Je, ni sawa kwa Wanajeshi kurekodi video kama hizi na kuzisambaza mtandaoni?

Je, ni sawa kwa Wanajeshi kurekodi video kama hizi na kuzisambaza mtandaoni?

Vitu vya kawaida hiyvo bro! Huyo yupo kwenye military training!
Sio wasafi studio akirekodi wimbo na zuchu!
Jeshi ni lazima, utestiwe uwezo, wako wa kuhimili sycology torture! Abuse, physical torture, lengo ni kuku Jenga tu bro! Hakuna Nia mbaya!
Kwenye battle field kuna mabaya Zaidi ya hayo
mkuu kichwan ww ni mtupu ,training inahusisha kusambaza video za watu ? kama tuna jeshi la hv basi PK atatundunda sana , hatuez hata weka privacy za training zetu na unaita kawaida tu
 
Haina ubaya wowote na jamaa sio nanga, huo ugeukaji wake wa kutanguliza mguu nyuma nshawahi kuuona YouTube sikumbuki lilikuwa ni jeshi la nchi gani wanageuka hivyo
Na kwa akili hizo unategemea viongoz bora? Kwamba wewe ungepostiwa hivyo ungesema ni sawa tu? na pisi yako ione, kuna watu wana UBINAFSI MWINGI SANA, JAMBO BAYA KWAKO ILA KWA WENGINE NI SAWA TU.
 
Mkuu; unauhakika gani kama hilo sio igizo?
Mbona hatumuoni afande anayetoa Amri ila wewe unamtaja afande Sese wa Oljoro. Hatuwaoni wanaocheka (JKT huwezi kucheka hovyo-hovyo namna ile)
Uniform za JKT sio hiyo alovaa huyo muigizaji. T-shirt Kijani ya Jeshi na Bukta ya blue vinaeleweka hata jinsi vilivyoshonwa. Uwekaji wa nywele na usimamaji wa aliyerekodiwa umekaa kimtaani / kiraia sana. Hakuna kitu kama hiko JKT.
  • Je, ww unabifu na huyo afande?
  • Je ww umewahi kupitia JKT au ulitoroka JKT? au basi walau mafunzo ya mgambo? Mbona inaonekana kama unakitu fulani dhidi ya JKT? Huipendi JKT?
Mkuu elewa kabisa JKT ni Chuo cha mafunzo kama zilivyo shule zingine.Mtu unaingia shuleni hujui 1+1 = 2 lakini baada ya mafunzo unajua hata zaidi ya hapo. JKT inaamini kwamba Kuruta hajui hata kutembea. Ndo mana kuna smart area ambapo kuruta hupita hapo kwa kukimbia.
Kuruta (Kuruta One)hufunga mguu kwa kuruka na kutamka"MOJA".
Je, mbona huyo chalii hapo hana ivo vigezo?
Hiyo ni Chai -bila sukari wala maandazi -TUPA KULEE.
umeelewa mada ? umetetea jkt kuliko kujikita kwenye mada
 
Kwanza kabla ya kuchangia is it Unethical au Crime..
Hapo kwanza nataka kujua..

Ni kosa la Kinidhamu/Kitaaluma/maadili (Ethics)..
Au ni kosa la Uhalifu (Breaking the law)..

Tuwekane sawa kwanza.. hapo..

Kama ni Kosa la Kimaadili Tutajadili
Kama ni kosa la uhalifu "Kuvunja sheria" ningependa sheria zilizovunjwa Ziwekwe tuzione..

Na kingine uko sawa kabisa kuhusu Paragraph ya Pili na ndicho nilichokisema..

Kuchukua Video kwa matumizi ya kijeshi hakuna kosa lolote shida aliyesambaza video hizo anapatikana na kosa la Kimaadili na wala sio kuvunja sheria..

usisahau kwamba anaweza akawa amechukua Video ila aliyesambaza akawa ni mwingine..
ebu jikite kwenye mada , maneno mengi sana , JE NI SAHIHI KUPOSTI ?
 
ebu jikite kwenye mada , maneno mengi sana , JE NI SAHIHI KUPOSTI ?
Habari Mdusi!
Ni aibu kwa Taifa kuendelea Kuzalisha Vijana wa Kaliba yako! (Samahani kwa kusema hivyo)..
Vijana ambao wanauwezo mdogo wa Kujadili mada na hoja

Sasa Nikuhoji Umepitia Sheria nilizoziweka?
Je unajua Sheria za Mafunzo?

Kwa Elimu yako ya Kisheria na Ethics za Kijeshi wamevunja Sheria Ipi ya Kijeshi ama ya Privacy..

Baada ya kuvunja sheria hiyo mlalamikaji kapost wapi kuonyesha kafanyiwa Defamatory?

Vipi Huyu aliyepost Humu na aliyechukua Nani aliyemdhalilisha Huyo kijana kwa mujibu wa Sheria?

Kijana uelewaa wako bado ni mdogo sana..jifunze

NB: Huwa sijibu watu wasio na hoja ila imenibidi nikujibu kuweka record sawa
 
umeelewa mada ? umetetea jkt kuliko kujikita kwenye mada
Sawa mkuu. Niliona kana kwamba kuna watu wanataka kutuchota akili ili kujua tuna msimamo gani. Sio vizuri kuleta humu jamvini maigizo halafu ukadai ni kitu cha kweli. Ndo mana nimeona niuanike ukweli/uhalisia ili na wengine wenye nia kama hiyo wasiendeleze kuzileta vids hapa.
 
Habari Mdusi!
Ni aibu kwa Taifa kuendelea Kuzalisha Vijana wa Kaliba yako! (Samahani kwa kusema hivyo)..
Vijana ambao wanauwezo mdogo wa Kujadili mada na hoja Walichokaririshwa kwao ni matusi..

Sasa Nikuhoji Umepitia Sheria nilizoziweka?
Je unajua Sheria za Mafunzo?

Kwa Elimu yako ya Kisheria na Ethics za Kijeshi wamevunja Sheria Ipi ya Kijeshi ama ya Privacy..

Baada ya kuvunja sheria hiyo mlalamikaji kapost wapi kuonyesha kafanyiwa Defamatory?

Vipi Huyu aliyepost Humu na aliyechukua Nani aliyemdhalilisha Huyo kijana kwa mujibu wa Sheria?

Kijana uelewaa wako bado ni mdogo sana..jifunze

NB: Huwa sijibu watu wasio na hoja ila imenibidi nikujibu kuweka record sawa
Duh! Mkuu umekuwa mkali mno. Hebu lainisha kidogo lugha uliyotumia japokuwa unayo point nzuri ya kuelimisha. Wanafunzi watakukimbia darasani mzee. 😀😀
 
Duh! Mkuu umekuwa mkali mno. Hebu lainisha kidogo lugha uliyotumia japokuwa unayo point nzuri ya kuelimisha. Wanafunzi watakukimbia darasani mzee. 😀😀
Nimejitahidi Sana maana nimeandika nikafuta zaidi ya mara tatu..

Maana kijana kaanza kwa kutukana kama post tatu hivi anasema mara Huna akili mara Iq ndogo wakati huo sijaona hoja aliyotoa Kuhusu Sheria nilizoweka mezani..

Kwahyo nikavuta pumvi Na nikajiapiza sitamjibu hata akijibu kwa sababu ninaweza kuingia kwe ye malumbano yasiyo na afya
 
Nimejitahidi Sana maana nimeandika nikafuta zaidi ya mara tatu..

Maana kijana kaanza kwa kutukana kama post tatu hivi anasema mara Huna akili mara Iq ndogo wakati huo sijaona hoja aliyotoa Kuhusu Sheria nilizoweka mezani..

Kwahyo nikavuta pumvi Na nikajiapiza sitamjibu hata akijibu kwa sababu ninaweza kuingia kwe ye malumbano yasiyo na afya
Pole sana mkuu.
 
Kwa hiyo hata huyo mkeo uliyenaye akienda kujifungua kwenye hospitali ya Jeshi akirekodiwa video huko wakati anajifungua mbele ya Madaktari/Wakunga Wanajeshi Wanaojifunza kazi na kisha video yake ikiwekwa mitandaoni ni sawa tu eti kwa sababu yuko katika Hospitali ya Jeshi inayozingatia Sheria za Jeshi????? Au unamaanisha nini??
Umeniattack mkuu , kwanza hapo itambulike kuwa mke wangu nitamzalisha mwenyewe alafu ikubaliwe kuwa nimetoa onyo kabla kuwa mtu anijibu kwa hoja na staha ili kunilinda mimi na penzi langu jipya .

Ila mwisho niseme kuwa hapo sijaona kosa la kinidhamu wala kimaadili .
Uko hapo afande ?
 
C
Habari Mdusi!
Ni aibu kwa Taifa kuendelea Kuzalisha Vijana wa Kaliba yako! (Samahani kwa kusema hivyo)..
Vijana ambao wanauwezo mdogo wa Kujadili mada na hoja Walichokaririshwa kwao ni matusi..

Sasa Nikuhoji Umepitia Sheria nilizoziweka?
Je unajua Sheria za Mafunzo?

Kwa Elimu yako ya Kisheria na Ethics za Kijeshi wamevunja Sheria Ipi ya Kijeshi ama ya Privacy..

Baada ya kuvunja sheria hiyo mlalamikaji kapost wapi kuonyesha kafanyiwa Defamatory?

Vipi Huyu aliyepost Humu na aliyechukua Nani aliyemdhalilisha Huyo kijana kwa mujibu wa Sheria?

Kijana uelewaa wako bado ni mdogo sana..jifunze

NB: Huwa sijibu watu wasio na hoja ila imenibidi nikujibu kuweka record sawa
Chief pole sana , unahangaika na vitoto vya 2000 ? Hawa nikuachana nao ndiyo maana mimi niliamua kuwa na masiala popote humu lengo nisijekukosa sehemu ya furaha yangu .

Kizazi kimekengeuka na bahati mbaya wanaishi kwa google si sheria , si ethics yaani wao ni kugoogle na kuja na story za vijiweni tu .

Kinachouma wanaweza kuwa wanabishana na mtu aliye katika kada husika kwa wakati fulani ila kwakuwa wamekengeuka ni kuishi nao ndyo wanetu , watoto wetu na pia kaliba ya vijana tunaopishana nao daily .
 
C

Chief pole sana , unahangaika na vitoto vya 2000 ? Hawa nikuachana nao ndiyo maana mimi niliamua kuwa na masiala popote humu lengo nisijekukosa sehemu ya furaha yangu .

Kizazi kimekengeuka na bahati mbaya wanaishi kwa google si sheria , si ethics yaani wao ni kugoogle na kuja na story za vijiweni tu .

Kinachouma wanaweza kuwa wanabishana na mtu aliye katika kada husika kwa wakati fulani ila kwakuwa wamekengeuka ni kuishi nao ndyo wanetu , watoto wetu na pia kaliba ya vijana tunaopishana nao daily .
Kweli chief, Vijana hawana wanalolijua ila kutwa kubisha halafu bila hata hoja..
Nafuu basi ungeona mtu anahoji anasema haiko sawa kwa sababu ya sheria hii kifungu hiki na kanuni hii kwa kanuni ya mwaka fulani..

Mi nishapoa chief na nimewapuuzia tu kwa sababu hawajui walitendalo
 
Back
Top Bottom