Mshangazi dot com
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 1,345
- 3,503
Nimeshirikishwa kwenye mgogoro wa kifamilia ambao wazazi waliooana wote wakiwa na watoto waliozaa kwenye mahusiano kabla ya ndoa.
Wakati wanaoana, mtoto wa kiume alikuja na mke / mama akiwa na miaka 9 na mtoto wa kike alitokea upande wa mume na alikua na miaka 4. Hawajachangia damu ila wote wamekulia kwenye nyumba moja wakilelewa kwa pamoja kama kaka na dada kwa zaidi ya miaka 20.
Wiki iliyopita wamewashtua wazazi wao kwa kuwajulisha kua wanataka kuoana na kwamba wamekua na mahusiano ya kimapenzi kwa zaidi ya miaka miwili.
Hii issue imeleta changamoto kubwa kwenye familia na wazazi hawaafiki kabisa hao watoto/vijana kuoana.
Je, ingekua wewe, ungewashauri nini both hao watoto na wazazi?
Wakati wanaoana, mtoto wa kiume alikuja na mke / mama akiwa na miaka 9 na mtoto wa kike alitokea upande wa mume na alikua na miaka 4. Hawajachangia damu ila wote wamekulia kwenye nyumba moja wakilelewa kwa pamoja kama kaka na dada kwa zaidi ya miaka 20.
Wiki iliyopita wamewashtua wazazi wao kwa kuwajulisha kua wanataka kuoana na kwamba wamekua na mahusiano ya kimapenzi kwa zaidi ya miaka miwili.
Hii issue imeleta changamoto kubwa kwenye familia na wazazi hawaafiki kabisa hao watoto/vijana kuoana.
Je, ingekua wewe, ungewashauri nini both hao watoto na wazazi?