Je, ni upi mwitikio wa jamii ya kitanzania katika dawa mpya ya uzazi wa mpango kwa wanaume?

Shida ni pale mume wakp aende kwa mcheps afu apigwe massage yenye mpango amazing, mnatafuta watoto weeee mwshowe mnachoka kumbe mwafulani alipewa massage mpango....🧐🧐
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Aise nacheka lakini umeongea kitu ya maana sana, hakika umewaza mbali🀝​
 
πŸ€”πŸ€”πŸ€”Mmmh, una hoja nzitoπŸ“Œ
 
Huu ni upuuzi wa hali ya juu kabisa,kupoteza muda kwa kujadili ajenda ovu kama hii,na inadhihirisha uwezo mdogo wa kufikiri uliopo kwa mnaowaita wasomi na wataalam wetu.
Tunajua na kuona mpango na harakati mbalimbali za kupunguza idadi ya watu duniani mf.magonjwa,vita, ugaidi,uzazi wa mpango n.k.na bado hatufikirii athari zake kama zilivyoanza kwa wanawake [nyota ya kijani,uzazi wa mpango,vipandikizi,sindano n.k.]sasa tunashuhudia matokeo yake, magonjwa kibao ya mfumo wa uzazi, matokeo hasi kwa baadhi ya watoto wanaozaliwa n.k.,bado bila aibu/haya mnajadili kuwashawishi wanaume kutumia hizo dawa ,mwogopeni Mungu,aliyetuagiza tuzae tuijaze nchi.
Tunajiandaa kuwa na taifa la namna gani baadae,ikiwa kabla hatujamaliza la ushoga,mnaleta mpango wa uzazi kwa wanaume,hamuoni kuwa hawa wazungu wamekusudia kudhoofisha na kuyamaliza mataifa ya Africa?Mnasikitisha sana,Ni hasara sana kwa taifa kuwa na wasomi na wataalam wa aina yenu.
 
Huu ni upuuzi wa hali ya juu kabisa,kupoteza muda kwa kujadili ajenda ovu kama hii,na inadhihirisha uwezo mdogo wa kufikiri uliopo kwa mnaowaita wasomi na wataalam wetu.
I bet, hujasoma hii thread na kama umesoma basi hujaielewa. I have a reason to say so✍️.​
Huu ni mtazamo mmoja wapo ambao hata katika thread hii umezungumzwa (angalia reply #21)​
bado bila aibu/haya mnajadili kuwashawishi wanaume kutumia hizo dawa
Nadhani hujausoma vizuri huu uzi na kuufatilia, hakuna sehemu yeyote ya uzi huu iliyo ashiria kumshawishi mtu yeyote kwa namna yeyote, bali kutoa fursa ya kujadili pamoja na kujua juu ya muitikio wa dawa hii Tanzania (yani, namna watu wanavyo ichukulia).​
hatujamaliza la ushoga,mnaleta mpango wa uzazi kwa wanaume,hamuoni kuwa hawa wazungu wamekusudia kudhoofisha na kuyamaliza mataifa ya Africa?
Kwanza kabisa sio kwamba tumeuleta mpango, ni mjadala wa kujadili juu ya vila watanzania wanawaza kuhusu mada husika. Lakini pia, hoja kama hii unayo rise tayari ilikua imesha tolewa katika reply #29, na ndiyo maana nasema haujausoma vizuri huu uzi ama haujauelewa na kufatilia.​
Mnasikitisha sana,Ni hasara sana kwa taifa kuwa na wasomi na wataalam wa aina yenu.
Naheshimu mawazo yako🀝.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…