Roca fella
JF-Expert Member
- May 13, 2023
- 2,077
- 4,152
Kwamwe kwamweeeee ninasimama Kama kwameeee.... ππππππJamaa anaimba kumamaque
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamwe kwamweeeee ninasimama Kama kwameeee.... ππππππJamaa anaimba kumamaque
Cute wife.....
ALIVYO niona aliwaka ila mwisho alizima,
Bana niliomba mechi akanipatia mtima,
Yaani niliomba nusu akanipatia nzima,
Safari ilianzia Mwanza naimalizia China. [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Hata fid akiona hii hawezi kukubali. Fid yupo vizuri yes nakubali, but amezidiwa na Joh kwenye flow, uandishi wanalingana
Ukweli ni kwamba ushamba umwamba,[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
Woyooooooo!!!! Ongeza mistari mingine bas
Ukweli ni kwamba ushamba umwamba,
Najua kila mbuzi anakula urefu wa kamba,
Namjua hadi mbuzi anaekula tunda na ganda,
Najua juzi ulienda casino na Amber,
Wembamba wa reli ila treni inapita,
Unadanga kwenda tanga na pipa,
Pedeshee wanakita na mnapiga mapicha,
Kuuliza mi ni nani unasema you're my sister. [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Sasa si uje ghetto tu nikuimbie vizuri, uta enjoy Sana dear wangu πβ€οΈπ€€π€€ππ[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] tuendelee iko bombaaa
Cute Wife unamuona tolu lakini. ?Muulize davido, who's Joh Makini
Joh Ni mwanahiphop pekee East Africa kufanya vizuri akiwa na producers wengi tofauti na wengine wachanga kabisa
Anzia kwa Ludigo, Roy, Shakii, Dunga, Nahreal, yuddi, Pancho latino, hermy b, luffa.
Joh alimkataa p funk live, akaopt kuendelea kupambana na Roy na akatoboa.
Hao uliotaja wangepita njia za joh hakuna hata mmoja ungemsikia.
Pamoja na kupita hizo njia na kutoboa hakuna atayeweza kuandika ngoma Kama;
Hao
chochote popote,
hawapendi,
Niaje nivipi
Stimu zimelipiwa
Karibu tena,
Kilimanjaro,
Bye bye
Manuva
Nikumbatie
Kata leta
Perfect combo
Don't bother
Waya
Acha njaa kijana.Sasa si uje ghetto tu nikuimbie vizuri, uta enjoy Sana dear wangu πβ€οΈπ€€π€€ππ
π°π°π°π°π°ππππππCute Wife unamuona tolu lakini. ?
Nabii Al masih Isa ibn maryam, yaani Yesu Kristo wa Nazareth alisema hamtoishi kwa jiwe Bali kwa mkate, kufa njaa mwenyewe.Acha njaa kijana.
Mpaka alipata nomination bet awards, ni best African hip-hop artist 2 times.Bado sijaona jipya kwa khaligraph, average
Ile Hiroshima ft daxJamaa anaimba kumamaque
Halafu hajui kitu, mwambie ataje hata vina vya wasanii wake hajuiπ€£πHuyo jamaa anapenda kuwapa promo watu wa Kaskazini haijalishi ni mbovu kiasi gani
Sisi tunakula kumaliza hatuli kushiba ππππHiyo Ni njemba bin Njembanga.
Sasa si uje ghetto tu nikuimbie vizuri, uta enjoy Sana dear wangu [emoji7][emoji3590][emoji1786][emoji1786][emoji7][emoji7]