Je, ni Speed gani kubwa zaidi ushawahi kutembea na gari au pikipiki?

Je, ni Speed gani kubwa zaidi ushawahi kutembea na gari au pikipiki?

Yap! Kimsingi nilijifunza gari mwenyewe Sasa nilivyoanza kupata uzoefu kidogo nimetoka magomeni naitafuta roundabout ya kigogo nipo speed zaidi ya 120, walikua karibu walikimbia wakijua gari inaruka zile Kingo za barabara kuwafuata. Nilishika break inaninyanyua juu upande, kuachia ikajipigiza ukingoni ilizunguka kimiujiza ikakaa upande wa gari za kutokea Ilala. Hiyo ilikua 2008
Asee, pole sana chief...... mwendo haukufai.
 
Asee, pole sana chief...... mwendo haukufai.

Nilishapoa kitambo, uzuri ndio ilikua gari ya kwanza zile Corona Zina taa ndefu nyuma. CC 1800 hivi. Niliibadilisha rangi baada ya hiyo ajali.

Nyingine ni pale makutano ya barabara inayoelekea daraja jipya na hii inaenda ubalizi wa Kenya. Tulikosanakosana na jamaa pale nikiwa mwendo wa 160 tu. Gari iluenda kuzima yenyewe baada ya kukwepa nguzo mawe na visiki sikuamini kama tumetoka salama.
 
Nilishapoa kitambo, uzuri ndio ilikua gari ya kwanza zile Corona Zina taa ndefu nyuma. CC 1800 hivi. Niliibadilisha rangi baada ya hiyo ajali.

Nyingine ni pale makutano ya barabara inayoelekea daraja jipya na hii inaenda ubalizi wa Kenya. Tulikosanakosana na jamaa pale nikiwa mwendo wa 160 tu. Gari iluenda kuzima yenyewe baada ya kukwepa nguzo mawe na visiki sikuamini kama tumetoka salama.
Corona premio with a 7A engine.
Pia unapokosea ni kukimbia mjini kwa kutumia gari inayochelewa kuchanganya.
 
Mi nlidhani umewahi kuendesha gari kwa speed ya juu sana kumbe unazungumzia hizi za kawaida za 180 mpaka 190?

Ulikuwa unaendesha msafara wa harusi? Sasa sisi ambao tumeendesha speed mpaka 300 si tungeanzisha forum au website kabisa? Wewe wa speed 180 unaanzisha uzi? Aisee....umenichosha kbisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
 
Wale jamaa wa STL na Wajamaa wa plate number za Blue na wachache wa Kijani...
Salute sana!!
 
Wanasema na gearbox ( aina ya gearbox ) inachangia kitu kuchomoka chap chap plus other technology ambazo zipo Kwa engine
Hii kitu nimefuatilia ni kweli, kama Lexus IS35O ya gia 6 iko more faster kuliko ya gear 8! Generations za 2OO6-2O11.

Lexus IS35O inatembea O-6O kwa less than 5 secs ila generations za kuanzia 2O12 ziko a bit laggy.
 
Hio ameikuta kwenye mkorosho, aidha GX1OO flani au baluni namna A!

Kuagiza sahizi kwa bei zilivyo sokoni uikute kwenye Celica au GX11O bei ni mkasi sana.
Ila mimi mpaka sasa nikiziona Chaser Avenger roho inafanyaa paa..

NB:Zile zilzo nyooka napenda sana shoo ya mbele imekaa kibabe
 
Kwema wakuu, je ni speed gani kubwa zaidi ushawahi kutembea na gari au pikipiki na ilikuwa ni gari gani au pikipiki gani?

Nikianza mie nakumbuka mwaka 2017 nilikuwa na Cresta GX100 yenye engine ya 1jz turbo dashboard iliwahi kusoma 186 Kph (Dashboard ilikuwa ya digital) na ilikuwa ni sehemu inaitwa Samunge kuna down hivi kali kuitafuta Shinyanga. Nilikuwa na ndugu yangu alipiga kelele sana kuwa mwendo ni mkali ila nimuuliza tu "KWANI MIE NIPO NJE YA GARI?" [emoji23][emoji16]

Pia nakumbuka kuna jamaa yangu alinunua pikipiki Kawasaki Ninja Z2 ina speed 260 nikasema ebu ngoja niitest [emoji16], bwana wee, nikaingia Kilwa Road kuanzia pale Kurasini Mivinjeni kuelekea uhasibu T.I.A yani ile nimepiga gear ya kwanza hadi ya nne mafuta mengii naona chuma inasoma 190+. Weeee nilipunguza mwenyew bila kuambiwa.
[emoji23][emoji23]

Naombeni experience zenu wakuu kwenye masuala ya Speed.

RRONDO
Extrovert
Bavaria
JITU LA MIRABA MINNE

View attachment 2291079
Kazi hii nzuri sana kwa usiku dar to mby

Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
 
Mi nlidhani umewahi kuendesha gari kwa speed ya juu sana kumbe unazungumzia hizi za kawaida za 180 mpaka 190?

Ulikuwa unaendesha msafara wa harusi? Sasa sisi ambao tumeendesha speed mpaka 300 si tungeanzisha forum au website kabisa? Wewe wa speed 180 unaanzisha uzi? Aisee....umenichosha kbisa.
Duh uzuri wa JF kila mtu ameshaendesha Gari mitaa ya Autobahn pale,kiasi Kwamba mtu akisema aliendesha Kati ya 180-190kph mnaona Ni kawaida Saana.

Salimia hapo YouTube mkuu.
 
Back
Top Bottom