Je, ni sawa kuoa mtu ambaye hujateseka naye?

Je, ni sawa kuoa mtu ambaye hujateseka naye?

Ukiwa real na maisha utakuja gundua kuna uzembe sana baina yetu wanaume hasa wanaofikiria kutumia pesa kurubuni wanawake ndio wanapata penzi la kweli wakati wako makapuku kibao wanainjoy mapenzi bila stress!
Huyu jamaa dhaifu sana, ana mtazamo tofauti sana kuhusu wanawake .. yani ana waabudu mno .. na bila shaka wanamburuza vilivyo [emoji23][emoji23] ..
 
Haya ya nini yote kujitesa? Mwanaume kama sijampenda hata no simpi akiniuliza day one nampa jibu kuwa siko tiyari.

Sasa wewe mwanaume unaanzaje kutafuta mali na mtu ambae humpendi na hutomuoa?

Kwa hili shetani asihusike.
 
Ukiwa real na maisha utakuja gundua kuna uzembe sana baina yetu wanaume hasa wanaofikiria kutumia pesa kurubuni wanawake ndio wanapata penzi la kweli wakati wako makapuku kibao wanainjoy mapenzi bila stress!
Hivi kwa nini wanaume wengi wanaona suala la kutafuta pesa ni kwa ajili ya wanawake na sio wao binafsi?

Ipo wazi ukifanikiwa watu wako wa karibu watafaidika na mafanikio yako, sioni tatizo mpenzi wako kufurahia matunda ya kazi zako.
 
Hivi kwa nini wanaume wengi wanaona suala la kutafuta pesa ni kwa ajili ya wanawake na sio wao binafsi?

Ipo wazi ukifanikiwa watu wako wa karibu watafaidika na mafanikio yako, sioni tatizo mpenzi wako kufurahia matunda ya kazi zako.
Mafanikio ya kiuchumi ni mazuri kwa familia yako na hasa kama ukiwa mtu wa kutoa misaada sio kuringishia funguo za IST kwa ndugu waliofulia!

Inapendeza sana ukiwa real ila sio kuanza kutapanya hela kwa mademu na show off ili tu ujione kidume kwa sana, huo ni upumbavu jijenge binafsi!
 
We jamaa inaelekea unapelekeshwa sana na wanawake yani hujiamini kabisa .. na unachunwa Ile mbaya, kuwa na msimamo bro .. pesa hainunui mapenzi ya kweli kama mwanamke anakupenda basi anakupenda tu hata akichepuka ni kwaajili ya tamaa tu ila atarudi tu .. kuwa na msimamo ..
Akiwa na pesa ndipo anaona Ana uhakika wa kummiliki so akiwa Hana anajiona Kama Hana sauti kwake.
Mke ndiye anayetoa matumizi ndani Ila bado hata kichapo atapewa tu. Ila yapo anayoongea ukweli inatakiwa familia Kama me uisimamie kwa kila kitu.
 
Huyu jamaa dhaifu sana, ana mtazamo tofauti sana kuhusu wanawake .. yani ana waabudu mno .. na bila shaka wanamburuza vilivyo [emoji23][emoji23] ..
Yaani kwanza demu mie akiniomba nu sign kwangu kuwa natumika sipendwi.kutoa natoa Ila ihali yangu tu.
Nishawahi kuwa na demu tumeishi gesti hela ikatuishia Alianza kupiga mizinga wanaomshobokeaga wakawa wanatumia hela tuna spend naye.
Namie ananiuliza hauna marafiki.nimetoka chuo Sina hata Mia sema masela zangu nawaeleza ukweli wananitoa tunakula maisha.tuliongeza wiki nzima.
Demu unamhonga anamuita anayempenda wanaenda ku spend.

Sema life ni just your perception. What you see in mirror don't press others to see it.

Two men if one says is possible and another one says impossible. The are both right
 
Yaani kwanza demu mie akiniomba nu sign kwangu kuwa natumika sipendwi.kutoa natoa Ila ihali yangu tu.
Nishawahi kuwa na demu tumeishi gesti hela ikatuishia Alianza kupiga mizinga wanaomshobokeaga wakawa wanatumia hela tuna spend naye.
Namie ananiuliza hauna marafiki.nimetoka chuo Sina hata Mia sema masela zangu nawaeleza ukweli wananitoa tunakula maisha.tuliongeza wiki nzima.
Demu unamhonga anamuita anayempenda wanaenda ku spend.

Sema life ni just your perception. What you see in mirror don't press others to see it.

Two men if one says is possible and another one says impossible. The are both right
Ni kweli mkuu true love still do exist, we ukiweka pesa mbele utaishia kuchunwa tu alafu anahongwa anaye pendwa .. tanguliza pesa kama huna malengo na binti kama una malengo nae basi aanze kukupenda wewe then pesa ifuate ..
 
Ni kweli mkuu true love still do exist, we ukiweka pesa mbele utaishia kuchunwa tu alafu anahongwa anaye pendwa .. tanguliza pesa kama huna malengo na binti kama una malengo nae basi aanze kukupenda wewe then pesa ifuate ..
Ndo kanuni yangu mkuu.
Kama wa Kupitia tu unatanguliza pesa mbele lazima.
Utanunua chip,kuku choma,utapeleka bichi Kama hauna motorcar unakodi ili umpumbaze Zen unaachana naye ukishavuta sigara zako ama kunywa bia zako Mana hauna shida na chupa..

Mfano mawe pesetu mbona ametanguliza pesa ni Nani ameoa ama ni Wana wanaponeapo ni hela yako mkuu.

Sema Kama mwanamke anayetaka kuolewa na wewe hata Kama hauna kitu anakucheki upstairs kuwa uko poa unaweza ukameki best future for her kids.

Yaani pesa naijua Sana na ndo nayotumia kujua Tabia za watu.
Ukitanguliza pesa mbele kwa Mambo fulani najua ukoje basi so nadili na wewe accordingly
 
Back
Top Bottom