Je, Ni vitu gani vinatufanya watu weusi tuwe na akili ndogo?

Je, Ni vitu gani vinatufanya watu weusi tuwe na akili ndogo?

Hakuna kitu cha maana ambacho tumeisaidia dunia. Kiufupi tupo tupo tu, Tunasubiria watu wa mashariki ya mbali waje watusaidie.

Tumejiandaa vipi majanga ya asili kama tsunami, tetemeko etc yakitotea?

Je, Kuna siku Waafrika tutakuja kuwa na akili za kuweza kutatua changamoto zetu? Au ndo tuseme bongo za Wanadamu zinatofautiana, Au ni kweli kuna namna ya kuchaji ubongo kwa kutumia binaural beats na baadhi formula ambazo zinajulikana kwa baadhi ya watu wachache tuu.

Maswali ni mengi ya kujiuliza, Mzungu aliwezaje kuunda ndege, Mzungu aliwezaje kuunda bunduki, Mzungu aliwezaje kuunda nyuklia bomb, Mzungu aliwezaje kuunda simu, Mzungu aliwezaje kuunda magari bila kusahau silaha za kibayolojia. Au ndo tuseme Wagunduzi hawakuwa watu wa kawaida (!!!) Mambo ni mengi ya kufikirisha.

Hakuna kitu Mzungu hajafanya, Lakini sisi Waafrika tunajivunia nini? Au kuna siku nasi tutafanya makubwa? Kichwa kinawaza sana..

Au ile sayansi ya alchemy ina matokeo katika technology? Mbona maswali ni mengi.

Tafadhalini njooni tujadili hili jambo la watu kuzidiana akili.
Hiyo ni mind set tu!!
 
Mungu ametoa freewill ya equal opportunity kwa watu wote duniani.
Akili aina race Wala jinsia akili ni empty set isiyojaa unaweza ijaza chochote ukitakacho kwa kuona au kusikia.
Shida ipo kwenye mazingira yetu changamoto ndio uleta akili.
Africa maisha ni rahisi thus changamoto ni ndogo za kukuza akili.
Aaah wapi unataka kuniambia kipindi Albert Einstein alikuwa mdogo alikuwa sawa na wewe katika umri huo?

Kuna mwanasayansi alifanya utafiti kuhusu ubongo wa Einstein na aligundua upo tofauti na wa binadamu wa kawaida.

Tafuta hilo somo utalipata.
 
S
Mungu ametoa freewill ya equal opportunity kwa watu wote duniani.
Akili aina race Wala jinsia akili ni empty set isiyojaa unaweza ijaza chochote ukitakacho kwa kuona au kusikia.
Shida ipo kwenye mazingira yetu changamoto ndio uleta akili.
Africa maisha ni rahisi thus changamoto ni ndogo za kukuza akili.
Siku zote wenye akili wanazaliwa na uwezo ndani yao ndio maana sio kila mtu ana uwezo wa kufanya makubwa.

Pia wenye akili walionekana kama machizi.. Soma history ya Nikola Tesla hakuoa, alikuwa hawezi kulala chumba kisichogawanyika kwa tatu, alikuwa anazunguka nyumba mara tatu kabla ya kuingia ndani. Means huyu mtu upeo wake ulivuka uwezo wa binadamu wa kawaida na huenda kuna siri alikuwa akifahamu kuhusu ulimwengu ambao sisi wengine hatufahamu.

Ebu Leo msome huyo jamaa kidogo
 
Hakuna kitu cha maana ambacho tumeisaidia dunia. Kiufupi tupo tupo tu, Tunasubiria watu wa mashariki ya mbali waje watusaidie.

Tumejiandaa vipi majanga ya asili kama tsunami, tetemeko etc yakitotea?

Je, Kuna siku Waafrika tutakuja kuwa na akili za kuweza kutatua changamoto zetu? Au ndo tuseme bongo za Wanadamu zinatofautiana, Au ni kweli kuna namna ya kuchaji ubongo kwa kutumia binaural beats na baadhi formula ambazo zinajulikana kwa baadhi ya watu wachache tuu.

Maswali ni mengi ya kujiuliza, Mzungu aliwezaje kuunda ndege, Mzungu aliwezaje kuunda bunduki, Mzungu aliwezaje kuunda nyuklia bomb, Mzungu aliwezaje kuunda simu, Mzungu aliwezaje kuunda magari bila kusahau silaha za kibayolojia. Au ndo tuseme Wagunduzi hawakuwa watu wa kawaida (!!!) Mambo ni mengi ya kufikirisha.

Hakuna kitu Mzungu hajafanya, Lakini sisi Waafrika tunajivunia nini? Au kuna siku nasi tutafanya makubwa? Kichwa kinawaza sana..

Au ile sayansi ya alchemy ina matokeo katika technology? Mbona maswali ni mengi.

Tafadhalini njooni tujadili hili jambo la watu kuzidiana akili.
Go back to ancient Africa though imebase Zaidi Egypt /Kemet ... Na Benin Kingdom Na siyo sub Saharan Africa kama ni sub Sahara Africa utakutana Na great Zimb Na Stone Carved Churches of Ethiopia, Labda Kidogo Nubian Civilization ... Huku chini Shaka Zulu na Kilwa Kidogo...
Lakini unakuja kupata jibu kuwa without challenges Hatuwezi kugrow ... Utizame mwambao wa pwani na their Lifestyle ...

Watizame Wachaga nad their ambitious Lifestyle ..Kinga and others ... Igbo Before and after Civil war and before why are they the way they are .. what made them to be like that ... Hardship hardship hardship man...

We are blessed with a curse bro ... Blessed with a curse .. blessed with a curse ...
Ila hii siyo case how are we going to break from that ...
 
Kwa kuanzia tu, nimeajiri watu si chini ya 200 ili waondokane na ufukara, wale washibe na wasomeshe watoto wao.
Nikikueleza mengine utaona nakudanganya!
Hii sio akili ni msaada.

Siwezi kukuweka rank moja na Nikola Tesla, Albert Einstein etc.

We nikuite tajiri aliyeajiri watu 200 na kusomesha wengine.
 
Go back to ancient Africa though imebase Zaidi Egypt /Kemet ... Na Benin Kingdom Na siyo sub Saharan Africa kama ni sub Sahara Africa utakutana Na great Zimb Na Stone Carved Churches of Ethiopia, Labda Kidogo Nubian Civilization ... Huku chini Shaka Zulu na Kilwa Kidogo...
Lakini unakuja kupata jibu kuwa without challenges Hatuwezi kugrow ... Utizame mwambao wa pwani na their Lifestyle ...

Watizame Wachaga nad their ambitious Lifestyle ..Kinga and others ... Igbo Before and after Civil war and before why are they the way they are .. what made them to be like that ... Hardship hardship hardship man...

We are blessed with a curse bro ... Blessed with a curse .. blessed with a curse ...
Ila hii siyo case how are we going to break from that ...
Lakini kwanini tuishi kwa historia?
 
Go to Ancient Greek and their Civilization ,
Msome Plato and his Allegory of the cave .. you'll got to understand us man ..

Nenda msome Prometheus .. and how he stole Fire from God..

And give it to humanity later to be Tortured na some blah blah blah ...

Study human nature ... Go get em fvcking answers ... Alafu .


Utaamua kama unaendelea kubeba Dunia mgongoni mwako/mabegani ama unaipotezea tuu of which kuipotezea siyo rahisiiii..

Akili ambayo ishaonja utamu wa Ideas mpya haiwezi kurudi kwenye dimension iliyokuwepo
 
Hakuna kitu cha maana ambacho tumeisaidia dunia. Kiufupi tupo tupo tu, Tunasubiria watu wa mashariki ya mbali waje watusaidie.

Tumejiandaa vipi majanga ya asili kama tsunami, tetemeko etc yakitotea?

Je, Kuna siku Waafrika tutakuja kuwa na akili za kuweza kutatua changamoto zetu? Au ndo tuseme bongo za Wanadamu zinatofautiana, Au ni kweli kuna namna ya kuchaji ubongo kwa kutumia binaural beats na baadhi formula ambazo zinajulikana kwa baadhi ya watu wachache tuu.

Maswali ni mengi ya kujiuliza, Mzungu aliwezaje kuunda ndege, Mzungu aliwezaje kuunda bunduki, Mzungu aliwezaje kuunda nyuklia bomb, Mzungu aliwezaje kuunda simu, Mzungu aliwezaje kuunda magari bila kusahau silaha za kibayolojia. Au ndo tuseme Wagunduzi hawakuwa watu wa kawaida (!!!) Mambo ni mengi ya kufikirisha.

Hakuna kitu Mzungu hajafanya, Lakini sisi Waafrika tunajivunia nini? Au kuna siku nasi tutafanya makubwa? Kichwa kinawaza sana..

Au ile sayansi ya alchemy ina matokeo katika technology? Mbona maswali ni mengi.

Tafadhalini njooni tujadili hili jambo la watu kuzidiana akili.
extended family system
 
Unazaliwa ukiwa mdogo kabisa unaambiwa au kusikia kuwa you can't be rich, you can't beat the odds , you can't become a scientist and other some shit stuffs.

Ukifika Shule unapewa negative words kutoka kwa walimu waliokata tamaa na maisha , ukirudi nyumbani wazazi ni viboko mkononi , ukikaa na watoto wenzako mnawaza simba na yanga , mkienda mbali mnajadili mziki .


Inshort mtu mweusi anazaliwa akiwa ameshajiondoa katika kuwa mbunifu ,kuwaza mambo chanya na kuacha legacy .


So naamini sisi tuna Akili Ila hatujui njia bora za kutumia Akili yetu katika kutoa matokeo chanya tumemezeshwa phobia kuwa mambo magumu wanayaweza watu weupe tu
 
Hivi pale Muhimbili, KCMC, Bugando kuna vitengo vya utafiti?

Au Serikali haijawekeza nguvu katika uwanja wa tafiti? Au wataalamu ndo hawapo?

Aish!!! Maswali ni mengi.
 
Back
Top Bottom