SaidSabke
JF-Expert Member
- Sep 28, 2006
- 2,071
- 402
Hatuhitaji sana misaadaMpaka leo najiuliza hili Swali ni kwanini Taasisi Kubwa na Muhimu kabisa za Masuala ya Fedha Duniani (Ulimwenguni) za WB (Benki ya Dunia) na IMF (Shirika la Fedha Duniani) kwa Siku za karibuni na niweke tu wazi tokea 2016 hadi huu wa 2020 wamekuwa ' Wazito ' mno Kuisaidia Tanzania kwa Pesa (Fedha) tofauti na ilivyokuwa huko nyuma?
Je, ni Siasa za Tanzania labda ndizo ' zimewakwaza ' hivi au labda yawezekana kukawa na ' Kirusi ' kisicho na Jina ambacho kipo Tanzania na labda hata Sisi Watanzania hatukijui ndicho kimewakera na kuwakatisha tamaa hivi ya Kutusaidia tofauti na nchi zingine kadhaa za Afrika kama za Rwanda, Uganda, Ethiopia, Ghana ambazo zinapewa kila wakati?
Tumewakosea nini WB na IMF?
Nawasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app