Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,757
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ikate kamba hio mzee unachana 289kph tu kama unanawa hivi😂😂😂Hahahaha ya kwangu mimi nina mpango wa kuiondoka speed limit Lexus GS 450 ina engine ya 2GR ni more powerful than 4GR huyu atakua na 5 Series zile zile za kawaida i.e 525i au 523i ni nadra sana kukuta mnunuzi wa 5 series anaenda zaidi ya hizo..kwaio GRS200 na 525i inakua imebalance mule mule...😀😀😀
5 series ataliwa tu, Toyota tunanyanyaswa na kamba ya 18Okph tuItabidi siku nikutafute kama bado hio 5 series upo nayo tuipimishe na GRS200 iliotolewa speed limit...😂😂😂😂
Hio ameikuta kwenye mkorosho, aidha GX1OO flani au baluni namna A!1jz-gte iuzwe mil 4.3?
Kukimbiza gari rahaDuh, uko level ingine aisee
Hicho kigari hakiwezi toboa 18O kph banaCc990 tena manual
18O kawaida kama gari iko stable vipande vya kumaliza viko vingiSpeed kubwa kabisa ni 250kmh.. 180kmh ya kawaida kabisa kwangu 😆😆😆 hizi nazikata sana Barbara ya tabora nzega, au tabora manyoni.. au dodoma to singida Kuna vipande mafuta hii
Labda kwenye njia ndefu isiyo na tuta Wala mashimoHicho kigari hakiwezi toboa 18O kph bana
horsepower yake ndogo mno.
Hazijaachana sana ila 2JZ ndio ina nguvu sanaIvi wakuu kati ya gx-100 exceed yenye 2jz-GE na superlucent yenye 1jz-GE ipi ipo na uwezo,bei kwa ujumla nikicheki superlucent ina bhp200 rpm6000 exceed ina 220bhp rpm 5600.
Labda kwenye njia ndefu isiyo na tuta Wala mashimo
😁😁😁😁 Ila dashboard inasoma 180 au wajapan wametupiaa ?Hakifiki aisee. Kama 149Occ ina horses 1O9 huku ile ya 129Occ ina horses 94 likely hako kaushenzi katakuwa kana horses 87 hivi. 😂😂😂
Ni kama VW zinazosoma 260kph huku nyingi hazivuki 240kph😁😁😁😁 Ila dashboard inasoma 180 au wajapan wametupiaa ?
Harrier nimefika 140Nyepesi sana.
Kufika 180 na harrier kunahitaji ujasiri.
Ahaaa.. sikuwa najuwa hili.Ni kama VW zinazosoma 260kph huku nyingi hazivuki 240kph
Zenye turbo unaweza ku-tune ikavuka kabisa. Ila Audi kidogo zina limit iko juu.Ahaaa.. sikuwa najuwa hili.
Ila kitaalamu hapo kama ingine from kiwandani wame set hizo standard, na sie huku tuka violate hizo standard si yunachosha engine mapema ? Namkumbuka jamaa yangu wa scirocco.. ime lock engine 🤦🤦🤦Zenye turbo unaweza ku-tune ikavuka kabisa. Ila Audi kidogo zina limit iko juu.
Bro we ni muongo, any way unapopasema hapo kupita Tinde napajua lakini hiyo gari Ina speed mwisho 180, hiyo 186 uliitoa wapi?Kwema wakuu, je ni speed gani kubwa zaidi ushawahi kutembea na gari au pikipiki na ilikuwa ni gari gani au pikipiki gani?
Nikianza mie nakumbuka mwaka 2017 nilikuwa na Cresta GX100 yenye engine ya 1jz turbo dashboard iliwahi kusoma 186 Kph (Dashboard ilikuwa ya digital) na ilikuwa ni sehemu inaitwa Samunge kuna down hivi kali kuitafuta Shinyanga. Nilikuwa na ndugu yangu alipiga kelele sana kuwa mwendo ni mkali ila nimuuliza tu "KWANI MIE NIPO NJE YA GARI?" [emoji23][emoji16]
Pia nakumbuka kuna jamaa yangu alinunua pikipiki Kawasaki Ninja Z2 ina speed 260 nikasema ebu ngoja niitest [emoji16], bwana wee, nikaingia Kilwa Road kuanzia pale Kurasini Mivinjeni kuelekea uhasibu T.I.A yani ile nimepiga gear ya kwanza hadi ya nne mafuta mengii naona chuma inasoma 190+. Weeee nilipunguza mwenyew bila kuambiwa.
[emoji23][emoji23]
Naombeni experience zenu wakuu kwenye masuala ya Speed.
RRONDO
Extrovert
Bavaria
JITU LA MIRABA MINNE
View attachment 2291079
Kuna vitu unabadili kwenye hio process. Kama sio chixi magari hutaweza.Ila kitaalamu hapo kama ingine from kiwandani wame set hizo standard, na sie huku tuka violate hizo standard si yunachosha engine mapema ? Namkumbuka jamaa yangu wa scirocco.. ime lock engine 🤦🤦🤦