luanda Magere alikua mpiganaji na shujaa wa kabila la waluo huko Kenya.
Harmonize (Bakhressa) Bakhressa ni mfanyabiashara mkubwa Tanzania, kijana kaiita nyimbo yake Bakhressa.
Hii ipoje wadau? kutajana majina, wadhifa, cheo, utajiri, maisha binafsi kwenye nyimbo?