Je, ni wana hiphop gani wameweza kutisha au kufanya vizuri hapa Afrika?

Nadhani wewe umeweka mahaba yako kwa Joh utakuwa wa Arusha wewe au tu ni mpenzi wake. Joh Makini hamna kitu. Hip pop haiwezi si kuandika si ku flow. Na akili za kuandika ndo hana kabisa. Ana hipop ya usela choo tu. Haina tafakuri.
Cute Wife 😂🤣, hip hop ni fid q na sio joh mi mavi
 
Nadhani wewe umeweka mahaba yako kwa Joh utakuwa wa Arusha wewe au tu ni mpenzi wake. Joh Makini hamna kitu. Hip pop haiwezi si kuandika si ku flow. Na akili za kuandika ndo hana kabisa. Ana hipop ya usela choo tu. Haina tafakuri.
Umehama kweye facts unaenda kwenye kutukana. Mimi kutukana najua, lakini nifanye hivyo ili iweje?

Nimekutolea mifano na nimekuuliza swali bado huna majibu.

Unajua kwa nini coke studio Africa walimchukua joh kama.msanii wa kwanza wa hiphop kwenda huko? Unajua sababu za joh kuwa wa kwanza?
 
makaveli10, Scars mna maoni gani juu ya maoni ya huyu chuga boy😂🤣
Naishia kucheka..😂😂

Kiukweli ni mawazo na maoni yake napaswa kuyaheshimu, ila kwangu nipo kinyume chake.

Ngosha muache aitwe ngosha tu. Ngoma zake zooote Hana Ngoma kama neno, ielewe mitaa, august 13, mwanza mwanza na professional, hizo 2 za mwanzo na hivyo professional ndio kabisaaa.

Kwangu mimi ngosha aliubadili upepo wa hip hop, ana heshima yake hapa, kina nigga jay(heshima kwake) walitambulika zaidi kama wabongo fleva.
 
Fid mzuri kwenye uandishi tu, na uandishi wake kwa sasa umepitwa na wakati. Lakini heshima yake nampa, he's good.

Aliwahi kusema na anaamini hadi leo Nikki wa Pili he's better than Roma
Muheshimiwa naona umeamua kujipa Mauwa yako mwenyewe
 
Hawezi kuzikwepa CW ...iwe C'wide au C'wife... Njemba El Njembaa.
 

Vipi bro ushavuta mjani wa Bob tupe freestyle sasa hakikisha unawakalisha hao jamaa, wamesumbua sana wakati umeenda Jamaica [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yeah fid q mkali, na hata huyo joh hafiki kwa kina p mawenge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…