wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Hahah Mimi sio mpenzi wa Gari za dizaini hizo tu mkuu,hata Audi rs6 naipenda tu mambio yake lkn ilivyokaa siipendi.Kila nikizifikiria hizo gari zinanikata stimu kwa subaru legacy wagon
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahah Mimi sio mpenzi wa Gari za dizaini hizo tu mkuu,hata Audi rs6 naipenda tu mambio yake lkn ilivyokaa siipendi.Kila nikizifikiria hizo gari zinanikata stimu kwa subaru legacy wagon
Nishamiliki hilo legacy miaka ya nyuma,sasa nikawa na plan labda nirudi tena mle maana naijua ilivyo ugumu wake,nikapita sehemu humu mkuu Extrovert nikaona anaifananisha na fielder,stim ikakata hapo hapo 😀Hahah Mimi sio mpenzi wa Gari za dizaini hizo tu mkuu,hata Audi rs6 naipenda tu mambio yake lkn ilivyokaa siipendi.
Ili kuifata lazima uwe na 320kmh mbavu Nene.. na uwe umenitoa akili
Kwanza sikuwa nataka kuvuka 130, nilishangaa tu nachungulia mshale upo 160 na bado ilikuwa inadaendelea. Nikaona sio sifa wacha nipunguze mafuta.Ukaona uache zilizobaki 😄😄
Kwa safari fupi 120 inapendeza, ila kama unakuta unatakiwa utembee zaidi ya 1000 km + huo mwendo utajilaumu..Kwanza sikuwa nataka kuvuka 130, nilishangaa tu nachungulia mshale upo 160 na bado ilikuwa inadaendelea. Nikaona sio sifa wacha nipunguze mafuta.
Ni vema uwahi kuamka kuliko kukimbizana na zaidi ya 140. Barabara zenyewe hizi hazieleweki. Angalau kipande cha Dodoma to Kondoa barabara iko vizuri. Hiyo speed tuwaachie wenye ma VXRKwa safari fupi 120 inapendeza, ila kama unakuta unatakiwa utembee zaidi ya 1000 km + huo mwendo utajilaumu..
Hapana aisee, sitaki sifa barabaraniKama chuma inaruhusu mguu muhimu chief.
Bila kufuta sahani sijisikii kabisa, pia nashukuru nishaachana na gari zenye mwisho wa 180kmh.. na mwisho wangu Huwa sizidi 250kmh na sitembei chini ya 160kmh ambapo hakuna kibao Cha 50kmhNi vema uwahi kuamka kuliko kukimbizana na zaidi ya 140. Barabara zenyewe hizi hazieleweki. Angalau kipande cha Dodoma to Kondoa barabara iko vizuri. Hiyo speed tuwaachie wenye ma VXR
Ngoja nikutafutie Kwa wadau.Aisee hio Idea nimeikubali,una mawasiliano ya huyo jamaa mkuu?
Hii road unapata Street Bike unaivuta mpaka 180kph.
Mkuu Honda CBR 650 Ina mfumo wa VTEC.Gari: 220kph BMW 323i E90 2012
Pikipiki: 200kph Honda CBR 650 2014
Ile hali unayopata ni kama teja flani hivi ukifika izo speed.
Hapana. VTEC ilitumika katika zile naked mfano navyojua CB400 ila kwenye CBR hapana hazijawahi.Mkuu Honda CBR 650 Ina mfumo wa VTEC.
Duh, uko level ingine aiseeBila kufuta sahani sijisikii kabisa, pia nashukuru nishaachana na gari zenye mwisho wa 180kmh.. na mwisho wangu Huwa sizidi 250kmh na sitembei chini ya 160kmh ambapo hakuna kibao Cha 50kmh