Je, ni wana hiphop gani wameweza kutisha au kufanya vizuri hapa Afrika?

Je, ni wana hiphop gani wameweza kutisha au kufanya vizuri hapa Afrika?

Cute wife.....
ALIVYO niona aliwaka ila mwisho alizima,
Bana niliomba mechi akanipatia mtima,
Yaani niliomba nusu akanipatia nzima,
Safari ilianzia Mwanza naimalizia China. [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
Woyooooooo!!!! Ongeza mistari mingine bas
 
Taja magari ya kazi unayoyajua
1: Land cruiser pick up
2: Land rover Diffender
3' Ford Raptor
4: Ram F-1500 TRX
5' Chevrolet Silverado
6: Suzuki carry(Vijana wa Arusha)

Hivi kweli unaweza kuulizwa wafanya hio hop bora Afrika ukamtaja Joh Makini? Hii si kuharibu uzi wa mtu?
 
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
Woyooooooo!!!! Ongeza mistari mingine bas
Ukweli ni kwamba ushamba umwamba,
Najua kila mbuzi anakula urefu wa kamba,
Namjua hadi mbuzi anaekula tunda na ganda,
Najua juzi ulienda casino na Amber,
Wembamba wa reli ila treni inapita,
Unadanga kwenda tanga na pipa,
Pedeshee wanakita na mnapiga mapicha,
Kuuliza mi ni nani unasema you're my sister. πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Ukweli ni kwamba ushamba umwamba,
Najua kila mbuzi anakula urefu wa kamba,
Namjua hadi mbuzi anaekula tunda na ganda,
Najua juzi ulienda casino na Amber,
Wembamba wa reli ila treni inapita,
Unadanga kwenda tanga na pipa,
Pedeshee wanakita na mnapiga mapicha,
Kuuliza mi ni nani unasema you're my sister. [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] tuendelee iko bombaaa
 
Young Killer
The real FID Q
Khaligraph

Bado sijaona wana hip hop wakali kuliko hao jamaa, huyo Killer ni mbwa sana maamaezake hafai ata kidogo.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] tuendelee iko bombaaa
Sasa si uje ghetto tu nikuimbie vizuri, uta enjoy Sana dear wangu 😍❀️🀀🀀😍😍
 
Muulize davido, who's Joh Makini
Joh Ni mwanahiphop pekee East Africa kufanya vizuri akiwa na producers wengi tofauti na wengine wachanga kabisa
Anzia kwa Ludigo, Roy, Shakii, Dunga, Nahreal, yuddi, Pancho latino, hermy b, luffa.

Joh alimkataa p funk live, akaopt kuendelea kupambana na Roy na akatoboa.

Hao uliotaja wangepita njia za joh hakuna hata mmoja ungemsikia.
Pamoja na kupita hizo njia na kutoboa hakuna atayeweza kuandika ngoma Kama;
Hao
chochote popote,
hawapendi,
Niaje nivipi
Stimu zimelipiwa
Karibu tena,
Kilimanjaro,
Bye bye
Manuva
Nikumbatie
Kata leta
Perfect combo
Don't bother
Waya
Cute Wife unamuona tolu lakini. ?
 
Kwani Tanzania Kuna HIP HOP au HOP HIP πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Back
Top Bottom