Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Em rudi kwanza π€£π€£π€£ππππππππππππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Em rudi kwanza π€£π€£π€£ππππππππππππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈππΎββοΈ
maisha kusaidiana lakiniUkiwa kwa mwanamke inatosha.
tafuta uzi nkakusimulie ukoπππEm rudi kwanza π€£π€£π€£
mmmh pointi gani? Yaani Ndio maana nasema ngozi nyeusi kuna kasoro, hivi waache kuingiza ushoga kwenye madawa wanayoyazalisha au chanjo watoto wanapozaliwa waje kuhangaika na njia ngumu?πππPointπ
Twende kwenye uzi wa mention ππtafuta uzi nkakusimulie ukoπππ
niongoze mi sikujuiππTwende kwenye uzi wa mention ππ
Ww mgeni mwenyekiti mbona π€£π€£π€£niongoze mi sikujuiππ
niongoze bwana wew ππWw mgeni mwenyekiti mbona π€£π€£π€£
Soma vizuri hoja ya mdau, nadhani hujaielewa.mmmh pointi gani? Yaani Ndio maana nasema ngozi nyeusi kuna kasoro, hivi waache kuingiza ushoga kwenye madawa wanayoyazalisha au chanjo watoto wanapozaliwa waje kuhangaika na njia ngumu?πππ
π Ni kama lotion (Gel) ya kupaka mabegani.Ila mkuu kwani hizo dawa zinakuwaje Kwa kweli sijaelewaπ€£π€£?
Haya tulia nakuitaniongoze bwana wew ππ
Wanaume pekee watakaotumia hiyo dawa ni timu MARIOO, maana hao hawana tofauti na 'chawa', ni rahisi kupokea maelekezo na kutekeleza
Ndugu Wanajamvi,
Ninawaletea mjadala wenye uzito wa kielimu na kifikra kuhusu maendeleo mapya katika teknolojia ya uzazi wa mpango kwa wanaume. Nimekuwa nikifuatilia kwa karibu mjadala unaoendelea kuhusu dawa mpya ya uzazi wa mpango kwa wanaume, ambayo inaonekana kupokelewa na pande mbili tofauti katika nchi yetu. Kuna wanaounga mkono na wanaopinga. Wanaounga mkono wanaona hii kama hatua muhimu katika kuleta usawa wa jinsia katika majukumu ya uzazi wa mpango. Wanaopinga wanahofia athari za kiafya na kisaikolojia, pamoja na changamoto za kiutamaduni.
Faida na Hasara: Dawa hii ina faida zake, kama vile kumpa mwanamke uhuru zaidi na kuepusha mimba zisizotarajiwa. Hata hivyo, kuna wasiwasi kuhusu athari za kiafya na kisaikolojia, hasa kuhusiana na nguvu za kiume na uzalishaji wa mbegu.
Dawa hii, ambayo inatumia homoni mbili za kiume, nestorone na testosterone, inategemea kuwa njia mbadala kwa wanaume kuchangia katika uzazi wa mpango kwa njia ambayo haijawahi kuonekana before.
Hata hivyo, kuna masuala kadhaa ambayo yanahitaji kujadiliwa kwa kina ili kuhakikisha kuwa mapokeo ya dawa hii nchini Tanzania yatakuwa yenye tija na kuzingatia mila, desturi, na hali halisi ya kijamii.
Usalama na Ufanisi: Ni muhimu kujadili kwa kina kuhusu ufanisi wa dawa hii na usalama wake kwa matumizi ya muda mrefu. Mabadiliko ya Kiutamaduni: Tunapaswa kuchambua kwa umakini jinsi gani dawa hii itakavyopokelewa katika jamii yetu, ambayo ina mila na desturi zake. Je, wanaume wa Kitanzania wako tayari kutumia njia hii mpya ya uzazi wa mpango? Athari za Kisaikolojia: Ni muhimu kujadili athari za kisaikolojia kwa wanaume wanaotumia dawa hii, hasa kuhusiana na masuala ya nguvu za kiume na uzalishaji wa mbegu. Je, kuna wasiwasi wowote wa kupungua kwa hamu ya tendo la ndoa? Mbinu za Uzazi wa Mpango Zilizopo: Tunapaswa kulinganisha dawa hii mpya na mbinu zingine za uzazi wa mpango zinazotumika na wanaume kama vile kondomu na upasuaji wa mirija ya uzazi. Je, dawa hii itakuwa na faida zaidi ukilinganisha na mbinu zilizopo?Ninawaalika wataalamu, wanazuoni, na wanajamii kuchangia mawazo yao kuhusu mada hii nyeti na ya kipekee. Tujadili kwa kina na tufungue ukurasa mpya katika historia ya uzazi wa mpango nchini Tanzania.
Karibuni kwenye mjadala!
Ni ya kupaka kiongoziHii nzuri. Tunabambikiwa sana watoto. Lazma nichome wakianza kutoa.
Aiseeπ, kuna ukweli hapaπ.Kaka zangu WA ki tz wanalinda nguvu zao za kiume kuliko hata uchumi wao!!
Hizo dawa Bora wapeleke nchi zenye uhitaji kuliko huku watajichosha Tu!!!
Kama kupaka mbona balida. Maana wangesema kijiti hapo ndio ingekua mziki.Ni ya kupaka kiongozi
Wanaume pekee watakaotumia hiyo dawa ni timu MARIOO, maana hao hawana tofauti na 'chawa', ni rahisi kupokea maelekezo na kutekeleza
Ukipakwa bila kujua je?ππKama kupaka mbona balida. Maana wangesema kijiti hapo ndio ingekua mziki.