Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
-
- #141
Bro watu wanaropoka tu, mtu hata ukimwambia nasy c, khaligraph Jones hawawajui🤣😂Ww inaonekana hujawah hata sikiliza track zao. Listen to nasty c balaa lake ni hatari
Jitahidi uwe unapanga hoja..Angalau uwe una Panga hoja, sio unakuja kuja Kama upepo Poor Brain
Kama Wana mind watoe diss track sisi tunajibu kwa freestyle. 😄😄😄[emoji1787][emoji1787][emoji1787] jamani acheni tunaharibu uzi wa watu sio vizuri, wana hip hop wanatumind
Wali mchicha Nazi🤣😂😂😂Leo njo nikupe za uso... 🤓🤓🤓😂😂😂
Intelligent businessman
Siwafichi people, mlipo tupoKama Wana mind watoe diss track sisi tunajibu kwa freestyle. 😄😄😄
Ujio wangu zaidi ya popo bawaJitahidi uwe unapanga hoja..
Kwenye stanza moja... Kijana
Ulikuwa unaenda vizuri sema umeharibu uliposema joh hata kwa Young killer hafiki.. mpe respect yake Makini ni Legend kwenye Bongo Hip Hop toka wayback still anakinukisha na ukiongelea hits hakuna Mwana Hip Hop anayemfikia hapa bongo.Countrywide Huyo David mwenyewe ana wakubali nasty c na sarkodie.
[emoji117]Halafu Huyo joh hta kwa young killer hafiki[emoji23][emoji1787]
Kama Wana mind watoe diss track sisi tunajibu kwa freestyle. [emoji1][emoji1][emoji1]
Ila Ume nikumbusha, friend falani hivi wa kike, ana Tabia ka zako🤣😂😂Eeeeh!! Ndiwooooo! Nipeni dem wangu [emoji39][emoji39]
Ashapewa diss track, ajibu tuendeleeAchana nao tuendelee tulipoishia lete michano bro [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Siwafichi people, mlipo tupo
Ila tulipo mwiko,
So simple kuvamia empire ya intelli kea pistol.
Usije jf umelewa na kuchakazwa
Kama ulikesha disco leftyie worldie
Unalowesha floo...Wali mchicha Nazi🤣😂😂😂
Kiuandishi killer ni mkali bro, huyo joh kapata support kutoka redio ya mawingu.Ulikuwa unaenda vizuri sema umeharibu uliposema joh hata kwa Young killer hafiki.. mpe respect yake Makini ni Legend kwenye Bongo Hip Hop toka wayback still anakinukisha na ukiongelea hits hakuna Mwana Hip Hop anayemfikia hapa bongo.
Ila Ume nikumbusha, friend falani hivi wa kike, ana Tabia ka zako[emoji1787][emoji23][emoji23]
Ashapewa diss track, ajibu tuendelee
Chizi yulee😂🤣🤣, yaani ni vurugu tu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] atakuwa twin wangu
Ulikuwa unaenda vizuri sema umeharibu uliposema joh hata kwa Young killer hafiki.. mpe respect yake Makini ni Legend kwenye Bongo Hip Hop toka wayback still anakinukisha na ukiongelea hits hakuna Mwana Hip Hop anayemfikia hapa bongo.
Una ji contradict sana.Ujio wangu zaidi ya popo bawa
Umelala ukasahau,
Ukaachia angle🤣😂😂