Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂Mambo ya kusingiziana mimba ndio mwisho wake IJE TU kubabake kumbe tunaipaka mabegani mi nilijua tunapaka kwenye dushelele maana Mkongo umeshawahi seat nilijua tunauchanganya na dawa ya uzazi wa mpango
😂😂Na ndo kitu wanaume tuna hofiaAaaaah.....hii ni kizungumkuti maana unaweza pakwa bila kujua
😂😂Ume represent mtazamo wa vijana wengi sana.duuh tunakoelekea sasa🙌🏾🙌🏾,,wacha nizae chapu kabla vizazi havijaanza kua changamoto kwa pande zote 2 sasa
madhara yanayotukumba wanawake sababu ya huo uzazi wa mpango wameona haitosho,wanaleta kwa wanaume sasa🙌🏾.
😂yani nilipanga kuzaa kila baada ya miaka mitatu ila napunguza sasa,,,hayo madawa yanatutesa tu that's why wanawake wengine matumbo makubwa kama nini unaeza sema bia kumbe mpango uzaz,,, ingawa sijawahi tumia mimi toka nizaliwe.😂😂Ume represent mtazamo wa vijana wengi sana.
Wengi wao wamebakia kusifia hivyo uwezo na ufanisi wa kazi hamna
Ila tumbo lipo 😂 (joking).ingawa sijawahi tumia mimi toka nizaliwe.
Point📌Yaani lengo wanataka tusiwe wengi.
Ndo maana hata wanalazimisha ushoga na usagaji wanajua.mkifanyana wenyewe kwa wenyewe hamuwezi kupata mtoto
😂😂😂 muanze kutumia njia zingineCondom zinatosha sana.
😂😂😂 muanze kutumia njia zingine
sijawahi miliki kitambi mimi sipendi hua napambania sanaaa,,niwe kimbaumbau na tumbo tena🙌🏾😂Ila tumbo lipo 😂 (joking).
Kwani tatizo liko wapi?Atukatai ila sio hii ya kupaka kama lotion tu, ukipakwa bila kujua je?
Mxiuuu jinga hili😂😂Ije wanawake tupumzike kutumia p2 😂
🤣🤣🤣 Ukifanya mchezo mbaya roho kolikoli unawaza kunywa p2, bora watumie nao uzazi wa mpango tupumzike.!!Mxiuuu jinga hili😂😂
kumbe naweye unakunywa😂😂😂ebu nisimulie zikoje basi wii🤣🤣🤣 Ukifanya mchezo mbaya roho kolikoli unawaza kunywa p2, bora watumie nao uzazi wa mpango tupumzike.!!