Je, ni sawa wachezaji wa Yanga SC kuondoka uwanjani kwa bodaboda?

Je, ni sawa wachezaji wa Yanga SC kuondoka uwanjani kwa bodaboda?

Habari! Naomba niende kwenye mada moja kwa moja.

Jana baada ya kipigo cha 0-2 toka kwa Al Hilal ya Sudan, baadhi ya wachezaji wa Yanga wakiongozwa na Kibwana Shomari walionekana kuondoka uwanjani hapo kwa usafiri binafsi na sio wa pamoja kama timu ambapo Kibwana alionekana kuondoka na bodaboda na Aziz Ki kwa gari binafsi.

Kwa kawaida tumezoea kuona timu ikiingia pamoja na kutoka pamoja kabla na baada ya mchezo na ndio utaratibu. Ila kwa timu ya Yanga jana wameonyesha udhaifu mkubwa katika katika uongozi na katika mashindano makubwa.

Sasa je hii ni sawa kwa usalama wa wachezaji wao?
Kuna mechi pia basi lao lilikutwa limeachwa nnje ya uwanja
 
Habari! Naomba niende kwenye mada moja kwa moja.

Jana baada ya kipigo cha 0-2 toka kwa Al Hilal ya Sudan, baadhi ya wachezaji wa Yanga wakiongozwa na Kibwana Shomari walionekana kuondoka uwanjani hapo kwa usafiri binafsi na sio wa pamoja kama timu ambapo Kibwana alionekana kuondoka na bodaboda na Aziz Ki kwa gari binafsi.

Kwa kawaida tumezoea kuona timu ikiingia pamoja na kutoka pamoja kabla na baada ya mchezo na ndio utaratibu. Ila kwa timu ya Yanga jana wameonyesha udhaifu mkubwa katika katika uongozi na katika mashindano makubwa.

Sasa je hii ni sawa kwa usalama wa wachezaji wao?
Ushamba mzigo.
Wachezaji wa ligi kubwa duniani hawaendi na gari za club uwanjani hasa wanapokuwa nyumbani.
Wewekumuona kibwana kapqnda bodaboda unashangaa.
Kagere alipokuwa simba miaka yote alitumia bodaboda. Ulifikiri hakuwa na pesa ya kununua gari?
Kuishimbagala kusikufanye uwe z
uzu mkuu
 
Ushamba mzigo.
Wachezaji wa ligi kubwa duniani hawaendi na gari za club uwanjani hasa wanapokuwa nyumbani.
Wewekumuona kibwana kapqnda bodaboda unashangaa.
Kagere alipokuwa simba miaka yote alitumia bodaboda. Ulifikiri hakuwa na pesa ya kununua gari?
Kuishimbagala kusikufanye uwe z
uzu mkuu
Sijawahi ona club kubwa inaenda kwenye mashindano ya adhi ya CAF au UEFA champions league wakienda na bodaboda au usafiri binafsi.. Tumia kichwa chako vizuri usiipe shingo mzigo
 
Kuna wengine walisubiri mpaka giza lilipoingia wakaondoka kwa usafiri wa fisi na mbweha.
Maajabu!
 
Back
Top Bottom