Asee, pole sana chief...... mwendo haukufai.Yap! Kimsingi nilijifunza gari mwenyewe Sasa nilivyoanza kupata uzoefu kidogo nimetoka magomeni naitafuta roundabout ya kigogo nipo speed zaidi ya 120, walikua karibu walikimbia wakijua gari inaruka zile Kingo za barabara kuwafuata. Nilishika break inaninyanyua juu upande, kuachia ikajipigiza ukingoni ilizunguka kimiujiza ikakaa upande wa gari za kutokea Ilala. Hiyo ilikua 2008
Asee, pole sana chief...... mwendo haukufai.
Corona premio with a 7A engine.Nilishapoa kitambo, uzuri ndio ilikua gari ya kwanza zile Corona Zina taa ndefu nyuma. CC 1800 hivi. Niliibadilisha rangi baada ya hiyo ajali.
Nyingine ni pale makutano ya barabara inayoelekea daraja jipya na hii inaenda ubalizi wa Kenya. Tulikosanakosana na jamaa pale nikiwa mwendo wa 160 tu. Gari iluenda kuzima yenyewe baada ya kukwepa nguzo mawe na visiki sikuamini kama tumetoka salama.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mi nlidhani umewahi kuendesha gari kwa speed ya juu sana kumbe unazungumzia hizi za kawaida za 180 mpaka 190?
Ulikuwa unaendesha msafara wa harusi? Sasa sisi ambao tumeendesha speed mpaka 300 si tungeanzisha forum au website kabisa? Wewe wa speed 180 unaanzisha uzi? Aisee....umenichosha kbisa.
Mambo vipi bossi!!Litre moja ni sawa na £1 naona bei bado ni rafiki
Shwari shwariMambo vipi bossi!!
Poa mkuu.Shwari shwari
Hii kitu nimefuatilia ni kweli, kama Lexus IS35O ya gia 6 iko more faster kuliko ya gear 8! Generations za 2OO6-2O11.Wanasema na gearbox ( aina ya gearbox ) inachangia kitu kuchomoka chap chap plus other technology ambazo zipo Kwa engine
Ah.. mkuu ukishakua na watoto unaanza kuwaza mambo mengi automatically unajikuta tu unapunguza ujinga.[emoji23][emoji23][emoji23]
Kipindi hicho huna watoto, kwa sasa watoto ndio speed limiter?
Ila mimi mpaka sasa nikiziona Chaser Avenger roho inafanyaa paa..Hio ameikuta kwenye mkorosho, aidha GX1OO flani au baluni namna A!
Kuagiza sahizi kwa bei zilivyo sokoni uikute kwenye Celica au GX11O bei ni mkasi sana.
Kiufupi wajerumani kwenye sekta ya magari hawafai.Aisee! Sasa hio si ndio mtoto kabisa. 300+hp Vs 549hp ?
Ni Chaser Avante, sio Avenger.Ila mimi mpaka sasa nikiziona Chaser Avenger roho inafanyaa paa..
NB:Zile zilzo nyooka napenda sana shoo ya mbele imekaa kibabe
Yeah avante mkuu shukrani kwa marekebishoNi Chaser Avante, sio Avenger.
Kazi hii nzuri sana kwa usiku dar to mbyKwema wakuu, je ni speed gani kubwa zaidi ushawahi kutembea na gari au pikipiki na ilikuwa ni gari gani au pikipiki gani?
Nikianza mie nakumbuka mwaka 2017 nilikuwa na Cresta GX100 yenye engine ya 1jz turbo dashboard iliwahi kusoma 186 Kph (Dashboard ilikuwa ya digital) na ilikuwa ni sehemu inaitwa Samunge kuna down hivi kali kuitafuta Shinyanga. Nilikuwa na ndugu yangu alipiga kelele sana kuwa mwendo ni mkali ila nimuuliza tu "KWANI MIE NIPO NJE YA GARI?" [emoji23][emoji16]
Pia nakumbuka kuna jamaa yangu alinunua pikipiki Kawasaki Ninja Z2 ina speed 260 nikasema ebu ngoja niitest [emoji16], bwana wee, nikaingia Kilwa Road kuanzia pale Kurasini Mivinjeni kuelekea uhasibu T.I.A yani ile nimepiga gear ya kwanza hadi ya nne mafuta mengii naona chuma inasoma 190+. Weeee nilipunguza mwenyew bila kuambiwa.
[emoji23][emoji23]
Naombeni experience zenu wakuu kwenye masuala ya Speed.
RRONDO
Extrovert
Bavaria
JITU LA MIRABA MINNE
View attachment 2291079
Asante Sana chief.Ngoja nikutafutie Kwa wadau.
Pia kuna mmoja ni maarufu (Michael) pale Tunduma alikuwa anachukua cabin za Fuso na Body za Land Cruiser Zambia, hizo gari anaweza akatafuta.
Duh uzuri wa JF kila mtu ameshaendesha Gari mitaa ya Autobahn pale,kiasi Kwamba mtu akisema aliendesha Kati ya 180-190kph mnaona Ni kawaida Saana.Mi nlidhani umewahi kuendesha gari kwa speed ya juu sana kumbe unazungumzia hizi za kawaida za 180 mpaka 190?
Ulikuwa unaendesha msafara wa harusi? Sasa sisi ambao tumeendesha speed mpaka 300 si tungeanzisha forum au website kabisa? Wewe wa speed 180 unaanzisha uzi? Aisee....umenichosha kbisa.
Hao watu huko barabarani walikua wanajua mnashindana?Kwenye mbio hata mimi sikosekani wakuu.
Niliwahi kuvunja rekodi yakutokupitwa na gari yoyote ile Kuanzia Dar hadi Nduta- Kigoma huko kwa wakimbizi.
Siku pitwa na chombo chochote cha ardhini.