Roca fella
JF-Expert Member
- May 13, 2023
- 2,077
- 4,152
Wizkid star boy ni mwana muziki mzuri afrika japo hafanyi hip hop ni afro pop, namkubali Sana. 🌚🌚🌚
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Koh Koh Koh....
yaw yaw yaw....
JESHIIIIIIIIII......
konde boyyyyy.....
harmonize ni mwana hip hop bora afrika 2050. [emoji1][emoji1][emoji1][emoji276][emoji276][emoji276][emoji1782][emoji1782][emoji1782]
anavuta bangi Sana mpaka WCB wamemtimua Sasa Yuko amerika anakula bangi Kali 🤡🌚🤢[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] khaaaaaaaaa!!!!!!
anavuta bangi Sana mpaka WCB wamemtimua Sasa Yuko amerika anakula bangi Kali [emoji1782][emoji276][emoji1785]
John namuheshimu ila huwezi mfananisha na fid-[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama una chuki, vaa miwani usione gere
Weusi hatuna kweree
Bro mbona kashfa tena?? Nini mbaya [emoji16][emoji16]
True fan wa joh...umesahau kuongezea Tanzanite mkuu kwenye list yakoMuulize davido, who's Joh Makini
Joh Ni mwanahiphop pekee East Africa kufanya vizuri akiwa na producers wengi tofauti na wengine wachanga kabisa
Anzia kwa Ludigo, Roy, Shakii, Dunga, Nahreal, yuddi, Pancho latino, hermy b, luffa.
Joh alimkataa p funk live, akaopt kuendelea kupambana na Roy na akatoboa.
Hao uliotaja wangepita njia za joh hakuna hata mmoja ungemsikia.
Pamoja na kupita hizo njia na kutoboa hakuna atayeweza kuandika ngoma Kama;
Hao
chochote popote,
hawapendi,
Niaje nivipi
Stimu zimelipiwa
Karibu tena,
Kilimanjaro,
Bye bye
Manuva
Nikumbatie
Kata leta
Perfect combo
Don't bother
Waya
Huyo jamaa anapenda kuwapa promo watu wa Kaskazini haijalishi ni mbovu kiasi ganimakaveli10, Scars mna maoni gani juu ya maoni ya huyu chuga boy😂🤣
Sikumbuki kutoa nyimbo mi natoaga hitAlafu hizo nyimbo zilikua kubwa kuliko kawaida, zilipigwa na kila radio, clubs hadi uchochoroni.
Hakuna msanii wa hiphop mwenye hit somga nyingi kuliko Joh, wengi huwa na 3 au 4. Joh anazo 10
Nimemtajia chache tu, nikisema niweke list yote hapa atachanganyikiwa huyuTrue fan wa joh...umesahau kuongezea Tanzanite mkuu kwenye list yako
Cheka ufurahi miaka 70 hutoboi utarudi mavumbini. 😄😄😄[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] uwiiiiiii!!! Bro mbavu zinauma bas inatosha
YesssSikumbuki kutoa nyimbo mi natoaga hit
Jamaa anaimba kumamaqueKhaligraph
Sio kweli. Fidovato ni wa kaskazini lakini mbona ni msanii mbovu sana, hawezi kumfikia hata manengoHuyo jamaa anapenda kuwapa promo watu wa Kaskazini haijalishi ni mbovu kiasi gani
Bado sijaona jipya kwa khaligraph, averageKhaligraph ni habari nyingine. Hatari sana huyu jamaa
Cute wife.....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] uwiiiiiii!!! Bro mbavu zinauma bas inatosha