Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
“Kama mnavyojua hali ya wenzetu [Somalia] haiko vizuri sana, kwahiyo tumewahakikishia kuwaunga mkono kwenye kujenga uwezo wa wao kama nchi kujilinda wenyewe.” – Rais Samia Suluhu
Sasa nchi yetu tumekwisha iendeleza na kuilinda vya kutosha sasa tuna vuka kwenda kuwajenga na kuwaendeleza wengine.
Ombi langu ni hili ni kuwa hiki sio kipindi cha utawala wa Nyerere na harakati za ukombozi wa Afrika.
Hii kauli sioni kama ilikuwa sahihi kutolewa na kiongozi wa ngazi ya juu ya serikali.
Kudhibiti tu wahamiaji haramu wanaouvaa uraia wa Tanzania tumeshindwa CDF kathibitisha hilo tena wengine na madaraka makubwa nchini tunawapa.
Wasomali tunao hapa nchini na wanazidi ingia kwa njia wanazo jua wenyewe, sehemu tunayotaka kukanyaga sio sahihi hata kidogo labda kama tupo tayari kwa matokeo yoyote yatakayo tupata.
Sasa nchi yetu tumekwisha iendeleza na kuilinda vya kutosha sasa tuna vuka kwenda kuwajenga na kuwaendeleza wengine.
Ombi langu ni hili ni kuwa hiki sio kipindi cha utawala wa Nyerere na harakati za ukombozi wa Afrika.
Hii kauli sioni kama ilikuwa sahihi kutolewa na kiongozi wa ngazi ya juu ya serikali.
Kudhibiti tu wahamiaji haramu wanaouvaa uraia wa Tanzania tumeshindwa CDF kathibitisha hilo tena wengine na madaraka makubwa nchini tunawapa.
Wasomali tunao hapa nchini na wanazidi ingia kwa njia wanazo jua wenyewe, sehemu tunayotaka kukanyaga sio sahihi hata kidogo labda kama tupo tayari kwa matokeo yoyote yatakayo tupata.