Je, ni sawa kwa Rais Samia kuiunga mkono Somalia kiusalama?

Je, ni sawa kwa Rais Samia kuiunga mkono Somalia kiusalama?

Mto Songwe

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2023
Posts
6,683
Reaction score
14,060
“Kama mnavyojua hali ya wenzetu [Somalia] haiko vizuri sana, kwahiyo tumewahakikishia kuwaunga mkono kwenye kujenga uwezo wa wao kama nchi kujilinda wenyewe.” – Rais Samia Suluhu
20240427_193756.jpg


Sasa nchi yetu tumekwisha iendeleza na kuilinda vya kutosha sasa tuna vuka kwenda kuwajenga na kuwaendeleza wengine.

Ombi langu ni hili ni kuwa hiki sio kipindi cha utawala wa Nyerere na harakati za ukombozi wa Afrika.

Hii kauli sioni kama ilikuwa sahihi kutolewa na kiongozi wa ngazi ya juu ya serikali.

Kudhibiti tu wahamiaji haramu wanaouvaa uraia wa Tanzania tumeshindwa CDF kathibitisha hilo tena wengine na madaraka makubwa nchini tunawapa.

Wasomali tunao hapa nchini na wanazidi ingia kwa njia wanazo jua wenyewe, sehemu tunayotaka kukanyaga sio sahihi hata kidogo labda kama tupo tayari kwa matokeo yoyote yatakayo tupata.
 
Tunapaswa kujizatiti katika kujenga nchi yetu kuliko kujiingiza katika migogoro ya ajabu ajabu.
 
Nionavyo awe anasoma tu hotuba Rasmi,

Kila akipata wasaa kuongea yake Huwa anatoa Boko!!
 
Hao ni makomandoo,,,,migambo sijui wana hali gani
Screenshot_20240427-201249_RT News.jpg
 
Supporting regional peace and stability is a major tenet of Tanzania's foreign policy.

By the way, Capacity Building is a broad term with infinite possibilities. Could be military training, intelligence sharing and diplomatic support, not necessarily active military intervention, like the Kenyan debacle.​
 
Angeiunga mkono kimya kimya lakini sio kwa kutangaza kama alivyofanya
 
Kama mnavyojua hali ya wenzetu [Somalia] haiko vizuri sana, kwahiyo tumewahakikishia kuwaunga mkono kwenye kujenga uwezo wa wao kama nchi kujilinda
Hivi sa100 anaujua vizuri mziki wa mahasimu wa serikali ya Somalia, yaani al-shabaab?
Wakianza kujilipua mfululizo ndani ya Tanzania atawamudu?
 
  • Thanks
Reactions: rr4
Taifa haliwezi fanya maamuzi y kipumbavu sababu ya person ambitions.Ifike hatua huyu mama awe muangalizi wa kauli zake.
 
“Kama mnavyojua hali ya wenzetu [Somalia] haiko vizuri sana, kwahiyo tumewahakikishia kuwaunga mkono kwenye kujenga uwezo wa wao kama nchi kujilinda wenyewe.” – Rais Samia SuluhuView attachment 2975496

Sasa nchi yetu tumekwisha iendeleza na kuilinda vya kutosha sasa tuna vuka kwenda kuwajenga na kuwaendeleza wengine.

Ombi langu ni hili ni kuwa hiki sio kipindi cha utawala wa Nyerere na harakati za ukombozi wa Afrika.

Hii kauli sioni kama ilikuwa sahihi kutolewa na kiongozi wa ngazi ya juu ya serikali.

Kudhibiti tu wahamiaji haramu wanaouvaa uraia wa Tanzania tumeshindwa CDF kathibitisha hilo tena wengine na madaraka makubwa nchini tunawapa.

Wasomali tunao hapa nchini na wanazidi ingia kwa njia wanazo jua wenyewe, sehemu tunayotaka kukanyaga sio sahihi hata kidogo labda kama tupo tayari kwa matokeo yoyote yatakayo tupata.
Huo mkataba wa kuwa Saidia ipoje , mpaka malalamike.
 
Mambo ya Somalia bora tuachane nayo tu, Somalia hata haina umuhimu wowote wa kimkakati kwa Tanzania
 
  • Thanks
Reactions: rr4
Taifa haliwezi fanya maamuzi y kipumbavu sababu ya person ambitions.Ifike hatua huyu mama awe muangalizi wa kauli zake.
Watu mna mihemuko ya kijinga kwamba moral support inashida gani, mbona hilo ni kauli ya kiutawala, haja saini makubaliono yoyote, acheni chuki dhidi ya Raisi wetu.
 
Back
Top Bottom