Je, ni wana hiphop gani wameweza kutisha au kufanya vizuri hapa Afrika?

Ghetto nitaimba na ku-perform live on stage huku nikiitumia mic vizuri Sana kwa ufundi na kipaji Cha ajabu mpaka uolewe na jasho kwa kushangilia. [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Acha bas tunamuharibia uzi Inter
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] na wewe ndio muharibu uzi mkuu, mwenzio nilikuwa nasiliza michano hapa
Yeye alijua nakuapproach yaani anapenda ngono huyo lodi lofa πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Acha bas tunamuharibia uzi Inter
Uzi hauharibiki wakwende huko pm wakajadili kwanza hakuna mwanamziki hapo πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
We jamaa bhana.
Bado unamuiga Ricky Ross kufuga midevu?
Acha kujifanya demu soon naku expose..
Wewe ni mwanaume acha zako

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sawa hebu fanya tuone hiyo midevu ya Rick
 
Unatoa ushuhuda au unasagia kunguni ?
Ushuhuda kwani tupo kwa mwamposa hapa.

PRESENTER: mtume kuna miujiza hapa.

MWAMPOSA: nini kimetokea

PRESENTER: huyu Kaka Lodi alikuwa anasumbuliwa na pepo la ngono Hadi anaharibu Uzi wa watu, kisa Cute Wife

MWAMPOSA: nini kimetokea

PRESENTER: baada ya kutumia maji na mafuta ameacha kusumbua sumbua watu kudandia Uzi

MWAMPOSA: Nani mtenda miujiza, sema ayayayaaaaa


πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sawa hebu fanya tuone hiyo midevu ya Rick
Hata Kama ni Rick Ross sisi wahuni tunamla tu ili mradi shimo la kumwaga lipo. πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
Usifanye mzaha na vitu vya Mungu unachuma laana box wewe.
 
Hata Kama ni Rick Ross sisi wahuni tunamla tu ili mradi shimo la kumwaga lipo. [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] jamani acheni tunaharibu uzi wa watu sio vizuri, wana hip hop wanatumind
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sawa hebu fanya tuone hiyo midevu ya Rick
Naona unadanganya raia kuwa wewe ndio huyu.
Wanaokuamini wakafanyiwe overhaul ya kichwa.
Demu aina hii masela hawawezi kumpa nafasi alale na kuamkia JF wewe!
Fanya urudishe mzigo wa jamaa sio poa.
Halafu tu fanya watu wajue ID ya CW ni yako pia.
Ba mdogo unazingua sana.
 

Attachments

  • Screenshot_20230630-184530.jpg
    21.4 KB · Views: 2
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…