chamaclotus
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 1,079
- 2,273
- Thread starter
- #21
hapo nimekusomaInawezekana, lakini kwa ulipaje wa madeni ya ndani nadhani bado TAMISEMI inaongoza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapo nimekusomaInawezekana, lakini kwa ulipaje wa madeni ya ndani nadhani bado TAMISEMI inaongoza.
Umeongea point ya msingi Kiongozi..kiukweli bajeti yetu, kwanza huwa ni ya kinadharia/hewa,haiheshimiwi hasa kipindi cha Jiwe, yaani ni bora tu,mwaka wa fedha umeisha..Kutengewa na kupewa ni vitu viwili tofauti.
Unaweza kutengewa pesa ndefu lakini mwishowe ukaambulia nusu ya pesa yote uliyotengewa
Je, hujawahi kusikia mawaziri wanalalamika kuwa wametengewa e.g. 10bn lakini hadi mwaka wa serikali unaisha wao wamepewa 40% tu ya pesa waliyotengewa?