Abdul Said Naumanga
JF-Expert Member
- Jan 28, 2024
- 673
- 1,318
- Thread starter
- #101
MmmmhHii safi sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MmmmhHii safi sana.
Shida ni pale mume wakp aende kwa mcheps afu apigwe massage yenye mpango amazing, mnatafuta watoto weeee mwshowe mnachoka kumbe mwafulani alipewa massage mpango....🧐🧐
🤔🤔🤔Mmmh, una hoja nzito📌Ila wadau bwana, mbona mnakubali wake zenu kutumia hayo mauzazi ya mpango ilhali yana madhara kibao, mood swings, wengine wanapata mauvimbe, wengine cycle zao zimeathirika lakin hamuoni hilo, na mnajua kabisa ni hayo madude yanawaathiri, hapa umoja wenu wa mataifa unataka kuguswa mmekemea kwa nguvu zote, ina maana hamuwajali wake zenu, mnajijali nyinyi tu? Hamna huruma eti?
📌Alafu athari ya hii njia magonjwa yatasambaa kwa kasi kubwa sana kwa sababu kinga hazitotumika.
Sasa mchepuko aki mmassage mtu wako inakuaje?😂 (Joking)Hii safi sana nimeipenda 🤣🤣🤣 hatuna muda wa kuijadili wala ni massage tu mchezo umeisha.
Huu ni upuuzi wa hali ya juu kabisa,kupoteza muda kwa kujadili ajenda ovu kama hii,na inadhihirisha uwezo mdogo wa kufikiri uliopo kwa mnaowaita wasomi na wataalam wetu.
Ndugu Wanajamvi,
Ninawaletea mjadala wenye uzito wa kielimu na kifikra kuhusu maendeleo mapya katika teknolojia ya uzazi wa mpango kwa wanaume. Nimekuwa nikifuatilia kwa karibu mjadala unaoendelea kuhusu dawa mpya ya uzazi wa mpango kwa wanaume, ambayo inaonekana kupokelewa na pande mbili tofauti katika nchi yetu. Kuna wanaounga mkono na wanaopinga. Wanaounga mkono wanaona hii kama hatua muhimu katika kuleta usawa wa jinsia katika majukumu ya uzazi wa mpango. Wanaopinga wanahofia athari za kiafya na kisaikolojia, pamoja na changamoto za kiutamaduni.
Faida na Hasara: Dawa hii ina faida zake, kama vile kumpa mwanamke uhuru zaidi na kuepusha mimba zisizotarajiwa. Hata hivyo, kuna wasiwasi kuhusu athari za kiafya na kisaikolojia, hasa kuhusiana na nguvu za kiume na uzalishaji wa mbegu.
Dawa hii, ambayo inatumia homoni mbili za kiume, nestorone na testosterone, inategemea kuwa njia mbadala kwa wanaume kuchangia katika uzazi wa mpango kwa njia ambayo haijawahi kuonekana before.
Hata hivyo, kuna masuala kadhaa ambayo yanahitaji kujadiliwa kwa kina ili kuhakikisha kuwa mapokeo ya dawa hii nchini Tanzania yatakuwa yenye tija na kuzingatia mila, desturi, na hali halisi ya kijamii.
Usalama na Ufanisi: Ni muhimu kujadili kwa kina kuhusu ufanisi wa dawa hii na usalama wake kwa matumizi ya muda mrefu. Mabadiliko ya Kiutamaduni: Tunapaswa kuchambua kwa umakini jinsi gani dawa hii itakavyopokelewa katika jamii yetu, ambayo ina mila na desturi zake. Je, wanaume wa Kitanzania wako tayari kutumia njia hii mpya ya uzazi wa mpango? Athari za Kisaikolojia: Ni muhimu kujadili athari za kisaikolojia kwa wanaume wanaotumia dawa hii, hasa kuhusiana na masuala ya nguvu za kiume na uzalishaji wa mbegu. Je, kuna wasiwasi wowote wa kupungua kwa hamu ya tendo la ndoa? Mbinu za Uzazi wa Mpango Zilizopo: Tunapaswa kulinganisha dawa hii mpya na mbinu zingine za uzazi wa mpango zinazotumika na wanaume kama vile kondomu na upasuaji wa mirija ya uzazi. Je, dawa hii itakuwa na faida zaidi ukilinganisha na mbinu zilizopo?Ninawaalika wataalamu, wanazuoni, na wanajamii kuchangia mawazo yao kuhusu mada hii nyeti na ya kipekee. Tujadili kwa kina na tufungue ukurasa mpya katika historia ya uzazi wa mpango nchini Tanzania.
Karibuni kwenye mjadala!
Huku utunzaji zero 😂😂😂😂😂😂😂😂 Wabongo mnalinda sana nguvu uzalishaji😄
Huu ni upuuzi wa hali ya juu kabisa,kupoteza muda kwa kujadili ajenda ovu kama hii,na inadhihirisha uwezo mdogo wa kufikiri uliopo kwa mnaowaita wasomi na wataalam wetu.
Tunajua na kuona mpango na harakati mbalimbali za kupunguza idadi ya watu duniani mf.magonjwa,vita, ugaidi,uzazi wa mpango n.k.na bado hatufikirii athari zake kama zilivyoanza kwa wanawake [nyota ya kijani,uzazi wa mpango,vipandikizi,sindano n.k.]sasa tunashuhudia matokeo yake, magonjwa kibao ya mfumo wa uzazi, matokeo hasi kwa baadhi ya watoto wanaozaliwa n.k.
bado bila aibu/haya mnajadili kuwashawishi wanaume kutumia hizo dawa
hatujamaliza la ushoga,mnaleta mpango wa uzazi kwa wanaume,hamuoni kuwa hawa wazungu wamekusudia kudhoofisha na kuyamaliza mataifa ya Africa?
Naheshimu mawazo yako🤝.Mnasikitisha sana,Ni hasara sana kwa taifa kuwa na wasomi na wataalam wa aina yenu.
Ndio hapo atabaki kasha tuSasa mchepuko aki mmassage mtu wako inakuaje?😂 (Joking)