Je, ni sawa kwa wazazi/walezi kuwabusu watoto wao mdomoni kama ishara ya kuonesha upendo?

Je, ni sawa kwa wazazi/walezi kuwabusu watoto wao mdomoni kama ishara ya kuonesha upendo?

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
Salaam Wakuu,

Leo nimekuja na huu mjadala ambao umechochewa na mambo kadhaa ninayoshuhudia au kukutana nayo mtaani.

Binafsi ninaishi katika nyumba ya kupanga yenye watu wengi hivyo nashuhudia mengi hasa malezi na mahusiano ya watu wengi katika familia mbalimbali.

Natambua kuwa ni muhimu sana wazazi kuwa na upendo na kuuonesha kwa watoto wao kwa namna mbalimbali. Nini mtazamo wako kuhusu suala la mzazi kumuonesha upendo mwanae kwa kumbusu mdomoni?

Picha na video zifuatazo zimetumika kama mfano na kwa nia njema ya kuimarisha mjadala. No hard feelings.

1666782223761.png


 
Salaam Wakuu,

Leo nimekuja na huu mjadala ambao umechochewa na mambo kadhaa ninayoshuhudia au kukutana nayo mtaani.

Binafsi ninaishi katika nyumba ya kupanga yenye watu wengi hivyo nashuhudia mengi hasa malezi na mahusiano ya watu wengi katika familia mbalimbali...
Kitu Cha kawaida sana, inategemea, umezaliwa na kukuzwa vipi.

Miaka ya 90, kuona mtu Mwanaume kasuka nywele kama maasai, ilikuwa ajqbu sana,yaani ukiona Mtu anaingia kanisani,kasuka nywele,ilikuwa ajqbu, siku hizi, kitu Cha kawaida sana, utamaduni unabadirika kwa nyakati
 
Kitu Cha kawaida sana,inategemea,umezaliwa na kukuzwa vipi.
Miaka ya 90,kuona mtu Mwanaume kasuka nywele kama maasai,ilikuwa ajqbu sana,yaani ukiona Mtu anaingia kanisani,kasuka nywele,ilikuwa ajqbu,siku hizi,kitu Cha kawaida sana,utamaduni unabadirika kwa nyakati
Asante kwa maoni yako ndugu yangu
 
Huyo jamaa kwenye video hayo mapozi yake tu unajua mboga hiyo afu anambusu Hadi mtoto wa kiume doh!
 
Huyo sister hapo juu kama huyo mtoto ni wake basi hilo ni tatizo kubwa sana, mtoto wa kiume anatakiwa afundishwe na aijue mipaka yake juu ya wazazi wake.

Sio hapo tu mambo ya wazazi kupigana mabusu na watoto kwa waafrika ni kitu cha fedheha sababu hicho kitendo ni maalum kwa ajili ya wapenzi tu. Hivyo sio sawa hata kidogo.

Na kingine nilichokiona kwa huyo sister ni kwamba kama anaweza na haoni tabu kubusu kavulana chake basi bila shaka atakuwa na mazoea hayo kwa vivulana vingine. It's disgusting!
 
Wazazi wa Dar hao, huku mikoani watoto wa umri huo wako wanachunga mifugo na shughuli nyingine za nyumbani.
🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂


Hahahahahahahahahahahah

Umetisha sanaa

Watu wa Dar kanusheni kama mna jeuri
 
Angalia walivyoshikana kimahaba hayo sio mapenzi ya kawaida kuonesha kwa mtoto.Mbaya zaidi wamefumba Hadi macho INAONEKANA UTAMU umekolea kwa kweli.
 
Back
Top Bottom