Je, ni sawa kwa mwanaume kumtafutia mke wake 'Bull' wa kumridhisha kama yeye hawezi?

Hiki kizazi kinawaza ngono tu mda wote, ila mahusiano ni zaidi ya sex. Kwanza mahusiano yenye imara sex ni sehemu ndogo sana ya mahusiano. Ila sasa dunia hii inawaza ngono mda wote Hawana impact na jamii, kitu ambacho hata tukijiuliza toka tuanze sex tumepata faida gani. .

Huwa najiukiza nimetomba sana mademi katika ujana wangu ila mpaka Leo nikifikiria ni utumwa sana hakuna faida yeyote Ile. Ukiwa unatomba nimegundua akili inakuwa inachoka sana, mwili unachoka, unapoteza energy kubwa sana, spirit affected, time wasted, upuuzi mtupu. .
 
Hawa Bull hapa bongo wanapatikana wapi?
 
Westernization in Africa particularily Tanzania. Ila tujue kuwa kadri tunavyoyajadiri mambo mageni kwenye tamaduni zetu ndivyo yanavyopata nafasi na kuzoeleka mioyoni mwetu.
Mijadala ndiyo kitu tunataka

Hata tusipojadili yatapenya tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…