Kutengewa na kupewa ni vitu viwili tofauti.
Unaweza kutengewa pesa ndefu lakini mwishowe ukaambulia nusu ya pesa yote uliyotengewa
Je, hujawahi kusikia mawaziri wanalalamika kuwa wametengewa e.g. 10bn lakini hadi mwaka wa serikali unaisha wao wamepewa 40% tu ya pesa waliyotengewa?