Je, ni yapi mapungufu ya sayansi?

Je, ni yapi mapungufu ya sayansi?

Nmepitia michango hata nusu yake sijafika ila nimepata dukuduku ikabidi nilitoe. Watu wanaandika tu kishabiki bila ya kujua. Wanaleta siasa mpaka kwenye mambo ambayo ayahitaji siasa..! Mtu anataka proof ya uwepo wa gravity (unamsaidiaje mtu kama huyu?) Maana hapo inaonyesha kuwa kuna stage katika ukuaji wa kupata knowledge aliruka (aidha kwa makusudi au kwa mfumo mbaya wa utoaji elimu wa tanzania)
Tatizo letu hatujui mambo but tunaleta issues za mabaraza ya kahawa..! Kila kitu tunajifanya tunajua..! Hivi mnadhani mpaka kitu yako ikubarike kisayansi huwa ni issue rahisi eeeh?! Tusipende kuropoka tu.
JF inasifika kwa kuwa na great thinkers ila kwa hapa naona ni ujinga uliopitiliza..! Soma vitu, kama huna vitabu mambo mengi yapo kwenye internet soma hata huko. Kama wewe form four ulikwenda kukua nyamaza kimya..! Kama form four ulisoma arts kaa kimya maana mambo mengi mnayoleta michango ya aibu yamefafanuliwa vizuri sana kwenye elimu ya odinary level (Physics, Chemistry, Geography na hata Biology)
Yaani wanaandika watu wengine AIBU napata mimi daah..! Hii hatari..!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
vitabu vya dini vimekulemea kichwani ukichanganya na urojo unaopiga kila siku huezi experience proof yoyote ndo utaelewa za kuletewa!....tusichoshane #urojoeffects

Sent from my SM-E500H using JamiiForums mobile app
mkuu wakati wako wa kufahamu uhalisi ukifika utakujaelewa,saivi bakia kuwa na usmati wa kukariri na kuamini scientism, ili uendelee kuwa smati lazima aumini kila kinachesemwa wala huwezi ku-question proof.
 
Hata msingi uliotumia kujenga hoja ya mapungufu ya sayansi nao ni wa kisayansi. Sayansi is too broad concept labda ungejaribu kuwa specific kuliko kuwa too general mpka tunashindwa tuanze na which wing of science katika kujadili hili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nmepitia michango hata nusu yake sijafika ila nimepata dukuduku ikabidi nilitoe. Watu wanaandika tu kishabiki bila ya kujua. Wanaleta siasa mpaka kwenye mambo ambayo ayahitaji siasa..! Mtu anataka proof ya uwepo wa gravity (unamsaidiaje mtu kama huyu?) Maana hapo inaonyesha kuwa kuna stage katika ukuaji wa kupata knowledge aliruka (aidha kwa makusudi au kwa mfumo mbaya wa utoaji elimu wa tanzania)
Tatizo letu hatujui mambo but tunaleta issues za mabaraza ya kahawa..! Kila kitu tunajifanya tunajua..! Hivi mnadhani mpaka kitu yako ikubarike kisayansi huwa ni issue rahisi eeeh?! Tusipende kuropoka tu.
JF inasifika kwa kuwa na great thinkers ila kwa hapa naona ni ujinga uliopitiliza..! Soma vitu, kama huna vitabu mambo mengi yapo kwenye internet soma hata huko. Kama wewe form four ulikwenda kukua nyamaza kimya..! Kama form four ulisoma arts kaa kimya maana mambo mengi mnayoleta michango ya aibu yamefafanuliwa vizuri sana kwenye elimu ya odinary level (Physics, Chemistry, Geography na hata Biology)
Yaani wanaandika watu wengine AIBU napata mimi daah..! Hii hatari..!

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu sijui wapi unapata shida au hufahamu unachokijua, gravity mpaka sasa bado ni theory wala haina proof na haijawahi kuwa na proof katika ulimwengu wa science
mpaka leo hii hakuna chombo chochote kiloweza ku-detect motion ya mizunguko ya dunia kwa hio hakuna proof kuwa dunia inazunguka au jua ndio linazunguka its just theorizing tu
tunaamini vitu bila ya kujiuliza wala kutaka kuona proof
 
uelewa wangu unakuwa mdogo kivipi,kila kitu nilokisema hapo hakina scientific proof bali ni imani tu,wewee una uelewa wa kiasi gani mpaka ukaweza kuupima uelewa wa mtu mwengine,lete hizo proof basi
Mkuu tatizo lako hautaki ubongo wako uwe huru kuchunguza na kubaini ukweli umefungwa kifikira na mapokeo uliyonayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upungufu wa sayansi upo kwenye swala haswa kuwa imeundwa kuuliza maswali na si kutoa majibu ya maswali husika.
Mifano mingi ipo ya jinsi ambavyo sayansi inashindwa kujibu maswali yake yenyewe, kama kwanini proton na electron kamwe haziachi kuzunguka nucleus au kwanini sayari hazitoki kamwe katika mhimili wake na kadhalika. Hivyo sayansi badala ya kutatua matatizo yaliyopo inazua mengine zaidi na mzunguko huu huwa endelevu. Ushauri wangu ni sayansi irudi katika misingi na kukubali uwepo wa mpangilio katika ulimwengu na Aliye uweka mpangilio huo na ndipo sayansi itaweza kupiga hatua.
 
Mkuu tatizo lako hautaki ubongo wako uwe huru kuchunguza na kubaini ukweli umefungwa kifikira na mapokeo uliyonayo

Sent using Jamii Forums mobile app
hapana haipo hivo hata kidogo mimi nlikuwa muamini mkubwa sana wa science mpaka nikafika pahali kutaka kujua uhalisi ndio nikaiona dunia jinsi upotoshaji unavyozitawala akili zetu
 
Nmepitia michango hata nusu yake sijafika ila nimepata dukuduku ikabidi nilitoe. Watu wanaandika tu kishabiki bila ya kujua. Wanaleta siasa mpaka kwenye mambo ambayo ayahitaji siasa..! Mtu anataka proof ya uwepo wa gravity (unamsaidiaje mtu kama huyu?) Maana hapo inaonyesha kuwa kuna stage katika ukuaji wa kupata knowledge aliruka (aidha kwa makusudi au kwa mfumo mbaya wa utoaji elimu wa tanzania)
Tatizo letu hatujui mambo but tunaleta issues za mabaraza ya kahawa..! Kila kitu tunajifanya tunajua..! Hivi mnadhani mpaka kitu yako ikubarike kisayansi huwa ni issue rahisi eeeh?! Tusipende kuropoka tu.
JF inasifika kwa kuwa na great thinkers ila kwa hapa naona ni ujinga uliopitiliza..! Soma vitu, kama huna vitabu mambo mengi yapo kwenye internet soma hata huko. Kama wewe form four ulikwenda kukua nyamaza kimya..! Kama form four ulisoma arts kaa kimya maana mambo mengi mnayoleta michango ya aibu yamefafanuliwa vizuri sana kwenye elimu ya odinary level (Physics, Chemistry, Geography na hata Biology)
Yaani wanaandika watu wengine AIBU napata mimi daah..! Hii hatari..!

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani ni aibu tupu kuna michango mingi kwenye hii thread unaeza fikiri wachangiaji hawana ubongo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu wakati wako wa kufahamu uhalisi ukifika utakujaelewa,saivi bakia kuwa na usmati wa kukariri na kuamini scientism, ili uendelee kuwa smati lazima aumini kila kinachesemwa wala huwezi ku-question proof.
Sijawahi kukuelewa katika michango yako kwanini usiuweke ubongo wako huru,?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu sijui wapi unapata shida au hufahamu unachokijua, gravity mpaka sasa bado ni theory wala haina proof na haijawahi kuwa na proof katika ulimwengu wa science
mpaka leo hii hakuna chombo chochote kiloweza ku-detect motion ya mizunguko ya dunia kwa hio hakuna proof kuwa dunia inazunguka au jua ndio linazunguka its just theorizing tu
tunaamini vitu bila ya kujiuliza wala kutaka kuona proof
Kwanza tuanze tu hapo kwenye maana ya theory. Naomba ujue kuwa kuna neno Theory na pia kuna Scientific Theory, hizi terms huwa zinawachanganya sana watu wa aina yako. Na huwa nasikitika sana kama base ya hoja zako za kutokukubaliana na science zikiwa ni juu ya hizi terms;
Embu angalia hapa (wikipedia)

A scientific theory is an explanation of an aspect of the natural world that can be repeatedly tested, in accordance with the scientific method, using a predefined protocolof observation and experiment. Established scientific theories have withstood rigorous scrutiny and embody scientific knowledge.

The definition of a scientific theory (often contracted to theory for the sake of brevity) as used in the disciplines of science is significantly different from the common vernacular usage of the word theory. In everyday speech, theory can imply that something is an unsubstantiated and speculative guess, the opposite of its meaning in science.
These different usages are comparable to the opposing usages of prediction in science versus common speech, where it denotes a mere hope.

Kwanza naomba uniambie kama umeelewa utofauti wa hizo terms mbili..!



Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu sijui wapi unapata shida au hufahamu unachokijua, gravity mpaka sasa bado ni theory wala haina proof na haijawahi kuwa na proof katika ulimwengu wa science
mpaka leo hii hakuna chombo chochote kiloweza ku-detect motion ya mizunguko ya dunia kwa hio hakuna proof kuwa dunia inazunguka au jua ndio linazunguka its just theorizing tu
tunaamini vitu bila ya kujiuliza wala kutaka kuona proof
Siku ukiuacha ubongo wako uwe huru utatamani kufuta michango yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza tuanze tu hapo kwenye maana ya theory. Naomba ujue kuwa kuna neno Theory na pia kuna Scientific Theory, hizi terms huwa zinawachanganya sana watu wa aina yako. Na huwa nasikitika sana kama base ya hoja zako za kutokukubaliana na science zikiwa ni juu ya hizi terms;
Embu angalia hapa (wikipedia)

A scientific theory is an explanation of an aspect of the natural world that can be repeatedly tested, in accordance with the scientific method, using a predefined protocolof observation and experiment. Established scientific theories have withstood rigorous scrutiny and embody scientific knowledge.

The definition of a scientific theory (often contracted to theory for the sake of brevity) as used in the disciplines of science is significantly different from the common vernacular usage of the word theory. In everyday speech, theory can imply that something is an unsubstantiated and speculative guess, the opposite of its meaning in science.
These different usages are comparable to the opposing usages of prediction in science versus common speech, where it denotes a mere hope.

Kwanza naomba uniambie kama umeelewa utofauti wa hizo terms mbili..!



Sent using Jamii Forums mobile app
ZENJIBAR Hawezi kukuelewa maana amefungwa na itikadi za kimapokeo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza tuanze tu hapo kwenye maana ya theory. Naomba ujue kuwa kuna neno Theory na pia kuna Scientific Theory, hizi terms huwa zinawachanganya sana watu wa aina yako. Na huwa nasikitika sana kama base ya hoja zako za kutokukubaliana na science zikiwa ni juu ya hizi terms;
Embu angalia hapa (wikipedia)

A scientific theory is an explanation of an aspect of the natural world that can be repeatedly tested, in accordance with the scientific method, using a predefined protocolof observation and experiment. Established scientific theories have withstood rigorous scrutiny and embody scientific knowledge.

The definition of a scientific theory (often contracted to theory for the sake of brevity) as used in the disciplines of science is significantly different from the common vernacular usage of the word theory. In everyday speech, theory can imply that something is an unsubstantiated and speculative guess, the opposite of its meaning in science.
These different usages are comparable to the opposing usages of prediction in science versus common speech, where it denotes a mere hope.

Kwanza naomba uniambie kama umeelewa utofauti wa hizo terms mbili..!



Sent using Jamii Forums mobile app
sawa tuchukulie hivyo kuwa scientific theory na scientific proof ni sawa
ni wapi ilipotokea kuwa gravity was tested and observed and repeated
where in the history of the world that happened to test water and everything get stuck in the outside of the rock that is suspended in gravity,thats the earth
 
Back
Top Bottom