Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #161
Kujaaaaa🤣😂😂😂Unalowesha floo...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kujaaaaa🤣😂😂😂Unalowesha floo...
Mi nimezaliwa kusema, mi nasemaUna ji contradict sana.
Una nitukana wakati, unajitukana..
Tuliacha ku buttle majina, tuna buttle njia.
Unamtukana dada angu, wakati ni dadako pia...
Na una dada pia, anapakatwa na anasaula..
Tunamjua kwa jina anaitwa paulaaa
Chizi yulee[emoji23][emoji1787][emoji1787], yaani ni vurugu tu.
[emoji117]Akati ni msomi mzuri tu, na kazi yake[emoji1787][emoji23][emoji23]
Nakuelewa movement zako🤣😂😂Joh mkali sana’a mwambie huyo [emoji23][emoji23][emoji23]
Wala simchukii, ni mabest dam dam[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tunaishi Dunia ya peke yetu ukituchukia watu km sisi unajichosha hatutunzi stress
Una ji contradict sana.
Una nitukana wakati, unajitukana..
Tuliacha ku buttle majina, tuna buttle njia.
Unamtukana dada angu, wakati ni dadako pia...
Na una dada pia, anapakatwa na anasaula..
Tunamjua kwa jina anaitwa paulaaa
Nakuelewa movement zako[emoji1787][emoji23][emoji23]
Wala simchukii, ni mabest dam dam
Ana nichekeshaga Mambo yake[emoji1787][emoji23]
Wachumba wanashanga we jamaa kama mbwiga...Kujaaaaa🤣😂😂😂
Bro kisicho niuaWachumba wanashanga we jamaa kama mbwiga...
Follows kidogo umeanza kujiita bibaa
Ukiona anabebwa ujue anabebeka wangapi wamebebwa na wameshindwa kujishikilia.. Joh ajahit mawingu pekee nimeanza kumjua Joh Makini wakati ambao sijui Clouds maana ilikuwa haishiki kwetu Namtumbo.Kiuandishi killer ni mkali bro, huyo joh kapata support kutoka redio ya mawingu.
[emoji117]Ambayo Wana chuga wenzie ni washika usukani
Kuna siku alikuja home, akabadilisha nguo (live live)🤣😂😂😂☺️Ukiwa na watu km sisi unasahau shida [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwahiyo huyu anataka ligi na Mimi kwenye freestyle eti... 😄😄😄😄😄😄😄😄😄Woyoooooooo! leftyie worldie mjibu intelli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bro fid q na joh nani mkali, nikujue ukoje 🙄🤔Ukiona anabebwa ujue anabebeka wangapi wamebebwa na wameshindwa kujishikilia.. Joh ajahit mawingu pekee nimeanza kumjua Joh Makini wakati ambao sijui Clouds maana ilikuwa haishiki kwetu Namtumbo.
🤓🤓🤓🙌🙌🙌🙌 Sawa sawa ngoja ajibuWoyooooo! Lete nyingine bro kali zaidi [emoji16][emoji16]
Poor Brain, hujaibu hii
You can't rap, write or freestyleKwahiyo huyu anataka ligi na Mimi kwenye freestyle eti... 😄😄😄😄😄😄😄😄😄
Kuna siku alikuja home, akabadilisha nguo (live live)[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3526]
Joh Makini hamna kitu. Fid Q ni mwanahipop mwenye akili. Mistari ya Joh Makini myepesi sana. Inayolazimisha urari wa Vina na Mizani. Kiuhalisia hata Darasa ni mzuri kwa Joh MakiniMuulize davido, who's Joh Makini
Joh Ni mwanahiphop pekee East Africa kufanya vizuri akiwa na producers wengi tofauti na wengine wachanga kabisa
Anzia kwa Ludigo, Roy, Shakii, Dunga, Nahreal, yuddi, Pancho latino, hermy b, luffa.
Joh alimkataa p funk live, akaopt kuendelea kupambana na Roy na akatoboa.
Hao uliotaja wangepita njia za joh hakuna hata mmoja ungemsikia.
Pamoja na kupita hizo njia na kutoboa hakuna atayeweza kuandika ngoma Kama;
Hao
chochote popote,
hawapendi,
Niaje nivipi
Stimu zimelipiwa
Karibu tena,
Kilimanjaro,
Bye bye
Manuva
Nikumbatie
Kata leta
Perfect combo
Don't bother
Waya
Hii stail tofauti itell angalia pengone,,,