John Wickzer Mulholland
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 6,656
- 14,403
Sheria za Makosa ya JinaiUhalifu kupitia Sheria Ipi??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sheria za Makosa ya JinaiUhalifu kupitia Sheria Ipi??
Vipi vingi ulivyo andika ?Nimeandika vingi jibu vyote..
Kati yangu na wewe nani atulize kichwa..?Huenda, huenda, huenda tuliza kichwa chako vizuri na soma unachoandika hauongei na wendawazimu hapa.
KIfungu kipi Mkuu (Kwenye hiyo Penal code)Sheria za Makosa ya Jinai
Vizuri ni kuwa umeelewaKati yangu na wewe nani atulize kichwa..?
Mkuu tuliza kichwa tuliza Hasira, Andika bila kupanic Hasira humfanya mtu aandike Vitu visivyo na maana na atafumbwa na ukweli hatouona..
Kwakuwa hujikiti kwenye hoja Nakupuuza tuVipi vingi ulivyo andika ?
Kwa kuwa umeona jinsi ulivyo kosa akili na kutetea upuuzi ni sahihi kuchukua huo uamuzi wa kuficha upumbavu wako.Kwakuwa hujikiti kwenye hoja Nakupuuza tu
Hakuna Mwanajeshi hapoWakuu kwema?
Nimekutana na video hii mtandaoni, ambako huyu 'kuruta' (kama sijakosea) anapewa amri ya kugeuka kulia na kushoto, kijana huyo anafata maagizo aliyopewa huku anayetoa maagizo na wengine wakisikika wakicheka.
Nini dhumuni la kurekodi video hizi mpaka kufikia hatua ya kuzirusha mtandaoni? Anayerekodiwa ameridhia? Na hii sio mara ya kwanza kukutana na video kama hizi mtandaoni, za hawa wanafunzi wanaokwenda jeshi kwa mujibu wa sheria kurekodiwa katika matukio mbalimbali.
Huu ni udhalilishaji wa utu wake, tayari watu washaanza kutoa maoni mbalimbali juu ya muonekano wake, maumbile na kadhalika, kwa hali tu ya kawaida hakuna mtu angependa kurekodiwa katika hali hiyo na video hiyo irushwe kwa kila mtu kuona.
Hii sio sawa, kwanza ukipewa amri hapo lazima ufate, usipofata ni kukaidi na udhabu unapewa. Kwanini tunahalalisha udhalilishaji huu uendelee kutokea na kuonekana na kawaida? Wanajeshi wapo juu ya Sheria? Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi wao haiwahusu?
Aliyechukua video hii awajibishwe, Jeshi kama chombo cha ulinzi wanatakiwa kuwa mfano kwenye kufata sheria na sio kuwa wa kwanza kwenda kinyume na kudhalilisha utu wa watu.
Kutoka kwenye comments za video hiyo anayesikika akitoa amri ni Afande Sese, JKT Oljoro.
Sheria iwe msumeno, sio ikate kwetu tu halafu kwao kuwe butu.
Huyo ni raia mkuu na hata sio kurutaIla naona huyo Kuruta alikuwa bado anahitaji mafunzo zaidi, maana hayo mambo ya kwata ni sehemu ndogo sana ya mafunzo ya Jeshi
Athari za utandawazi hayo, mambo ya sirini yanawekwa wazi na ya wazi yanafanywa Siri 🙌
Mwenyewe nimepata mashaka na hiyo video, maana angekuwa Kuruta kweli sidhani kama angeshindwa mafunzo miner ya Kwata 🙌Unaona huo ugeukaji wake
Huyo ni raia mkuu na hata sio kuruta
Mkuu mbona umeandika hivi:Kasome vizuri nilichondika, sijasema namjua, nimesema kwa mujibu wa comments kutoka kwenye video hiyo mtandaoni. Mkuu, mpaka unatafuta visababu vyote hivyo kutetea hili naamini umeona kabisa kosa hili. Ingekuwa igizo tungeona kwenye official page zao, wakitaja tukio pamoja na taarifa nyingine. Kama upo kwenye kada hiyo saidia kuelimisha wenzako kuliko kutetea ujinga
Hakika. MkuuMwenyewe nimepata mashaka na hiyo video, maana angekuwa Kuruta kweli sidhani kama angeshindwa mafunzo miner ya Kwata 🙌
Kuna changamoto kubwa ya kubaini ukweli wa taarifa za mitandao, maana Kila mtu anaweza kupost chochote na kikaenda hewani bila kuwa regulatedHakika. Mkuu
Sema hii mitandao sasa uhuru umezidi
Wanajeshi wote hapa duniani mwanzoni walikuwa Raia.Hakuna Mwanajeshi hapo
Mleta mada
Huoni kuwa ni raia huyo
ukiwa jeshi unakua mali ya jeshiWewe ungedhalilishwa hivyo ungejisikiaje??
Ni kweli uko sawa sawa kichwani au kidogo umepiga bia mbili tatu??
Hata kama yupo kwenye mafunzo, video hii haikupaswa kuwekwa publicly.
Kwa Wanajeshi neno raia lina maana tofauti na unavyofikiriaWanajeshi wote hapa duniani mwanzoni walikuwa Raia.