Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenyoooshwa! Ujaka-mark utupie kapicha tuone humuJana wazee nmekalishwa na ka-Benz kadogo dogo hivi hata model yake nimeshindwa kuielewa nikiwa na Alphard njia kutokea Manyoni kuelekea Dodoma. Nilikuwa natembea na 170kph ila jamaa alinipita kama nimesimama. [emoji1316]View attachment 2299567View attachment 2299566
Kama ni hivo ntakucheki mkuu uniunganishe nivute moja ya kuendea mkoa shambani kwangu ![emoji23][emoji23][emoji23]
Gx100 hazina bei mkuu.
280[emoji848][emoji848][emoji848] siwezi kuendeshwa kwenye hii pikipiki labda mimi ndo niendesheKawasaki jogoo kichaaView attachment 2300797View attachment 2300798
msala huo 😁😁 body ni mwili wako280[emoji848][emoji848][emoji848] siwezi kuendeshwa kwenye hii pikipiki labda mimi ndo niendeshe
Nikipata kama hili wanaweza nikuta nipo kitonga naning'inia chini kule[emoji75] 280[emoji114]Kawasaki jogoo kichaaView attachment 2300797View attachment 2300798
Yaani ikifika 140 haiongezeki labda ukiwa huna mzigo au abiria uwe peke yakoHicho kigari hakiwezi toboa 18O kph bana
horsepower yake ndogo mno.
Hata hio haiwezi kufika mwisho ni 140Labda kwenye njia ndefu isiyo na tuta Wala mashimo
Kana 78Hakifiki aisee. Kama 149Occ ina horses 1O9 huku ile ya 129Occ ina horses 94 likely hako kaushenzi katakuwa kana horses 74 hivi. [emoji23][emoji23][emoji23]
Ila kazalau toka dom mpaka mitaa ya kahama natumia L 28Nazungumzia Vits ya 99Occ ile [emoji23][emoji23][emoji23], 2JZ ni moto mwengine kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1316]
Huko mie naweza nikafa kwa kweli maana nitalazimisha nimalize 260 ya mjerumani
O RANGE SI KWAMBA ULIIACHA KWA KUDHANI KWAMBA UNA ENGINE YENYE UWEZO LA ASHA, ULIMUACHA KWA KUWA HAKUPENDA LIGI NAWE NA MARA NYINGI HIZI RANGE UENDESHWA NA WAZEE.. ALTEZA NA SUBARU MARA NYINGI UENDESHWA NA VIJANA... RIKA ILI UPENDA LIGI KTK NYANJA ZOTE ZA KIMAISHA.Mleta mada mimi naomba niulize kitu..hio GX100 uliifanyia modification na kuweka hio turbo? Maana JZX100 ndo ina 1JZGTE...nirudi kwenye point mimi speed kubwa ni 170KPH Altezza 3SGE sehemu mbili moja ukiwa unaitafuta kitonga baada ya kuimaliza iringa sehemu ya pili ni mikumi mbugani hii siku niliiacha Range Rover..ya 2014..na sehemu ingine ukishamaliza mikumi kutafuta vijiji vya mangae/mangai😀😀😀
Kama ulikuwa na hizi howo sawa ila ungekuwa na scania/volvo/benz mngesumbuana njia gani boss.Kuna siku nilikuwa natoana jasho na ile bin salum nyeupe mpya! Gafla ilitokea MAN moja ya Burundi ikatupoteza na hatukuiona tena!!!
Nilikuwa 120 ila tulipitwa kama tunapark[emoji28][emoji28][emoji28]
Sorry kwa kwenda nje ya mada mkuu..
Tulikuwa na scania mkuu! Jamaa kapita kama jini na kapotea..Kama ulikuwa na hizi howo sawa ila ungekuwa na scania/volvo/benz mngesumbuana njia gani boss.
Scania gani mkuu basi mlitakiwa muwe na benz au volvoTulikuwa na scania mkuu! Jamaa kapita kama jini na kapotea..
Kwa kifupi jamaa alituzidi uwezo!
Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app