Kindeena
JF-Expert Member
- Sep 27, 2017
- 11,462
- 21,124
Bado hujajibu vizuri. Bora useme anza na kidogo halafu ndiyo apande kuelekea kwenye mamilioniHangaika na soko kubwa au wateja wakubwa. Kazi za Elfu hamsini, laki mbili na kadhalika zitakupa kula tu ila hamna kutoboa.
Mafanikio makubwa yapo kwenye wateja wakubwa na miradi mikubwa ya serikali, mashirika na makampuni makubwa size za Millioni 10, Millioni 100, Billioni na kadhalika.