Je, Ni vitu gani vinatufanya watu weusi tuwe na akili ndogo?

Je, Ni vitu gani vinatufanya watu weusi tuwe na akili ndogo?

Mungu ametoa freewill ya equal opportunity kwa watu wote duniani.
Akili aina race Wala jinsia akili ni empty set isiyojaa unaweza ijaza chochote ukitakacho kwa kuona au kusikia.
Shida ipo kwenye mazingira yetu changamoto ndio uleta akili.
Africa maisha ni rahisi thus changamoto ni ndogo za kukuza akili.
Umejibu vyema sana.
 
1. Elimu mbovu
2. Elimu Mbovu
3. Elimu Mbovu
4. Lishe

 
Ku prove anachosema huyu anayejua technology ya mtu mweusi awake hapa yaani kweli wazungu wamegundua Meli,ndege helicopter ,simu,magari,umeme kujenga magorofa ya kutisha ,Tiba,na za hospital mbalimbali ,upasuaji nk
Sasa mmoja ataje waafrika wanatekonolojia gani? La mwandishi nakupa bigi up
Ila kwa Faida tu mwafrika ,anamajungu ,roho mbaya ,umalaya ,kucheza miziki ,lingala,bongo Freva hizo ,ulevi wa mataputapu nk
 
Ku prove anachosema huyu anayejua technology ya mtu mweusi awake hapa yaani kweli wazungu wamegundua Meli,ndege helicopter ,simu,magari,umeme kujenga magorofa ya kutisha ,Tiba,na za hospital mbalimbali ,upasuaji nk
Sasa mmoja ataje waafrika wanatekonolojia gani? La mwandishi nakupa bigi up
Ila kwa Faida tu mwafrika ,anamajungu ,roho mbaya ,umalaya ,kucheza miziki ,lingala,bongo Freva hizo ,ulevi wa mataputapu nk

 
Lakini mbona hata Wazungu wanawaza kuhusu Manchester United na Liverpool?

Sio kwamba uwezo wetu ndo mdogo DR HAYA LAND

Mzungu anazaliwa akiwa anaamini kuwa atafanikiwa .

Pia wazungu wako kila kitu kipo in business wise .

Mfano mtu hawezi kuwa anaamka anachambua mpira ilimradi tu bila kupata chochote wenzetu kule nje wanaanjiri wachambuzi wa mpira na zipo mpaka Shule za kusomea hayo mambo.


Kuhusu kuwaza Man U na Arsenal inategemea na level ambayo umefikia ya ufahamu wenzetu waliwekeza kwanza katika uchumi , sayansi na baadae ndo wakaupa Mpira nafasi ya juu .


Sasa sifikirii Kama sisi waafrica tumeshafika muda wa kupiga starehe kiasi hicho.

Ni Vizuri tukajitafakari Kwa kina pia.
 
Zipo sababu nyingi sana.
Sababu za kibaiolojia, sababu za kimazingira, etc
 
Mungu ametoa freewill ya equal opportunity kwa watu wote duniani.
Akili aina race Wala jinsia akili ni empty set isiyojaa unaweza ijaza chochote ukitakacho kwa kuona au kusikia.
Shida ipo kwenye mazingira yetu changamoto ndio uleta akili.
Africa maisha ni rahisi thus changamoto ni ndogo za kukuza akili.
Sijui niseme Uzi ufungwe .. anyway acha Mjadala uendelee
 
Go and listen to Simon Sinek on Infinite and finite games ..
Vietnam X America ...


Go study theory of Games ...
Study and understand. Capitalism .. cold war , Post cold war ...

Utajua what game are t we playing

Huoni kuhusu Geopolitics unajifunza Nini ...
Propaganda na mambo ingine mabilion...


Would you mind if I say F you beach ...

Next time unakuja hapa come with your senses .. unauliza kutamka kujua au unafanya mocking On our Black Race ...

We lagged behind and they took the lead ...

If we want to win ...of which it'll never happen labda kuwe na win win situation for both basi lazima kufanya restructuring ya the way we think and deal with those Guys ...

Our education system and the philosophies We are using to deal with our daily lives
Mkuuu hujamjijibu zaidi umemshambilia. Kwa nini tusiweke hoja zenye mashiko.
China nae alikuwa anapangiwa ila ametoka tulipo na hata kuwapita hao mabeberu. Linapokuja hili swali mara nyingi sisi watu weusi tunajibu kwa mihemko ila ukweli ni huo hatuna mchango.
Kama mzungu anaweza kuku manipulate basi hio haitoshi kusema kuwa amekuzidi akil ?
Maoni yangu mimi ni kwamba waafrika IQ ni ndogo sana sijajua bado kwa nini japo kuna viashiria vya lishe duni. Nasema hivi kwa sababu i do the practice of teaching maths and science sasa miaka 20. Wanafunzi wenye uwezo wa kumudu mfano hisabati ktk drs la wafunzi 100 utakuta 3( vijijini).
Sasa ktk hawa 3 nao wanafundishwa kwa mtindo wa kawaida hawapewi hadhi tofauti na hata mtihani utawapima kwa hadhi moja.
Kuna mambo mengi ikiwepo
1. Poor education system
2. Poor political system.
3. Poor motivation
4.Weak leaders.
Viongozi wengi wa Afrila nao wameingia madarakani kiujanja ujanja hawana ubunifu, vision wala uzalendo. Fikiria Raisi wa Ghana aliepita alienda kwa Emmanuel Macron kuomba wamshambulie Traole( jambo la aibu sana na uthibitisho wa IQ ndogo ).
Sijajua kwa nini maraisi wetu wanakosa confidence .
5. Jamii sehemu kubwa ya waafrika imejikatia tamaa kabisa. Hawana hamasa kabisa ya kutoka hapa tulipo, watu hawajifunzi, hawakopi, hawabuni, hawajaribu. Hata vitu rahisi tu kama mashine ya kusaga juisi tunasubiri aunde mchina.
Nitaendelea na mjadala..
 
Tumejizoesha kusaidiwa kwenye mambo mengi.
Kitu kinachofanya akili zetu zinalala.
Tunasubiri mzungu agundue kitu fulani ndiyo tuige. Na tukishindwa kuiga, tunakinunua hicho kitu kwa gharama kubwa ya kuuza maliasili zetu.
Hatuna ujasiri wa kuvumbua vitu vyetu vitakavyotuwakilisha kama wafrika weusi.
 
Hakuna kitu cha maana ambacho tumeisaidia dunia. Kiufupi tupo tupo tu, Tunasubiria watu wa mashariki ya mbali waje watusaidie.

Tumejiandaa vipi majanga ya asili kama tsunami, tetemeko etc yakitotea?

Je, Kuna siku Waafrika tutakuja kuwa na akili za kuweza kutatua changamoto zetu? Au ndo tuseme bongo za Wanadamu zinatofautiana, Au ni kweli kuna namna ya kuchaji ubongo kwa kutumia binaural beats na baadhi formula ambazo zinajulikana kwa baadhi ya watu wachache tuu.

Maswali ni mengi ya kujiuliza, Mzungu aliwezaje kuunda ndege, Mzungu aliwezaje kuunda bunduki, Mzungu aliwezaje kuunda nyuklia bomb, Mzungu aliwezaje kuunda simu, Mzungu aliwezaje kuunda magari bila kusahau silaha za kibayolojia. Au ndo tuseme Wagunduzi hawakuwa watu wa kawaida (!!!) Mambo ni mengi ya kufikirisha.

Hakuna kitu Mzungu hajafanya, Lakini sisi Waafrika tunajivunia nini? Au kuna siku nasi tutafanya makubwa? Kichwa kinawaza sana..

Au ile sayansi ya alchemy ina matokeo katika technology? Mbona maswali ni mengi.

Tafadhalini njooni tujadili hili jambo la watu kuzidiana akili.
Kuna mambo mawili:
1: Kuwa na uwezo mdogo wa kutumia akili.
2: Kuwa na akili kidogo(hapa kuna shida ya afya ya akili).

Yote 1 na 2 hapo juu unaweza kuyapata kwa kuzaliwa nayo au kuyatengenezea mazingira baada ya kuzaliwa. Hivyo, tunachokiona kwa mtu ni matokeo kuzaliwa nacho na kuendelea kutengenezewa mazingira au kuondolewa mazingira ya maendeleo.

Kwa mantiki hiyo haya mambo huweza kupatikana kwa sababu moja kuleta mojawapo ya hali husika au kuleta jingine au kuleta yote kwa pamoja.

Ili uweze kuelewa juu ya haya ni vyema kufahamu kuwa uwezo wa akili na kiasi cha akili huweza kusababishwa na:

1: Kiasi cha akili na uwezo wa wazazi(mtoto kurithi).

2: Afya ya mzazi/mama wakati wa ujauzito/lishe.

3: Mazingira ya afya ya akili ya mama wakati wa ujauzito.

4: Mahusiano ya mama na mazingira wakati wa ujauzito.

5: Lishe ya mtoto wakati akiwa mchanga.

6: Lishe ya mtoto wakati anapokua.

7: Uhusiano wa mtoto na wanajamii kama jirani, ndugu na mwalimu nk.

8: Nafasi ya mtoto kujifunza na ku-challenge anayokutana nayo maishani.

9: Mazingira anayokulia mtoto na kumpatia challenge mbalimbali za kidunia.

10: Uwepo wa na utayari wa kumsadia mtoto anapopata challenge zenye kumpatia msukosuko kwake kijumla.

11: Uwepo wa mazingira wezeshi ya mtu kuibuka na kutenda kwa kadri ya uwezo wa akili.

12: Nk.

A: Hivyo, wenye kuwa na uwezo mdogo wa akili wapo pia kwenye mataifa ya wenzetu huko mbele na wasioweza kutumia uwezo wao pia wapo. Ila mazingira yao yamewapa nafasi wanaoweza kutumia akili kujitanabaisha vyema. Sisi hata kama una uwezo mzuri unaweza kujikuta mazingira hayakuruhusu kujipambanua na yale uliyonayo. Tunafuata yaliyopo kuliko kutafuta mapya.

B: Kulingana na maelezo kule juu, unaweza kumchukua mtu ambae anaonekana wa kawaida huku kwetu, akaenda kuwa Genius huko mbele kwa wenzetu kwa mazingira yaliyopo.
 
We kufa tu kama una mawazo ya kufuatilia mambo ya mwingine.
 
Nadhani serikali nayo haijaweka nguvu katika suala zima la utafiti.
Serikali inawekaje nguvu wakati inaongozwa na mediocre, yaani ile image unayoiona pale juu kabisa, ndio reflection halisi ya mwananchi wa kawaida. Ndio maana, let's be honest, hata aongoze nani, hata tubadilishe chama, wote mindsets zetu ni sawa. Siku akitokea mtu anawaza mbali, mwenye uwezo mkubwa wa kufanya mambo, sisi ndio tutamshangaa kwamba huyu vipi mbona anatuharibia utaratibu wetu...
 
Mzungu anazaliwa akiwa anaamini kuwa atafanikiwa .

Pia wazungu wako kila kitu kipo in business wise .

Mfano mtu hawezi kuwa anaamka anachambua mpira ilimradi tu bila kupata chochote wenzetu kule nje wanaanjiri wachambuzi wa mpira na zipo mpaka Shule za kusomea hayo mambo.


Kuhusu kuwaza Man U na Arsenal inategemea na level ambayo umefikia ya ufahamu wenzetu waliwekeza kwanza katika uchumi , sayansi na baadae ndo wakaupa Mpira nafasi ya juu .


Sasa sifikirii Kama sisi waafrica tumeshafika muda wa kupiga starehe kiasi hicho.

Ni Vizuri tukajitafakari Kwa kina pia.
Lakini ujue mpira umeanzia kwa wenzetu pia.
 
Serikali inawekaje nguvu wakati inaongozwa na mediocre, yaani ile image unayoiona pale juu kabisa, ndio reflection halisi ya mwananchi wa kawaida. Ndio maana, let's be honest, hata aongoze nani, hata tubadilishe chama, wote mindsets zetu ni sawa. Siku akitokea mtu anawaza mbali, mwenye uwezo mkubwa wa kufanya mambo, sisi ndio tutamshangaa kwamba huyu vipi mbona anatuharibia utaratibu wetu...
Safi⭐✊
 
We kufa tu kama una mawazo ya kufuatilia mambo ya mwingine.
Kufa kila mtu atakufa.

Nitaanza Mimi halafu Wewe,
Au utaanza Wewe halafu Mimi.

Kifo hakiepukiki ni kikombe ambacho kila mmoja atainywa Kwa mda wake.
 
Back
Top Bottom