Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mechi pia basi lao lilikutwa limeachwa nnje ya uwanjaHabari! Naomba niende kwenye mada moja kwa moja.
Jana baada ya kipigo cha 0-2 toka kwa Al Hilal ya Sudan, baadhi ya wachezaji wa Yanga wakiongozwa na Kibwana Shomari walionekana kuondoka uwanjani hapo kwa usafiri binafsi na sio wa pamoja kama timu ambapo Kibwana alionekana kuondoka na bodaboda na Aziz Ki kwa gari binafsi.
Kwa kawaida tumezoea kuona timu ikiingia pamoja na kutoka pamoja kabla na baada ya mchezo na ndio utaratibu. Ila kwa timu ya Yanga jana wameonyesha udhaifu mkubwa katika katika uongozi na katika mashindano makubwa.
Sasa je hii ni sawa kwa usalama wa wachezaji wao?
Duh, Mgunda na ule msuruali wake wa Jeans ni mashaka makubwa sana kama tutapona!Mgunda kashasikia haya maombi bila shaka
Watakupiga wanahasira hao si ulimwona Yule mwenzao mmoja walimtwanga makofi wale makomando sijuiMbona unatufokeaa sasa!
Muombe radhi huyo mzee siyo makamu yako! tena koma km ulivokoma kunyonya kwa mama yakoDuh, Mgunda na ule msuruali wake wa Jeans ni mashaka makubwa sana kama tutapona!
Kwa kweli na asitufatilie 🤣 🤣 🤣Achana na sisi
Ushamba mzigo.Habari! Naomba niende kwenye mada moja kwa moja.
Jana baada ya kipigo cha 0-2 toka kwa Al Hilal ya Sudan, baadhi ya wachezaji wa Yanga wakiongozwa na Kibwana Shomari walionekana kuondoka uwanjani hapo kwa usafiri binafsi na sio wa pamoja kama timu ambapo Kibwana alionekana kuondoka na bodaboda na Aziz Ki kwa gari binafsi.
Kwa kawaida tumezoea kuona timu ikiingia pamoja na kutoka pamoja kabla na baada ya mchezo na ndio utaratibu. Ila kwa timu ya Yanga jana wameonyesha udhaifu mkubwa katika katika uongozi na katika mashindano makubwa.
Sasa je hii ni sawa kwa usalama wa wachezaji wao?
Sijawahi ona club kubwa inaenda kwenye mashindano ya adhi ya CAF au UEFA champions league wakienda na bodaboda au usafiri binafsi.. Tumia kichwa chako vizuri usiipe shingo mzigoUshamba mzigo.
Wachezaji wa ligi kubwa duniani hawaendi na gari za club uwanjani hasa wanapokuwa nyumbani.
Wewekumuona kibwana kapqnda bodaboda unashangaa.
Kagere alipokuwa simba miaka yote alitumia bodaboda. Ulifikiri hakuwa na pesa ya kununua gari?
Kuishimbagala kusikufanye uwe z
uzu mkuu
Kazi kwelikweliHawaelewekagi hao mkuu
😀😀Kila anayepita mbele yao wanamuona ka Tabora UTD
Kabisa, baleke na musonda walipanda ungo.Nasikia wengine walipaa kabisa