korino
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 1,004
- 666
Habari zenu wanajf! naombeni ushauri wenu juu ya hili! mimi ni mschana nilikuwa na rafki angu mpendwa wa kike ambae amefariki dunia mwaka sasa unafika! huyo marehem rafk angu alikuwa na boyfrend wake hapohapo chuoni! yule rafk angu alinipenda sana na mara nyingi alikuwa akinisifia sana kwa boyfrend wake km mm ni msichna bora n.k!
Mpaka ikafkia wakati yule boyfrend wake akawa ananiita mimi mke mdogo! ilikuwa ni kama utani tena mbele ya rafki yangu! tuliheshimiana sana sote watatu!baada ya kufariki kwa shost angu huyu kaka sasa ananitongoza na anasema anataka anioe! ni mda mrefu sasa ananisumbua sana!
Nashindwa kumkubalia kutokana na najskia vibaya sana mda mwingine nahisi km nkimkubali basi ni kama namsaliti marehemu shost angu! na je ulimwengu utanichukuliaje mimi?
Wengine wanaweza wakafkiria huenda nilikuwa namsaliti rafki angu kabla hajafa! mbaya zaidi nimetokea kumpenda sana sana huyu kaka! nishaurini jamani nikaze roho nimkubali ama nimshit!!?? Niokoeni ktk janga hili ndugu zangu
Mpaka ikafkia wakati yule boyfrend wake akawa ananiita mimi mke mdogo! ilikuwa ni kama utani tena mbele ya rafki yangu! tuliheshimiana sana sote watatu!baada ya kufariki kwa shost angu huyu kaka sasa ananitongoza na anasema anataka anioe! ni mda mrefu sasa ananisumbua sana!
Nashindwa kumkubalia kutokana na najskia vibaya sana mda mwingine nahisi km nkimkubali basi ni kama namsaliti marehemu shost angu! na je ulimwengu utanichukuliaje mimi?
Wengine wanaweza wakafkiria huenda nilikuwa namsaliti rafki angu kabla hajafa! mbaya zaidi nimetokea kumpenda sana sana huyu kaka! nishaurini jamani nikaze roho nimkubali ama nimshit!!?? Niokoeni ktk janga hili ndugu zangu