Je, ni sawa wachezaji wa Yanga SC kuondoka uwanjani kwa bodaboda?

Maagizo ya mganga wao
 
Kw miguu taifa mpaka avic ,wangeogelea sio
 
Vipi kuhusu usalama wao kama wangetembea kwa mguu? Injinia nahisi walimdanganya juu ya Gamond
Nilisema tu kama mtu tu aliyekuwa na dharabu,, kwa maana ya kutaka kuiona Yanga ikiendelea kuwa kubwa zaidi na zaidi but natambua umuhimu wa wachezaji wetu na nawaheshimu sana pia namweshimu sana Eng. Hersi, Tuishi humu kwa sasa.
 
Nilisema tu kama mtu tu aliyekuwa na dharabu,, kwa maana ya kutaka kuiona Yanga ikiendelea kuwa kubwa zaidi na zaidi but natambua umuhimu wa wachezaji wetu na nawaheshimu sana pia namweshimu sana Eng. Hersi, Tuishi humu kwa sasa.
Mnakufa na tai shingoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…