Je, ni sawa wachezaji wa Yanga SC kuondoka uwanjani kwa bodaboda?

Je, ni sawa wachezaji wa Yanga SC kuondoka uwanjani kwa bodaboda?

copyright

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2014
Posts
584
Reaction score
584
Habari! Naomba niende kwenye mada moja kwa moja.

Jana baada ya kipigo cha 0-2 toka kwa Al Hilal ya Sudan, baadhi ya wachezaji wa Yanga wakiongozwa na Kibwana Shomari walionekana kuondoka uwanjani hapo kwa usafiri binafsi na sio wa pamoja kama timu ambapo Kibwana alionekana kuondoka na bodaboda na Aziz Ki kwa gari binafsi.

Kwa kawaida tumezoea kuona timu ikiingia pamoja na kutoka pamoja kabla na baada ya mchezo na ndio utaratibu. Ila kwa timu ya Yanga jana wameonyesha udhaifu mkubwa katika katika uongozi na katika mashindano makubwa.

Sasa je hii ni sawa kwa usalama wa wachezaji wao?
 
Habari! Naomba niende kwenye mada moja kwa moja..

Jana baada ya kipigo cha 0-2 toka kwa Al Hilal ya Sudan, baadhi ya wachezaji wa Yanga wakiongozwa na Kibwana Shomari walionekana kuondoka uwanjani hapo kwa usafiri binafsi na sio wa pamoja kama timu ambapo Kibwana alionekana kuondoka na bodaboda na Aziz Ki kwa gari binafsi.

Kw kawaida tumezoea kuona timu ikiingia pamoja na kutoka pamoja kabla na baada ya mchezo na ndio utaratibu. Ila kwa timu ya Yanga jana wameonyesha udhaifu mkubwa katika katika uongozi na katika mashindano makubwa.

Sasa je hii ni sawa kwa usalama wa wachezaji wao??
Ni sawa tu mpira ni kama kazi nyingine kila mmoja yupo huru kutumia usafiri wake ila bongo ndio tunaendekeza upuuzi wachezaji kuchungwa kama mbuzi kuondoka kwa makundi
 
Nani amewaruhusu kupanda boda,? wangetembea tu kwa miguu hii ni therapy tosha kbs, wangepata wasaa mzuri zaidi wa kujiuliza ni wapi walikosea na katika best practices nini kinatakiwa kifanyike ili ku-rescue situation hasa Engineer!, Pia tungependa atueleze ni kilichomtoa Gamond kiasi cha kuwa na zero tolerance wakati huu ambapo kubadilisha kocha ni risk kubwa mno kuanzia kwenye saikolojia, tactics, na performance ya mchezaji mmoja mmoja na timu kwa ujumla wake.
 
Habari! Naomba niende kwenye mada moja kwa moja.

Jana baada ya kipigo cha 0-2 toka kwa Al Hilal ya Sudan, baadhi ya wachezaji wa Yanga wakiongozwa na Kibwana Shomari walionekana kuondoka uwanjani hapo kwa usafiri binafsi na sio wa pamoja kama timu ambapo Kibwana alionekana kuondoka na bodaboda na Aziz Ki kwa gari binafsi.

Kwa kawaida tumezoea kuona timu ikiingia pamoja na kutoka pamoja kabla na baada ya mchezo na ndio utaratibu. Ila kwa timu ya Yanga jana wameonyesha udhaifu mkubwa katika katika uongozi na katika mashindano makubwa.

Sasa je hii ni sawa kwa usalama wa wachezaji wao?
Maadam haijaandikwa kwenye kanuni kuwa LAZIMA timu iondoke pamoja baada ya mechi, basi kuondoka individually badala ya mmoja mmoja ni sawa! Ahahahahaha!!!
 
Back
Top Bottom