Je, ni wana hiphop gani wameweza kutisha au kufanya vizuri hapa Afrika?

Je, ni wana hiphop gani wameweza kutisha au kufanya vizuri hapa Afrika?

Una ji contradict sana.
Una nitukana wakati, unajitukana..

Tuliacha ku buttle majina, tuna buttle njia.
Unamtukana dada angu, wakati ni dadako pia...
Na una dada pia, anapakatwa na anasaula..
Tunamjua kwa jina anaitwa paulaaa
Mi nimezaliwa kusema, mi nasema
So ukishindwa kutafsiri, relax
Labda utanielewa mwakani
Poor Brain
 
Una ji contradict sana.
Una nitukana wakati, unajitukana..

Tuliacha ku buttle majina, tuna buttle njia.
Unamtukana dada angu, wakati ni dadako pia...
Na una dada pia, anapakatwa na anasaula..
Tunamjua kwa jina anaitwa paulaaa

Woyooooo! Lete nyingine bro kali zaidi [emoji16][emoji16]
 
Kiuandishi killer ni mkali bro, huyo joh kapata support kutoka redio ya mawingu.
[emoji117]Ambayo Wana chuga wenzie ni washika usukani
Ukiona anabebwa ujue anabebeka wangapi wamebebwa na wameshindwa kujishikilia.. Joh ajahit mawingu pekee nimeanza kumjua Joh Makini wakati ambao sijui Clouds maana ilikuwa haishiki kwetu Namtumbo.
 
Ukiona anabebwa ujue anabebeka wangapi wamebebwa na wameshindwa kujishikilia.. Joh ajahit mawingu pekee nimeanza kumjua Joh Makini wakati ambao sijui Clouds maana ilikuwa haishiki kwetu Namtumbo.
Bro fid q na joh nani mkali, nikujue ukoje 🙄🤔
 
Kuna siku alikuja home, akabadilisha nguo (live live)[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3526]

Mbona hiyo kawaida anakuona km me mwenzie tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mimi nilikuwa na best yangu watu walikua wanahisi natoka nae, kumbe wala!! Akinitongoza najua tunaendeleza utani, mpk alivyooa huyo dem nilimkuwadia mwenyewe!!
 
Muulize davido, who's Joh Makini
Joh Ni mwanahiphop pekee East Africa kufanya vizuri akiwa na producers wengi tofauti na wengine wachanga kabisa
Anzia kwa Ludigo, Roy, Shakii, Dunga, Nahreal, yuddi, Pancho latino, hermy b, luffa.

Joh alimkataa p funk live, akaopt kuendelea kupambana na Roy na akatoboa.

Hao uliotaja wangepita njia za joh hakuna hata mmoja ungemsikia.
Pamoja na kupita hizo njia na kutoboa hakuna atayeweza kuandika ngoma Kama;
Hao
chochote popote,
hawapendi,
Niaje nivipi
Stimu zimelipiwa
Karibu tena,
Kilimanjaro,
Bye bye
Manuva
Nikumbatie
Kata leta
Perfect combo
Don't bother
Waya
Joh Makini hamna kitu. Fid Q ni mwanahipop mwenye akili. Mistari ya Joh Makini myepesi sana. Inayolazimisha urari wa Vina na Mizani. Kiuhalisia hata Darasa ni mzuri kwa Joh Makini
 
Back
Top Bottom