Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Kwenye kiwanda cha Hiphop Tumekuwa tukishuhudia vipaji vingi na uandishi mzuri wa mashairi.
Kuanzia kizazi Cha kina Tupac, rakims, jada, Jay z, eminem, Wayne na hata N.big.
👉Ambao wamekuwa wakitajwa Kama mafundi wa mashairi ya mazuri.
Lakini Leo nimeona tuangazie je ni Wana hip hop gani wame weza kutisha au kufanya vizuri hapa Africa?
👉Sarkodie, fid q, Jay Moe, Nasty C, Juma Nature, Khaligraph Jones, Mi Abaga, Young Killer Msodoki, AY, Proffessa Jay?
Kuanzia kizazi Cha kina Tupac, rakims, jada, Jay z, eminem, Wayne na hata N.big.
👉Ambao wamekuwa wakitajwa Kama mafundi wa mashairi ya mazuri.
Lakini Leo nimeona tuangazie je ni Wana hip hop gani wame weza kutisha au kufanya vizuri hapa Africa?
👉Sarkodie, fid q, Jay Moe, Nasty C, Juma Nature, Khaligraph Jones, Mi Abaga, Young Killer Msodoki, AY, Proffessa Jay?