Sun is Sun
JF-Expert Member
- Mar 13, 2024
- 649
- 975
Hakuna kitu cha maana ambacho tumeisaidia dunia. Kiufupi tupo tupo tu, Tunasubiria watu wa mashariki ya mbali waje watusaidie.
Tumejiandaa vipi majanga ya asili kama tsunami, tetemeko etc yakitotea?
Je, Kuna siku Waafrika tutakuja kuwa na akili za kuweza kutatua changamoto zetu? Au ndo tuseme bongo za Wanadamu zinatofautiana, Au ni kweli kuna namna ya kuchaji ubongo kwa kutumia binaural beats na baadhi formula ambazo zinajulikana kwa baadhi ya watu wachache tuu.
Maswali ni mengi ya kujiuliza, Mzungu aliwezaje kuunda ndege, Mzungu aliwezaje kuunda bunduki, Mzungu aliwezaje kuunda nyuklia bomb, Mzungu aliwezaje kuunda simu, Mzungu aliwezaje kuunda magari bila kusahau silaha za kibayolojia. Au ndo tuseme Wagunduzi hawakuwa watu wa kawaida (!!!) Mambo ni mengi ya kufikirisha.
Hakuna kitu Mzungu hajafanya, Lakini sisi Waafrika tunajivunia nini? Au kuna siku nasi tutafanya makubwa? Kichwa kinawaza sana..
Au ile sayansi ya alchemy ina matokeo katika technology? Mbona maswali ni mengi.
Tafadhalini njooni tujadili hili jambo la watu kuzidiana akili.
Tumejiandaa vipi majanga ya asili kama tsunami, tetemeko etc yakitotea?
Je, Kuna siku Waafrika tutakuja kuwa na akili za kuweza kutatua changamoto zetu? Au ndo tuseme bongo za Wanadamu zinatofautiana, Au ni kweli kuna namna ya kuchaji ubongo kwa kutumia binaural beats na baadhi formula ambazo zinajulikana kwa baadhi ya watu wachache tuu.
Maswali ni mengi ya kujiuliza, Mzungu aliwezaje kuunda ndege, Mzungu aliwezaje kuunda bunduki, Mzungu aliwezaje kuunda nyuklia bomb, Mzungu aliwezaje kuunda simu, Mzungu aliwezaje kuunda magari bila kusahau silaha za kibayolojia. Au ndo tuseme Wagunduzi hawakuwa watu wa kawaida (!!!) Mambo ni mengi ya kufikirisha.
Hakuna kitu Mzungu hajafanya, Lakini sisi Waafrika tunajivunia nini? Au kuna siku nasi tutafanya makubwa? Kichwa kinawaza sana..
Au ile sayansi ya alchemy ina matokeo katika technology? Mbona maswali ni mengi.
Tafadhalini njooni tujadili hili jambo la watu kuzidiana akili.