Mshangazi dot com
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 1,345
- 3,503
- Thread starter
- #21
Chukulia wewe umekutana na msichana ana mtoto kutoka kwa mwanaume mwingine ukamuoa. Ila na wewe pia ulikua tayari na mtoto kutoka kwa mwanamke mwingine kabla hamjaoana, so mkawachukua watoto wenu mliowapata nje ya ndoa mkaishi nao pamoja kama watoto wa kuwazaa. Hao watoto wamekua wakubwa, wamependana kimapenzi na sasa wanataka kuoana japo mliwalea kama kaka na dada.Aliyeelewa anieleweshe.
Sasa wewe na mkeo hamtaki maana ni aibu na mtaonekanaje kijamii, wakati watu wote wanawajua hao kama watoto wenu wa familia.