Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
🤣🤣🤣 Acha kunichora mfyuuu.!!kumbe naweye unakunywa😂😂😂ebu nisimulie zikoje basi wii
ila wakianza na wao tutapona haya mauvimbe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣 Acha kunichora mfyuuu.!!kumbe naweye unakunywa😂😂😂ebu nisimulie zikoje basi wii
ila wakianza na wao tutapona haya mauvimbe
Kwani tatizo liko wapi?
wewe born town,,mm mjini wa kuja ata sielewi kitu,, nisaidie basi😂😂,, uzazi wa mpango nisijezaa bila mapumziko🤣🤣🤣 Acha kunichora mfyuuu.!!
Kwani hii dawa ukipaka ndo uzalishi tena?Mwisho wa siku muanze kuwasumbua wanaume wenzenu wawazalishe
ila wakianza na wao
Usawa wa kijinsia wawapi hawa kama sio kutaka kuharibu asili ya mwanaume watumie wenyewe kama ni raha wakuunga waunge ujue mambo mengine ni usengeremaMimi siitaki hata kwa bure mbwa kabisa hawa.....hii dunia imefika mwisho.
Wewe unataka ya kuingizwa au kulishwa?? 😂Kwanini uni massage then unipake uzazi wa mpango badala ya wese la massage?😂
I'm going to be like,,babeee kuko na new lotion,, allow me to massage ur shoulder,kwa sauti fulani iviii weee utaniachia tu 😂😂Nani kasema wanaume wa Tz tutakubali kupaki mabega mafuta?😂
Huu ntiti asilimia kubwa watahisi zinapunguza nguvu za kiume
Sitaki uzazi wa mpango zaidi ya condomsWewe unataka ya kuingizwa au kulishwa?? 😂
Acha uzinzi ndo dawa 😂😂😂wewe born town,,mm mjini wa kuja ata sielewi kitu,, nisaidie basi😂😂,, uzazi wa mpango nisijezaa bila mapumziko
aaaah hua nataman kuacha,,ila nkikumbuka vile hua nakakamaa nikiwa kibo peak aloooh naghairi 😂😂😂,, uzaz wa mpango muhimAcha uzinzi ndo dawa 😂😂😂
Bado ipo kwenye majaribio ya mwisho.Inauzwaje, inapatikana wapi?
Ndio tujadiliane kama wanaume wa kitanzania.Kuna haja ya kuitafuta...
Weeeeh!! 😜aaaah hua nataman kuacha,,ila nkikumbuka vile hua nakakamaa nikiwa kibo peak aloooh naghairi 😂😂😂,, uzaz wa mpango muhim
Usawa wa kijinsia wawapi hawa kama sio kutaka kuharibu asili ya mwanaume watumie wenyewe kama ni raha wakuunga waunge ujue mambo mengine ni usengerema
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🏃🏾♀️🏃🏾♀️🏃🏾♀️🏃🏾♀️🏃🏾♀️Weeeeh!! 😜
E’m elezea vizuri hapo “Kibo peak” mahi
Ukiwa kwa mwanamke inatosha.uzaz wa mpango muhim
Hapo ndo changamoto hakuna kitu ambacho hakina madhara ila kwa hapa wamevuka mipaka😂 Ndo apo linakuja swali, kwanini iwe ya kupaka na ni mabegani? Kuna uhusiano gani?