Je, ni Speed gani kubwa zaidi ushawahi kutembea na gari au pikipiki?

Je, ni Speed gani kubwa zaidi ushawahi kutembea na gari au pikipiki?

Speed 220 - BMW 5 Series, Njia ya Arusha to Namanga.

Ilikuwa mashindano ya magari na wapumbavu wa Alteza wakiamini ile movie ya Transporter BMW ilikuzwa.
Aaah aaah aaah watu wa alteza wanajisahau saana... Wanahusi sport car na kelele mingi ndio wamemaliza....

Juzi tu nimetoka kujambisha mtu. Ana alteza mi nilikuwa na brevis kati kati ya jiji. Ila kamata rufaa anasema tutafute safari... Nimemuambia mi sio mtu wa maspeed.
 
Aaah aaah aaah watu wa alteza wanajisahau saana... Wanahusi sport car na kelele mingi ndio wamemaliza....

Juzi tu nimetoka kujambisha mtu. Ana alteza mi nilikuwa na brevis kati kati ya jiji. Ila kamata rufaa anasema tutafute safari... Nimemuambia mi sio mtu wa maspeed.
Sure thing alafu alteza ina sound mbovu sana haijawahi nishawishi kitu ni subaru aisee hasa ukute imprezza wrx imekubali sound[emoji119][emoji119]
 
Juzi kati nimepanda IT usiku nikasinzia gafla usingizini nahisi kama ninapaa nastuka kuangalia dashboard mshale siuoni kutazama kwa umakini naona umelalia upande wa kulia tunatembea katikati ya barabara nikahisi uyu mcongo anataka kutuua sikulala tena mpk kunakucha
Same to me,nilipanda IT uelekeo Mbeya(mark x) yule dereva alikuwa mchaga aged kidogo,mimi nilikuwa mbele nyuma kulikuwa na wamalawi wawili mke na mume jamaa tulianza mshtukia uendeshaji wake toka moro,baada ya kupita ruaha mbuyuni tulikoswa na fuso tukapiga kelele wakaniambia anipe niendeshe mimi anaonekana anasinzia la sivyo tutamripoti akakaza,kabla ya kitonga tena kidogo tutoke nje ya barabara hadi mwenyewe akaridhia tumpokee,mimi nilikataa yule mmalawi akashika asukani dah jamaa alikuwa anaenda mpka 170 na utulivu wa hali ya juu.Tulishuka uyole tukamwacha akiendelea lusaka.
 
2
😂😂😂Huyo kumfuata labda uwe na 2GR iliokatwa kamba yani! Kama ile masterplan ikikaa vizuri itabidi tuweke kichwa kimoja maalum kwa ajili ya kukata kamba za mjapan.

Itakuwa entry strategy nzuri kwenye soko.
2gr iko vizuri ila sio kwa mercedes amg spec haswa hizo za 6.3 kibako ambacho 2gr itapokea hutokaa usahau.
 
220kph.. Nilifuta kisahani cha nissan xtrail, yd 22 mzigo gear 6,nikafuta 180kph nissan patrol td 42.
Ila si kwa umbali mrefu saana, nafsi ilinishitua nisilete wenge music,likitokea la kutokea watanizika kwa kukusanya mabaki ya nyama. 😂
 
Kabisa mkuu

ila hiyo hiyo 2gr ikikutana subaru sti stock (haijachokonolewa) sti inakaa vizuri tu.
STi hawezi mziki wa 2GR tena ukute ni ile ya 260kph version. Hamna STi yenye more than 280HP hata ichokonoleweje.

Ukija kwa 2GR Stock ni 310HP hio haina mbambamba. Ni moto wa kuotea mbali.
 
STi hawezi mziki wa 2GR tena ukute ni ile ya 260kph version. Hamna STi yenye more than 280HP hata ichokonoleweje.

Ukija kwa 2GR Stock ni 310HP hio haina mbambamba. Ni moto wa kuotea mbali.
Hapana mkuu sti ni rahisi sana kuiacha 2gr ikishakuwa modified tena kwa simple mods tu kama air intake, exhaust na tune tu. 260kph bila horses za kutosha ni ndoto kuifikia. Subaru kwakuwa ina turbo ina advantage kubwa sana maana unaweza ukaimodify ikafika mpaka hp500 ila kwa 2gr sio rahisi maana yenyewe kiasili ni naturally aspirated engine sio rahisi kuifanya ifike hata hp 350 bila aidha kuiweka supercharger au turbo kitu ambacho kitakucost hela nyingi halafu powergain kidogo unlike sti. Ila kuna jamaa yuko Dom huko ana 2gr yenye dash yenye 260Kph analeta utata analiwa timing aje Dar,

akiwa anapokea kibako nitakuletea video ushuhudie kuwa dashboard bila horses ni cosmetic tuu🙂
 
Hapana mkuu sti ni rahisi sana kuiacha 2gr ikishakuwa modified tena kwa simple mods tu kama air intake, exhaust na tune tu. 260kph bila horses za kutosha ni ndoto kuifikia. Subaru kwakuwa ina turbo ina advantage kubwa sana maana unaweza ukaimodify ikafika mpaka hp500 ila kwa 2gr sio rahisi maana yenyewe kiasili ni naturally aspirated engine sio rahisi kuifanya ifike hata hp 350 bila aidha kuiweka supercharger au turbo kitu ambacho kitakucost hela nyingi halafu powergain kidogo unlike sti. Ila kuna jamaa yuko Dom huko ana 2gr yenye dash yenye 260Kph analeta utata analiwa timing aje Dar,
View attachment 2409016
akiwa anapokea kibako nitakuletea video ushuhudie kuwa dashboard bila horses ni cosmetic tuu🙂
2GR stock inacheza 300+hp..Kumaliza hiyo dashboard ni kazi nyepesi sana kwake..!
Subaru itakuwa faster mwanzoni.. Ila ikifika 200 kwenda 260 Subaru haiwezi kupambana.. Zile 2 extra cylinders za 2GR ndio zinakick in..!
 
2GR stock inacheza 300+hp..Kumaliza hiyo dashboard ni kazi nyepesi sana kwake..!
Subaru itakuwa faster mwanzoni.. Ila ikifika 200 kwenda 260 Subaru haiwezi kupambana.. Zile 2 extra cylinders za 2GR ndio zinakick in..!
mkuu kumbuka sti stock ina 300hp pia, ina upungufu wa cylinder 2 ila inafidiwa na kuwa na turbo. Je umezingatia power to weight ratio?
 
mkuu kumbuka sti stock ina 300hp pia, ina upungufu wa cylinder 2 ila inafidiwa na kuwa na turbo. Je umezingatia power to weight ratio?
Gari yenye turbo ni sawa na Mwanamke mwenye maumbile kwa kutumia dawa.. Tofauti na (NA) Mwanamke mwenye shepu OG..
Kupata 300hp turbo iwe nzima kweli kweli..kuna lags..
Tofauti na NA hiyo power ipo already kwenye engine..
2500cc 4 cylinders vs 3500cc 6 cylinders hapo no match kwenye top end.. Engine ya Subaru itascream sana kumaintain 260 wakati 2GR bado anapuff..!
Power to weight sijazingatia.. Ila nahisi ni propaganda za watengenezaji..
 
Gari yenye turbo ni sawa na Mwanamke mwenye maumbile kwa kutumia dawa.. Tofauti na (NA) Mwanamke mwenye shepu OG..
Kupata 300hp turbo iwe nzima kweli kweli..kuna lags..
Tofauti na NA hiyo power ipo already kwenye engine..
2500cc 4 cylinders vs 3500cc 6 cylinders hapo no match kwenye top end.. Engine ya Subaru itascream sana kumaintain 260 wakati 2GR bado anapuff..!
Power to weight sijazingatia.. Ila nahisi ni propaganda za watengenezaji..
Uko sahihi mkuu power ya NA ipo mfuko wa shati ila ili kupata top end ukiweka tu turbo kubwa with its supporting mods top end inapatikana japokuwa na turbo lag itaingezeka. Ila with mods kama antilag unakuwa umeua mchezo ila again sti ukishaifanya hivyo sio stock tena na ikishakuwa sio stock tayari reliabilty unakuwa umeiweka rehani.

Kama ingekuwa ni kuchagua between the 2 i would have gone for the 2gr machine kwa ajili ya comfortbality, power na reliabilty. Ila kwenye uwanda wa michezo forced induction engine ina potential kuliko NA

Power to weight ratio sio propaganda ni ukweli. Imagine umefanikiwa kuifunga hiyo 2gr na gearbox yake kwenye starlet unadhani crown au vanguard zitakukamata?
 
Uko sahihi mkuu power ya NA ipo mfuko wa shati ila ili kupata top end ukiweka tu turbo kubwa with its supporting mods top end inapatikana japokuwa na turbo lag itaingezeka. Ila with mods kama antilag unakuwa umeua mchezo ila again sti ukishaifanya hivyo sio stock tena na ikishakuwa sio stock tayari reliabilty unakuwa umeiweka rehani.

Kama ingekuwa ni kuchagua between the 2 i would have gone for the 2gr machine kwa ajili ya comfortbality, power na reliabilty. Ila kwenye uwanda wa michezo forced induction engine ina potential kuliko NA

Power to weight ratio sio propaganda ni ukweli. Imagine umefanikiwa kuifunga hiyo 2gr na gearbox yake kwenye starlet unadhani crown au vanguard zitakukamata?
Sure hapo umetisha sana..

Sasa kwenye power to weight ratio ni propaganda kutokana na hii..
Suzuki Samurai SJ413 G13B 1300cc ina 69 hp weight yake 960kgs..
Scania 360hp ina weigh 9000kgs..
Kwa mahesabu ya hp/weight Suzuki Samurai ni powerful..!
Nguvu ya gari ni kwenye Torque.. HP ni marketing propoganda..!

Landcruiser LC200 1VDFTV haifiki hata 300hp.. Ambazo Subaru na Crown wanazo..
 
220km/h_subaru legacy 1999 B4

140km/h_ shacman H3000 400HP
120km/h_ howo 371
140kmh/h_ faw 420hp
120km/h_ scania
Mpaka nimestaafu magari naona yataniua bora nife nyumbani nikiwa nimelala

Pikipiki 70km/h nikakwepa uso kwa uso na cresta ilikua inaovertake kwenye single_road nikaenda zindukia tumbi siku mbili bdae nashtuka nikajua nipo mbinguni
 
Back
Top Bottom