mkuu kichwan ww ni mtupu ,training inahusisha kusambaza video za watu ? kama tuna jeshi la hv basi PK atatundunda sana , hatuez hata weka privacy za training zetu na unaita kawaida tuVitu vya kawaida hiyvo bro! Huyo yupo kwenye military training!
Sio wasafi studio akirekodi wimbo na zuchu!
Jeshi ni lazima, utestiwe uwezo, wako wa kuhimili sycology torture! Abuse, physical torture, lengo ni kuku Jenga tu bro! Hakuna Nia mbaya!
Kwenye battle field kuna mabaya Zaidi ya hayo
Na kwa akili hizo unategemea viongoz bora? Kwamba wewe ungepostiwa hivyo ungesema ni sawa tu? na pisi yako ione, kuna watu wana UBINAFSI MWINGI SANA, JAMBO BAYA KWAKO ILA KWA WENGINE NI SAWA TU.Haina ubaya wowote na jamaa sio nanga, huo ugeukaji wake wa kutanguliza mguu nyuma nshawahi kuuona YouTube sikumbuki lilikuwa ni jeshi la nchi gani wanageuka hivyo
umeelewa mada ? umetetea jkt kuliko kujikita kwenye madaMkuu; unauhakika gani kama hilo sio igizo?
Mbona hatumuoni afande anayetoa Amri ila wewe unamtaja afande Sese wa Oljoro. Hatuwaoni wanaocheka (JKT huwezi kucheka hovyo-hovyo namna ile)
Uniform za JKT sio hiyo alovaa huyo muigizaji. T-shirt Kijani ya Jeshi na Bukta ya blue vinaeleweka hata jinsi vilivyoshonwa. Uwekaji wa nywele na usimamaji wa aliyerekodiwa umekaa kimtaani / kiraia sana. Hakuna kitu kama hiko JKT.
Mkuu elewa kabisa JKT ni Chuo cha mafunzo kama zilivyo shule zingine.Mtu unaingia shuleni hujui 1+1 = 2 lakini baada ya mafunzo unajua hata zaidi ya hapo. JKT inaamini kwamba Kuruta hajui hata kutembea. Ndo mana kuna smart area ambapo kuruta hupita hapo kwa kukimbia.
- Je, ww unabifu na huyo afande?
- Je ww umewahi kupitia JKT au ulitoroka JKT? au basi walau mafunzo ya mgambo? Mbona inaonekana kama unakitu fulani dhidi ya JKT? Huipendi JKT?
Kuruta (Kuruta One)hufunga mguu kwa kuruka na kutamka"MOJA".
Je, mbona huyo chalii hapo hana ivo vigezo?
Hiyo ni Chai -bila sukari wala maandazi -TUPA KULEE.
ebu jikite kwenye mada , maneno mengi sana , JE NI SAHIHI KUPOSTI ?Kwanza kabla ya kuchangia is it Unethical au Crime..
Hapo kwanza nataka kujua..
Ni kosa la Kinidhamu/Kitaaluma/maadili (Ethics)..
Au ni kosa la Uhalifu (Breaking the law)..
Tuwekane sawa kwanza.. hapo..
Kama ni Kosa la Kimaadili Tutajadili
Kama ni kosa la uhalifu "Kuvunja sheria" ningependa sheria zilizovunjwa Ziwekwe tuzione..
Na kingine uko sawa kabisa kuhusu Paragraph ya Pili na ndicho nilichokisema..
Kuchukua Video kwa matumizi ya kijeshi hakuna kosa lolote shida aliyesambaza video hizo anapatikana na kosa la Kimaadili na wala sio kuvunja sheria..
usisahau kwamba anaweza akawa amechukua Video ila aliyesambaza akawa ni mwingine..
Habari Mdusi!ebu jikite kwenye mada , maneno mengi sana , JE NI SAHIHI KUPOSTI ?
Sawa mkuu. Niliona kana kwamba kuna watu wanataka kutuchota akili ili kujua tuna msimamo gani. Sio vizuri kuleta humu jamvini maigizo halafu ukadai ni kitu cha kweli. Ndo mana nimeona niuanike ukweli/uhalisia ili na wengine wenye nia kama hiyo wasiendeleze kuzileta vids hapa.umeelewa mada ? umetetea jkt kuliko kujikita kwenye mada
Sese atengwe na JuvenarySese alinifundisha hapo jkt makuyuni operation makao makuu Dodoma.
Duh! Mkuu umekuwa mkali mno. Hebu lainisha kidogo lugha uliyotumia japokuwa unayo point nzuri ya kuelimisha. Wanafunzi watakukimbia darasani mzee. ππHabari Mdusi!
Ni aibu kwa Taifa kuendelea Kuzalisha Vijana wa Kaliba yako! (Samahani kwa kusema hivyo)..
Vijana ambao wanauwezo mdogo wa Kujadili mada na hoja Walichokaririshwa kwao ni matusi..
Sasa Nikuhoji Umepitia Sheria nilizoziweka?
Je unajua Sheria za Mafunzo?
Kwa Elimu yako ya Kisheria na Ethics za Kijeshi wamevunja Sheria Ipi ya Kijeshi ama ya Privacy..
Baada ya kuvunja sheria hiyo mlalamikaji kapost wapi kuonyesha kafanyiwa Defamatory?
Vipi Huyu aliyepost Humu na aliyechukua Nani aliyemdhalilisha Huyo kijana kwa mujibu wa Sheria?
Kijana uelewaa wako bado ni mdogo sana..jifunze
NB: Huwa sijibu watu wasio na hoja ila imenibidi nikujibu kuweka record sawa
Kwa nini? au ndo waliokutembeza "Fang' fang'"?πSese atengwe na Juvenary
Selule huyo.Nanga huyo
Nimejitahidi Sana maana nimeandika nikafuta zaidi ya mara tatu..Duh! Mkuu umekuwa mkali mno. Hebu lainisha kidogo lugha uliyotumia japokuwa unayo point nzuri ya kuelimisha. Wanafunzi watakukimbia darasani mzee. ππ
Pole sana mkuu.Nimejitahidi Sana maana nimeandika nikafuta zaidi ya mara tatu..
Maana kijana kaanza kwa kutukana kama post tatu hivi anasema mara Huna akili mara Iq ndogo wakati huo sijaona hoja aliyotoa Kuhusu Sheria nilizoweka mezani..
Kwahyo nikavuta pumvi Na nikajiapiza sitamjibu hata akijibu kwa sababu ninaweza kuingia kwe ye malumbano yasiyo na afya
Umeniattack mkuu , kwanza hapo itambulike kuwa mke wangu nitamzalisha mwenyewe alafu ikubaliwe kuwa nimetoa onyo kabla kuwa mtu anijibu kwa hoja na staha ili kunilinda mimi na penzi langu jipya .Kwa hiyo hata huyo mkeo uliyenaye akienda kujifungua kwenye hospitali ya Jeshi akirekodiwa video huko wakati anajifungua mbele ya Madaktari/Wakunga Wanajeshi Wanaojifunza kazi na kisha video yake ikiwekwa mitandaoni ni sawa tu eti kwa sababu yuko katika Hospitali ya Jeshi inayozingatia Sheria za Jeshi????? Au unamaanisha nini??
Chief pole sana , unahangaika na vitoto vya 2000 ? Hawa nikuachana nao ndiyo maana mimi niliamua kuwa na masiala popote humu lengo nisijekukosa sehemu ya furaha yangu .Habari Mdusi!
Ni aibu kwa Taifa kuendelea Kuzalisha Vijana wa Kaliba yako! (Samahani kwa kusema hivyo)..
Vijana ambao wanauwezo mdogo wa Kujadili mada na hoja Walichokaririshwa kwao ni matusi..
Sasa Nikuhoji Umepitia Sheria nilizoziweka?
Je unajua Sheria za Mafunzo?
Kwa Elimu yako ya Kisheria na Ethics za Kijeshi wamevunja Sheria Ipi ya Kijeshi ama ya Privacy..
Baada ya kuvunja sheria hiyo mlalamikaji kapost wapi kuonyesha kafanyiwa Defamatory?
Vipi Huyu aliyepost Humu na aliyechukua Nani aliyemdhalilisha Huyo kijana kwa mujibu wa Sheria?
Kijana uelewaa wako bado ni mdogo sana..jifunze
NB: Huwa sijibu watu wasio na hoja ila imenibidi nikujibu kuweka record sawa
Kweli chief, Vijana hawana wanalolijua ila kutwa kubisha halafu bila hata hoja..C
Chief pole sana , unahangaika na vitoto vya 2000 ? Hawa nikuachana nao ndiyo maana mimi niliamua kuwa na masiala popote humu lengo nisijekukosa sehemu ya furaha yangu .
Kizazi kimekengeuka na bahati mbaya wanaishi kwa google si sheria , si ethics yaani wao ni kugoogle na kuja na story za vijiweni tu .
Kinachouma wanaweza kuwa wanabishana na mtu aliye katika kada husika kwa wakati fulani ila kwakuwa wamekengeuka ni kuishi nao ndyo wanetu , watoto wetu na pia kaliba ya vijana tunaopishana nao daily .