Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu tuna tembo wengi sana na hawa jamaa ni watu wa magendo iko kwenye damu yao wote. Ndio maana walimuasi kiongozi mahiri na mjamaa kama siad barre na kisha kusambaratisha nchi yao kwa kuingiza siasa kali za dini nchini mwao. Lakini tukbali baada ya muda mrefu hawa watu wanastahili msaada ikiwa wapo tayari kupokea kuhusu mambo ya uliinzi.“Kama mnavyojua hali ya wenzetu [Somalia] haiko vizuri sana, kwahiyo tumewahakikishia kuwaunga mkono kwenye kujenga uwezo wa wao kama nchi kujilinda wenyewe.” – Rais Samia SuluhuView attachment 2975496
Sasa nchi yetu tumekwisha iendeleza na kuilinda vya kutosha sasa tuna vuka kwenda kuwajenga na kuwaendeleza wengine.
Ombi langu ni hili ni kuwa hiki sio kipindi cha utawala wa Nyerere na harakati za ukombozi wa Afrika.
Hii kauli sioni kama ilikuwa sahihi kutolewa na kiongozi wa ngazi ya juu ya serikali.
Kudhibiti tu wahamiaji haramu wanaouvaa uraia wa Tanzania tumeshindwa CDF kathibitisha hilo tena wengine na madaraka makubwa nchini tunawapa.
Wasomali tunao hapa nchini na wanazidi ingia kwa njia wanazo jua wenyewe, sehemu tunayotaka kukanyaga sio sahihi hata kidogo labda kama tupo tayari kwa matokeo yoyote yatakayo tupata.
Nijiavyo jeshi letu la Polisi lina Kandarasi ya kufundisha Polisi wa Somalia au iliisha?“Kama mnavyojua hali ya wenzetu [Somalia] haiko vizuri sana, kwahiyo tumewahakikishia kuwaunga mkono kwenye kujenga uwezo wa wao kama nchi kujilinda wenyewe.” – Rais Samia SuluhuView attachment 2975496
Sasa nchi yetu tumekwisha iendeleza na kuilinda vya kutosha sasa tuna vuka kwenda kuwajenga na kuwaendeleza wengine.
Ombi langu ni hili ni kuwa hiki sio kipindi cha utawala wa Nyerere na harakati za ukombozi wa Afrika.
Hii kauli sioni kama ilikuwa sahihi kutolewa na kiongozi wa ngazi ya juu ya serikali.
Kudhibiti tu wahamiaji haramu wanaouvaa uraia wa Tanzania tumeshindwa CDF kathibitisha hilo tena wengine na madaraka makubwa nchini tunawapa.
Wasomali tunao hapa nchini na wanazidi ingia kwa njia wanazo jua wenyewe, sehemu tunayotaka kukanyaga sio sahihi hata kidogo labda kama tupo tayari kwa matokeo yoyote yatakayo tupata.
Kuwawezesha kujilinda ni tofauti na kupeleka vyombo vyetu vya ulinzi na usalama kuwalinda, kiswahili rahisi tuInashangaza kiongozi anasema chochote kile kufurahisha mgeni wake pasipo kuangalia madhara ya matamshi yake.
Siad bare hakuondolewa na watu wa siasa Kali za dini,punguza nyege za diniHalafu tuna tembo wengi sana na hawa jamaa ni watu wa magendo iko kwenye damu yao wote. Ndio maana walimuasi kiongozi mahiri na mjamaa kama siad barre na kisha kusambaratisha nchi yao kwa kuingiza siasa kali za dini nchini mwao. Lakini tukbali baada ya muda mrefu hawa watu wanastahili msaada ikiwa wapo tayari kupokea kuhusu mambo ya uliinzi.
Binti nilijua lazima utokeeSiad bare hakuondolewa na watu wa siasa Kali za dini,punguza nyege za dini
Hakuna mwenye chuki na Honorable causa.Nyie chawa hamna akili taifa haliwezi kwenda kutuliza amani sehemu ya wajinga.Watu mna mihemuko ya kijinga kwamba moral support inashida gani, mbona hilo ni kauli ya kiutawala, haja saini makubaliono yoyote, acheni chuki dhidi ya Raisi wetu.
Ni muhimu sana hasa kipindi hiki apacho tunataka kuongeza shehena za mizigo kuto china, dubai na n.k na kuwahudumia hadi nchi jirani hizo meli zinpotia kweny corido ya somali na ndio kuna uharamia wa hatari hapo.“Kama mnavyojua hali ya wenzetu [Somalia] haiko vizuri sana, kwahiyo tumewahakikishia kuwaunga mkono kwenye kujenga uwezo wa wao kama nchi kujilinda wenyewe.” – Rais Samia SuluhuView attachment 2975496
Sasa nchi yetu tumekwisha iendeleza na kuilinda vya kutosha sasa tuna vuka kwenda kuwajenga na kuwaendeleza wengine.
Ombi langu ni hili ni kuwa hiki sio kipindi cha utawala wa Nyerere na harakati za ukombozi wa Afrika.
Hii kauli sioni kama ilikuwa sahihi kutolewa na kiongozi wa ngazi ya juu ya serikali.
Kudhibiti tu wahamiaji haramu wanaouvaa uraia wa Tanzania tumeshindwa CDF kathibitisha hilo tena wengine na madaraka makubwa nchini tunawapa.
Wasomali tunao hapa nchini na wanazidi ingia kwa njia wanazo jua wenyewe, sehemu tunayotaka kukanyaga sio sahihi hata kidogo labda kama tupo tayari kwa matokeo yoyote yatakayo tupata.
Msituletee shida ya al shabab, Kenya wana 'Recce Squad' wanawadhibiti vilivyo, sisi mnh!“Kama mnavyojua hali ya wenzetu [Somalia] haiko vizuri sana, kwahiyo tumewahakikishia kuwaunga mkono kwenye kujenga uwezo wa wao kama nchi kujilinda wenyewe.” – Rais Samia SuluhuView attachment 2975496
Sasa nchi yetu tumekwisha iendeleza na kuilinda vya kutosha sasa tuna vuka kwenda kuwajenga na kuwaendeleza wengine.
Ombi langu ni hili ni kuwa hiki sio kipindi cha utawala wa Nyerere na harakati za ukombozi wa Afrika.
Hii kauli sioni kama ilikuwa sahihi kutolewa na kiongozi wa ngazi ya juu ya serikali.
Kudhibiti tu wahamiaji haramu wanaouvaa uraia wa Tanzania tumeshindwa CDF kathibitisha hilo tena wengine na madaraka makubwa nchini tunawapa.
Wasomali tunao hapa nchini na wanazidi ingia kwa njia wanazo jua wenyewe, sehemu tunayotaka kukanyaga sio sahihi hata kidogo labda kama tupo tayari kwa matokeo yoyote yatakayo tupata.
Inashangaza kiongozi anasema chochote kile kufurahisha mgeni wake pasipo kuangalia madhara ya matamshi yake.
Hamna kitu kinanikera kama kuongozwa na mwanamke.
Supporting regional peace and stability is a major tenet of Tanzania's foreign policy.
By the way, Capacity Building is a broad term with infinite possibilities. Could be military training, intelligence sharing and diplomatic support, not necessarily active military intervention, like the Kenyan debacle.
Tatizo mama nahisi udini ndio tatizo lakeNi makosa,makubwa sana mbele za MUNGU,ni kujitakia laana tu.
Bado mpaka 2030Hamna kitu kinanikera kama kuongozwa na mwanamke.