Je, Ni vitu gani vinatufanya watu weusi tuwe na akili ndogo?

Je, Ni vitu gani vinatufanya watu weusi tuwe na akili ndogo?

Twende mbele turud nyuma watu weusi akili zetu kama zimefumbwa sisi tunasubir tuletewe had maneno😀
 
Twende mbele turud nyuma watu weusi akili zetu kama zimefumbwa sisi tunasubir tuletewe had maneno😀
Shangaa nchi ina Madaktari wenye PHD ila wanazidiwa utafiti na waganguzi wa mitishamba.

Yani kitendo cha TRUMP kuteta Afrika yote ilitetemeka 😂😂 kama hatuna Madaktari vile😭😂😂

Alooooh tutafika tumechoka sana.
 
Shangaa nchi ina Madaktari wenye PHD ila wanazidiwa utafiti na waganguzi wa mitishamba.

Yani kitendo cha TRUMP kuteta Afrika yote ilitetemeka 😂😂 kama hatuna Madaktari vile😭😂😂

Alooooh tutafika tumechoka sana.
Elimu tumeletewa tukariri sio yakuweza kuleta mabadiliko kwetu
 
Mbona wahaya kule Bukoba hawali huo ugali Ila mbongo zao hazifanyi Kazi kisawa sawa?
Wahaya, wanyakyusa,wachaga Hawa wapo kwenye uongozi na sekta mbali mbali na ndio makabila yenye wasomi wengi na watu wenye akili.

Kabila linalo fuatia kwa mbali ni wato wa Mara 😊
 
Kwa Tz CCM na Subsystem zake Ni technician nyuma ya misukule mingi inayochosha shingo kwa kutwisha Dungu kubwa lisilo na maana.
 
📌📌As long as ni mtu mweusi wote kwa ujumla wetu mpaka mbegu na mayai tunayozunguka nayo sehemu zetu za uzazi; tuna laana ya dhambi ya urithi ya UBINAFSI!!!

Hakuna rocket science inahitajika kuweza kulijua hili.Na cha ajabu ni kuwa hatuamini kama hicho ndio kisiki kinachotukwamisha😂😂😂
 
Mungu ametoa freewill ya equal opportunity kwa watu wote duniani.
Kwanza huyo Mungu hayupo.

Hakuna Mungu.

Hakuna freewill.
Akili aina race Wala jinsia akili ni empty set isiyojaa unaweza ijaza chochote ukitakacho kwa kuona au kusikia.
Shida ipo kwenye mazingira yetu changamoto ndio uleta akili.
Africa maisha ni rahisi thus changamoto ni ndogo za kukuza akili.
Waafrika wana upumbavu wa milele.
 
Kuna akili na mitazamo

Mi nazan cc tuna u-binafs wa kupokea mitazamo na kuifanyia kazi kwakuw tunaona ipo kinyume na fikra zetu au maslai fulan Hasa kwa viongoz wetu.
 
Unazaliwa ukiwa mdogo kabisa unaambiwa au kusikia kuwa you can't be rich, you can't beat the odds , you can't become a scientist and other some shit stuffs.

Ukifika Shule unapewa negative words kutoka kwa walimu waliokata tamaa na maisha , ukirudi nyumbani wazazi ni viboko mkononi , ukikaa na watoto wenzako mnawaza simba na yanga , mkienda mbali mnajadili mziki .


Inshort mtu mweusi anazaliwa akiwa ameshajiondoa katika kuwa mbunifu ,kuwaza mambo chanya na kuacha legacy .


So naamini sisi tuna Akili Ila hatujui njia bora za kutumia Akili yetu katika kutoa matokeo chanya tumemezeshwa phobia kuwa mambo magumu wanayaweza watu weupe tu
Hapo kwenye akili napinga.Mtu mweusi hajawhi kuwa na akilli,hana akili na hata wahi kuja kuwana akili.

Sehemu nyingi duniani zilitawalia ila Afrika tu ndo bado walalamishi as if wao pekee ndio walitawaliwa.

Kupitia malalamiko hayo unapata kujua na kuona kuwa hata bila wakoloni waafrika bado wangekuwa jamii ya chini chini tena sana kuliko hata ilivyo leo.


📌📌📌SHIDA YA SISI WAAFRIKA NI UBINAFSI...PERIOD!!!


LITAFAKARI NENO "UBINAFSI" KWA UNDANI ZAIDI HUKU UKIREFLECT MAISHA YA MTU MWEUSI UTAELEWA NAMAANISHA NINI.
 
Kwanza huyo Mungu hayupo.

Hakuna Mungu.

Hakuna freewill.

Waafrika wana upumbavu wa milele.
Kwa nadharia yako na sio school of thought zingine.
Unaposema hakuna freewill unamaanisha maisha yako unacontroliwa na nguvu iliyo kinyume nawe
 
S

Siku zote wenye akili wanazaliwa na uwezo ndani yao ndio maana sio kila mtu ana uwezo wa kufanya makubwa.

Pia wenye akili walionekana kama machizi.. Soma history ya Nikola Tesla hakuoa, alikuwa hawezi kulala chumba kisichogawanyika kwa tatu, alikuwa anazunguka nyumba mara tatu kabla ya kuingia ndani. Means huyu mtu upeo wake ulivuka uwezo wa binadamu wa kawaida na huenda kuna siri alikuwa akifahamu kuhusu ulimwengu ambao sisi wengine hatufahamu.

Ebu Leo msome huyo jamaa kidogo
Hawa tunawaita the transformer kazi yao ni kuhamisha new ideas kutoka outworld to kuzileta duniani kama afanyavo Elion musk wanaitwa reptile people au lizard people
 
Kwa nadharia yako na sio school of thought zingine.
Unaposema hakuna freewill unamaanisha maisha yako unacontroliwa na nguvu iliyo kinyume nawe
Hakuna nguvu yeyote inayo control maisha yetu.

Binadamu tuna control maisha yetu sisi wenyewe.

Ndio maana unaona tunapambana na changamoto zinazo tukabili.
 
Sasa wewe una akili gani hapo ulipo kumzidi mzungu zaidi ya za kuvukia barabara..
Endelea na hizo imani zako na siko tayari kukuruhusu uniambukize.
Nenda Morogoro mtaa wa Mazibu B kuna Wazungu wenye asili ya Greek labda utawafahamu Wazungu kwa mapana.
 
Back
Top Bottom