subiri wa kwako!Itaonekana kama ulikuwa na uhusiano nae kabla rafiki yako hajafa!
habari zenu wanajf! naombeni ushauri wenu juu ya hili! mimi ni mschana nilikuwa na rafki angu mpendwa wa kike ambae amefariki dunia mwaka sasa unafika! huyo marehem rafk angu alikuwa na boyfrend wake hapohapo chuoni! yule rafk angu alinipenda sana na mara nyingi alikuwa akinisifia sana kwa boyfrend wake km mm ni msichna bora n.k! mpaka ikafkia wakati yule boyfrend wake akawa ananiita mimi mke mdogo! ilikuwa ni kama utani tena mbele ya rafki yangu! tuliheshimiana sana sote watatu!baada ya kufariki kwa shost angu huyu kaka sasa ananitongoza na anasema anataka anioe! ni mda mrefu sasa ananisumbua sana! nashindwa kumkubalia kutokana na najskia vibaya sana mda mwingine nahisi km nkimkubali basi ni kama namsaliti marehemu shost angu! na je ulimwengu utanichukuliaje mimi?wengine wanaweza wakafkiria huenda nilikuwa namsaliti rafki angu kabla hajafa! mbaya zaidi nimetokea kumpenda sana sana huyu kaka! nishaurini jamani nikaze roho nimkubali ama nimshit!!?? niokoeni ktk janga hili ndugu zangu
Haya mambo siyo mepesi hivyo. Mtaoana ndiyo, mapenzi ya kudanganyana ya mwanzo yakiisha, anaanza kuwaza-kama alimsaliti shost yake, nami kesho si atanisaliti? sisi tulio kwenye ndoa mika zaidi ya 20 tunayajua hayo. Amini kuna siku atajiuliza swali hilo kitambaa cha mapenzi kilichowafunika nyuso zenu kikitoka. Just imagine, kuna mwanamke alikuwa anamkacha mume wake anafanya mapenzi na mwanamume. Exactly kama ilivyotokea kwenu, yule mume wa mwanamke akafa, basi wakapata nafasi ya kuoana. Believe it, yule mwanamume alikuja kuniambia kuwa mwanamke alivyokuwa anamkacha mume wake atanikacha na mimi. Ndoa haikudumu!!!!!!!
habari zenu wanajf! naombeni ushauri wenu juu ya hili! mimi ni mschana nilikuwa na rafki angu mpendwa wa kike ambae amefariki dunia mwaka sasa unafika! huyo marehem rafk angu alikuwa na boyfrend wake hapohapo chuoni! yule rafk angu alinipenda sana na mara nyingi alikuwa akinisifia sana kwa boyfrend wake km mm ni msichna bora n.k! mpaka ikafkia wakati yule boyfrend wake akawa ananiita mimi mke mdogo! ilikuwa ni kama utani tena mbele ya rafki yangu! tuliheshimiana sana sote watatu!baada ya kufariki kwa shost angu huyu kaka sasa ananitongoza na anasema anataka anioe! ni mda mrefu sasa ananisumbua sana! nashindwa kumkubalia kutokana na najskia vibaya sana mda mwingine nahisi km nkimkubali basi ni kama namsaliti marehemu shost angu! na je ulimwengu utanichukuliaje mimi?wengine wanaweza wakafkiria huenda nilikuwa namsaliti rafki angu kabla hajafa! mbaya zaidi nimetokea kumpenda sana sana huyu kaka! nishaurini jamani nikaze roho nimkubali ama nimshit!!?? niokoeni ktk janga hili ndugu zangu
nlikuwa na mahusiano na rafk ake huyo kaka ambae ananitaka sasa! lkn huyo rafk ake alinisaliti kwa mda mfupi sana! nliamua kuachana nae! tulikaa pamoja kwa mda usiozid miezi 2 nlipogundua ananicheat nkamuacha na sikuingia kwenye uhusiano hadi hii sasa! tulikuwa km marafiki wa kawaida ckuwah hata kukiss nae! rafiki angu aligongwa na gari
aligongwa na gari
asante kwa ushauri wako